Abdulrahman Kinana Na Artumas

Wakuu,

Katika nchi za Afrika imekuwa rahisi kwa makampuni ya nje kuingia na kufanya biashara bila matatizo kwa sababu wanatumia local partners.

Hii hoja ipo na inatumika.

Kwa hio nadhani hawa watu plus local Tanzanians ndio wana-exploit.

Je tunaweza kuangalia masharti ya kuwekeza kwa kampuni za kigeni kupitia kituo cha uwekezaji?

Mkuu Richard nakubaliana na wewe!

Ila wazo jingine ni kuwa...Hata Balozi zetu ni kama MAFISADI TU!

Kwanza hata hawa recognize juhudi za wabongo walioko nje ya nchi!

Balozi zetu ziko huku lakini ni za kumtumikia Mzungu na siyo sisi!

Na ndio maana hata website zao ni kuhusu tu wazungu wanaotaka kuwekeza!

Kama balozi wetu hata wa hapa USA angekusanya watu wote na wawekeze badala ya kutudharau sisi na kukumbatia wazungu na kuuza nchi yetu mbele za macho yetu sisi tuliokuja kutafuta elimu na life kwa ujumla!

Ni lazima mshikamano uwepo na tabia ya kudaharau wazawa IFE!

Wao wanatetemekea mzungu na wako huku kama mawakala wa mafisadi kuviziavizia wazungu wa kununua nchi!

MABADILIKO MAKUBWA SANA NI MUHIMU!
 
Jmushi1,

tanzania Kuwa Balozi Ni Shukurani Ya Ufisadi Ulioufacilitate.

Ukiangalia Kwa Makini Utagundua Ninalokuambia. Mfano Mzuri Barozi Wa Tanzania Uingereza Ingawa Ana Utu Lakini Ndiye Aliyeandika Mikataba Mingi Sana Mibovo Ya Madini, Na Ndio Maana Hata Karamangi Alikimbilia Uingereza Kwenda Kumalizia Ule Mkataba Uliopigiwa Kerere

Yule Mama Na Firm Yake Ya Sheria Ndio Alikuwa Mastermind Wa Mikataba Yote Tunayolilia Lia Leo, Alichokifanya Ninadhani Takuwa Anatubu Sasa Hivi, Maana Madhara Yameshaanza Kuonekana, Na Ndio Maan Hata Anajivisha Ngozi Ya Kondoo,na Zawadi Ya Kufacilitate Kimisheni Nono Za Mikata Ya Madini Mama Majar Alipewa Ubalozi Wa Uingereza.
 
Jmushi1,

tanzania Kuwa Balozi Ni Shukurani Ya Ufisadi Ulioufacilitate.

Ukiangalia Kwa Makini Utagundua Ninalokuambia. Mfano Mzuri Barozi Wa Tanzania Uingereza Ingawa Ana Utu Lakini Ndiye Aliyeandika Mikataba Mingi Sana Mibovo Ya Madini, Na Ndio Maana Hata Karamangi Alikimbilia Uingereza Kwenda Kumalizia Ule Mkataba Uliopigiwa Kerere

Yule Mama Na Firm Yake Ya Sheria Ndio Alikuwa Mastermind Wa Mikataba Yote Tunayolilia Lia Leo, Alichokifanya Ninadhani Takuwa Anatubu Sasa Hivi, Maana Madhara Yameshaanza Kuonekana, Na Ndio Maan Hata Anajivisha Ngozi Ya Kondoo,na Zawadi Ya Kufacilitate Kimisheni Nono Za Mikata Ya Madini Mama Majar Alipewa Ubalozi Wa Uingereza.

Sasa Mkuu hapa kuna tatizo!

Kwani mabalozi ni nani anawateuwa?

Sasa kama wewe ni muungwana kweli...Kwanini ulifacilitate mbinu zake zote ikiwa ni pamoja na Kufunguwa matawi ya ccm huko UK?

Na kama kweli unajuwa yote hayo...Then kuna hatuwa gani umechukuwa?

Maana nadhani huoni kuwa watanzania wamechoshwa na back and forth za maneno ya kutupiana lawama.

