Valuhwanoswela
JF-Expert Member
- Jun 27, 2019
- 1,229
- 1,125
Chato hata Geita mgombea yeyote asiye Musukuma atashinda kwa urahisi maana Wasukuma wamechoka na usanii unaofanywa Kanda ya Ziwa. Sifiasifia na kuunga mkono tunaosikia kila siku toka sehemu mbalimbali nchini huwezi kusikia toka Geita au Chato labda toka kwa watafuta teuzi kama wakina Pascal Mayalla ambaye naye sasa haumi wala kupuliza baada ya kurudishiwa Press Card yake. Njaa haina adabu!Hata chato?