CUF Habari
JF-Expert Member
- Dec 12, 2019
- 239
- 234
Mjumbe wa Baraza Kuu la CUF Abdul Kambaya amesema tulizihitaji busara na hekma za Mwalimu Khalifa katika kuelekea Uchaguzi wa mwezi October mwaka Huu.
Mwalimu khalifa alikuwa kiongozi mwenye Busara na hekima kwa kila mtu hivyo tulihitaji uwepo wake kuelekea uchaguzi wa mwaka huu.
Mwalimu khalifa alifariki Dunia Jana usiku katika hospital ya Agakhan na amezikwa Leo katika makaburi ya Kisutu.
Mwalimu khalifa alikuwa kiongozi mwenye Busara na hekima kwa kila mtu hivyo tulihitaji uwepo wake kuelekea uchaguzi wa mwaka huu.
Mwalimu khalifa alifariki Dunia Jana usiku katika hospital ya Agakhan na amezikwa Leo katika makaburi ya Kisutu.