Ukweli wote uko nje nje lakini hakuna anayefanya kitu!

Taifa ni kama halina Rais!

Sasa huoni kuna watu wanapanga sasa tuwe na rais mwingine?

Unaruhusu vipi nchi kuongozwa na Rais wa awamu ya tatu na wewe kuwa waziri wa mambo ya nje?

Do something bana acha maneno yanachosha sasa!

Kwanza now we know everything na sasa tunataka steps na si story za DROO!

We WANT FREEDOM!

AMA KWASABABU WEWE KILA MTU ANAKUITA BWANA MKUBWA MASALUTI KIBWENA BASI UHURU WAKO NA UTUKUFU WAKO UNAKUTOSHA?

Wewe si ulikuwa unakuja mtaani Sinza na tunakufagilia kila mahali na VX lako?

Sasa mbona umebadilika hivyo?

Wapi zile hotuba za kila mwezi?

We huji kuna watu tuko radhi kujitolea muhanga?

Ni kivipi huna uchungu na wananchi kama ilivyokuwa kabla ulipokuwa ukijichanganya tu na walalahoi?

NB:Unaposema alipewa huo Ubalozi..Nani alimpa?
 
Sasa Mkuu hapa kuna tatizo!

Kwani mabalozi ni nani anawateuwa?

Sasa kama wewe ni muungwana kweli...Kwanini ulifacilitate mbinu zake zote ikiwa ni pamoja na Kufunguwa matawi ya ccm huko UK?

Na kama kweli unajuwa yote hayo...Then kuna hatuwa gani umechukuwa?

Maana nadhani huoni kuwa watanzania wamechoshwa na back and forth za maneno ya kutupiana lawama.

Ukweli wote uko nje nje lakini hakuna anayefanya kitu!

Taifa ni kama halina Rais!

Sasa huoni kuna watu wanapanga sasa tuwe na rais mwingine?

Unaruhusu vipi nchi kuongozwa na Rais wa awamu ya tatu na wewe kuwa waziri wa mambo ya nje?

Do something bana acha maneno yanachosha sasa!

Kwanza now we know everything na sasa tunataka steps na si story za DROO!

We WANT FREEDOM!

AMA KWASABABU WEWE KILA MTU ANAKUITA BWANA MKUBWA MASALUTI KIBWENA BASI UHURU WAKO NA UTUKUFU WAKO UNAKUTOSHA?

Wewe si ulikuwa unakuja mtaani Sinza na tunakufagilia kila mahali na VX lako?

Sasa mbona umebadilika hivyo?

Wapi zile hotuba za kila mwezi?

We huji kuna watu tuko radhi kujitolea muhanga?

Ni kivipi huna uchungu na wananchi kama ilivyokuwa kabla ulipokuwa ukijichanganya tu na walalahoi?

NB:Unaposema alipewa huo Ubalozi..Nani alimpa?

Mkuu ujumbe wako, Umefika ,,,,,Kama nilivyokumbia mwanzo mtu anayemsaidia rais kufanya vetting ......sina hata Jina la kumwita...fisadi

Na hii ndio hali halisi, May be walikuwa hawamsikii nyerere aliposema ikuru sio sehemu ya kukimbilia, kama ulivyoona ni kwamba baada ya nyerere kufariki hata Mkapa ikulu ilimshinda akaishia kuwa fisadi, Kimsingi Hamna hata wazee waliobaki kumpa support kikwete maana karibu wote mafisadi, Ninadhani Rais anahitaji ku Impliment mawazo ya JF kama anataka kunusilika
 
Hapo umenena!

Na mawazo ya wana jf unayajuwa!

Ni haki na UHURU WETU!

Sasa mandhali tunajuwa unaiheshimu JF..Huo ni mwanzo mzuri!

Sasa umeshafika nchini na mambo yanaendelea Bungeni!

Msimamo wa wana jf ni HAKI ITENDEKE NA NCHI IRUDISHWE MIKONONI MWA WANANCHI KWA KUPITIA SERIKALI HALAFU MAMBO YAANZE KWA KAULI MBIU ZA KWELI na utekelezaji wa sera za kutukwamua wananchi ikiwa ni pamoja na marekebisho ya sheria zetu.

