Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,498
- 51,090
Huyu dogo atafika mbali
Tumwombee kwa MunguYuko vizuri, ilimradi asiwe corrupted along the process
Nilimheshimu pale alipokataa shinikizo la Polisi kumshinikiza kuwasingizia akina Mbowe na Zitto kuwa wao eti ndo walimtuma asimame kidete kumtetea Marehemu Akwilina
Sio jukumu lake kwenda mahakamani,yeye ni mpiga filimbi,ni jukumu la vyombo vya ulinzi na usalama kufanyia kazi taarifa zake kiundani na kuwafikisha mahakamani wahusika vikijilidhisha ya kuwa tuhuma hizo zina ukweli.
Kwanin sio jukumu lake,unaweza kupeleka kesi mahakamani kama una ushahidi wa jambo flani,je aliepeleka kesi kuhusu awa wat wanaosimamia uchaguzi si ni mtu wa kawaida tu…Sio jukumu lake kwenda mahakamani,yeye ni mpiga filimbi,ni jukumu la vyombo vya ulinzi na usalama kufanyia kazi taarifa zake kiundani na kuwafikisha mahakamani wahusika vikijilidhisha ya kuwa tuhuma hizo zina ukweli.
Wao ndio wataalam wa kuandaa mashitaka.
Nondo aache kutafuta cheap popularity,muha mjingamjinga huyo
Sio jukumu lake kwenda mahakamani,yeye ni mpiga filimbi,ni jukumu la vyombo vya ulinzi na usalama kufanyia kazi taarifa zake kiundani na kuwafikisha mahakamani wahusika vikijilidhisha ya kuwa tuhuma hizo zina ukweli.
Wao ndio wataalam wa kuandaa mashitaka.
Nondo aache kutafuta cheap popularity,muha mjingamjinga huyo
Ikitokea vyombo vikapuuzia na kuona ni taarifa za kupikwa tuu? Yani musiba awe na taarifa nyeti bila wao kuwa nazo?Sio jukumu lake kwenda mahakamani,yeye ni mpiga filimbi,ni jukumu la vyombo vya ulinzi na usalama kufanyia kazi taarifa zake kiundani na kuwafikisha mahakamani wahusika vikijilidhisha ya kuwa tuhuma hizo zina ukweli.
Wao ndio wataalam wa kuandaa mashitaka.
Nondo aache kutafuta cheap popularity,muha mjingamjinga huyo
Sio jukumu lake kwenda mahakamani,yeye ni mpiga filimbi,ni jukumu la vyombo vya ulinzi na usalama kufanyia kazi taarifa zake kiundani na kuwafikisha mahakamani wahusika vikijilidhisha ya kuwa tuhuma hizo zina ukweli.
Wao ndio wataalam wa kuandaa mashitaka.
Nondo aache kutafuta cheap popularity,muha mjingamjinga huyo
Mwenye akili za kushikwa, hukimbilia makabila ya watu, badala ya kuangalia hoja za mtu huyo. Wewe ni moja wao.Sio jukumu lake kwenda mahakamani,yeye ni mpiga filimbi,ni jukumu la vyombo vya ulinzi na usalama kufanyia kazi taarifa zake kiundani na kuwafikisha mahakamani wahusika vikijilidhisha ya kuwa tuhuma hizo zina ukweli.
Wao ndio wataalam wa kuandaa mashitaka.
Nondo aache kutafuta cheap popularity,muha mjingamjinga huyo
Mbona Magufuli akitajwa ufisadi wa wazi na upendeleo uliokithiri mnapiga kelele? Aliyemtangaza kuwa mtakatifu Nani wakati akibanwa ufisadi wa Kivuko anakigeuza kuwa meli ya Kivita?Ok... Tumemwelewa!
Kinana sio fisadi. Nape siyo fisadi na kwa hiyo nchi hii hakuna ufisadi
Mkuu huyo dogo anaviumbuwa vyombo husika ambavyo vimekuwa na standards nyingi kwenye matukio ya sura za kimsiba msiba. Utawasikia wanasema " hatufanyi kazi kwa maneno ya mtaani, mitandaoni, magazetini". Msiba akiasema, akichapisha, akipost...inakuwa taarifa tosha kwa Vyombo husika kufanyia kazi.Sio jukumu lake kwenda mahakamani,yeye ni mpiga filimbi,ni jukumu la vyombo vya ulinzi na usalama kufanyia kazi taarifa zake kiundani na kuwafikisha mahakamani wahusika vikijilidhisha ya kuwa tuhuma hizo zina ukweli.
Wao ndio wataalam wa kuandaa mashitaka.
Nondo aache kutafuta cheap popularity,muha mjingamjinga huyo
Kwani wale walioenda Mwembeyanga miaka Ile na kututajia majina ya mafisadi walikuwa hawajui kama kuna mahakama nchi hii?
Huyo Mwanawachu alikuwa bado kwenye mashamba ya karanga au?
Mwambieni hao wengine tuliwaita tunu ya taifa kwa kufanya kile kile anachokifanya Musiba leo.
"The same boiling water that hardens an egg softens a potato"
Soon Lumumba itapata hadhi ya hospitali ya Mirembe na kuhitaji timu ya madaktari kuweka kambi hapo kutoa msaada wa tibaMbona Magufuli akitajwa ufisadi wa wazi na upendeleo uliokithiri mnapiga kelele? Aliyemtangaza kuwa mtakatifu Nani wakati akibanwa ufisadi wa Kivuko anakigeuza kuwa meli ya Kivita?