Hivyo basi...Mh Rais ni wazi anajuwa la kufanya ili kuzikonga nyoyo za wana jf ambao mawazo yao yana reflect mawazo ya kizalendo na wananchi wa kawaida.

NB:pia ni muhimu uzingatie kuwa..Sera za ccm hazisemi kuwa NCHI IUZWE!
Hivyo basi kama hamjabadilisha sera za ccm...Na wakati huo huo ni viongozi wa ccm walioiuza nchi...Then kwanini hamkuwatimua kutoka kwenye chama kwa kukiuka miiko,kanuni na sera za chama?

Ahsante.
 


Kuongoza Nchi sio kama kuongoza Biashara ya Baa/Club.....Unatakiwa uwe makini katika kila hatua unayoichukua, Kila serikali Duniani ina tatizo la kuzungukwa na malyobist ambao huwa wako kalibu na serikali kwa manufaa yao na hawajali taifa, Hivyo Kikwete Kazi aliyo nayo sio ndogo ya Kuhakikisha anawasambarataisha malobysit , ambao wako kwenye nafasi nyeti za serikali na za kiuchumi na Biashara, hivyo maoni yangu na malizia kwa kuusema , KIKWETE NI RAIS MZURI NA BORA SEMA TIMU YAKE NDIO ......IMEOZA, WAFUNGAJI BUTU, HIVYO HTUWEZI KUONA MAGOLI, TUTAISHIA KWENYE DROO TU KAMA INAYOENDELEA SASA

Leokweli,

Kila wakati ninapokutana na maneno kama hayo niliyoyaweka kwenye bold, nabaki nikijiuliza, Je Tanzania tumelogwa? Kwa nini tunakuwa na maelezo mepesi na ya kijinga kama haya. Kitu gani kinakutuma kugombea urais wa nchi kama unajua huna nia, uwezo wala ujasiri wa kupambana na hilo unaloliita uozo. Kama unatambua kuwa huna ubavu wa kujikwamua kutoka huo uozo, utaikwamua vipi nchi na watu wake.

Nimejaribu kutafuta jambo angalau moja la muhimu lililowanufaisha wananchi alilolifanya Kikwete kwa kipindi chake chote cha utumishi serikalini, sikuliona. Nimetafuta sifa yoyote ya kipekee iliyofanya wananchi wampe urais, sikuipata. Baada ya hapa nimebaki nikijiuliza kwa nini alipewa kura na asilimia 80% ya wananchi, jibu ambalo sijalipata. Kwa nini basi tunashangaa kuona mambo yanakwenda hivi.

There is a point in time that the patience in us can be stretched to such a limit that there is no holding back. This should be a normal reaction for a homo sapiens, but in Kikwete, even this is lacking. Could it be we, the electorate, that is to blame?
 
Leokweli,

Kila wakati ninapokutana na maneno kama hayo niliyoyaweka kwenye bold, nabaki nikijiuliza, Je Tanzania tumelogwa? Kwa nini tunakuwa na maelezo mepesi na ya kijinga kama haya. Kitu gani kinakutuma kugombea urais wa nchi kama unajua huna nia, uwezo wala ujasiri wa kupambana na hilo unaloliita uozo. Kama unatambua kuwa huna ubavu wa kujikwamua kutoka huo uozo, utaikwamua vipi nchi na watu wake.

Nimejaribu kutafuta jambo angalau moja la muhimu lililowanufaisha wananchi alilolifanya Kikwete kwa kipindi chake chote cha utumishi serikalini, sikuliona. Nimetafuta sifa yoyote ya kipekee iliyofanya wananchi wampe urais, sikuipata. Baada ya hapa nimebaki nikijiuliza kwa nini alipewa kura na asilimia 80% ya wananchi, jibu ambalo sijalipata. Kwa nini basi tunashangaa kuona mambo yanakwenda hivi.

There is a point in time that the patience in us can be stretched to such a limit that there is no holding back. This should be a normal reaction for a homo sapiens, but in Kikwete, even this is lacking. Could it be we, the electorate, that is to blame?

Ameshindwa kukwambia kuwa Rais bado alikuwa ni MKAPA!
Na awamu ya nne hadi sasa ni MKAPA!
Hata mabaraza ya mawziri na kamati zote wajumbe wake ni INFLUENCE YA MKAPA!
Jeshi nalo MKAPA...ccm MKAPA...Jamaa inawezekana yuko kwenye hard times kwani RA nayeye ndiye kinara wa ccm mtandao na ndiye aliyewekwa kuwa msaidizi wa JK wa karibu na mtoa maamuzi kwa niaba ya MKAPA!
So ni kweli nakubaliana kuwa Urais si kazi ndogo na kuna haja a kutafakari kabla ya kukubali kuwa rais!
Sasa AMANI ya nchi yetu iko mokonini mwao na maamuzi yao ni ya muhimu sana la sivyo mambo yanaweza kuwa si mambo!
Wao ndiyo walimtolea pesa za EPA na ikabidi awasikilize!
Sasa kama kweli ana nia ya Kumshughulikia MKAPA...Tutajuwa tu kabla ya mwezi wa Ujao kwisha.
 
What’s our cut in oil, Bill?
Adam Lusekelo
Daily News; Wednesday,July 09, 2008 @08:38

YESTERDAY I sat watching the Minister of Energy and Minerals, Bill Ngeleja, perform in the Bunge. He obviously had been reading and re-reading his budget speech the whole Monday night. Like a good husband and father, he praised his wife and kids for standing by him while he was doing the hard job of being minister. Which is normal. It’s not easy to be a minister. You get invited to all those endless parties and all your girlfriends ask for impossible favours. Anyway Bill told Bunge that Tanzania has signed a deal with all those prospecting companies in Bongo. That is very fine.

I know there is oil in Tanzania. It’s just a matter of time. What our parliamentarians should ask Bill is to elaborate on the oil take. They should ask him what is our cut when that oil is found. That should be made very clear. What’s our cut as a country? Do we go fifty-fifty or what?

You have to ask because there are some crooked bureaucrats quietly signing our country away for personal gain. There are some quiet, selfish monsters that would do that primarily to get a few millions.

We also want to know the names of people who are signing our country away. It is very important we know who signs the dotted lines for our sake, so that we can lynch them when we realise that they have sold us short.

Some guys signed to have us buy a radar system for a highly inflated price. Some guys signed to have a fake company called Richmond that the Tanzanian taxpayer has been painfully chafing under. Bill told parliament that Richmond/Dowans have been kicked out. Fine. But what about the others?

The selfish monsters are everywhere. Nigerian greed is legendary. Some people signed deals with foreign oil companies and those deals are virtually useless. The country, a major, oil producer, has a chronic shortage of fuel. While one can ‘see’ the oil in the people of Libya, one can hardly see it in Nigeria.

Nigerians remain impoverished. The River States where the oil comes from are a story of hopeless poverty and pollution.

So now the people of those states have started a guerrilla war to fight for their rights. Criminal gangs have also joined in to get their share of the oil money by kidnapping foreigners. It’s nearly total chaos.

All this is happening while the majority live in grinding poverty. A few Nigerians are living scandalously rich lifestyles.

It is not only Nigeria, but you name it, Angola, Gabon and even Equatorial Guinea, where they have fearfully rich plutocracies.

Now what stops Tanzania from turning into a plutocracy? It is now. Bureaucrats are signing Bongo away to what they call ‘investors’ and buy radars at ridiculous prices. I am sure that one day we will go at each other’s throats. What’s our cut in oil revenues Bill? Or is it a secret like everything else? And we talk about transparency.
 
leokweli,

Kila Wakati Ninapokutana Na Maneno Kama Hayo Niliyoyaweka Kwenye Bold, Nabaki Nikijiuliza, Je Tanzania Tumelogwa? Kwa Nini Tunakuwa Na Maelezo Mepesi Na Ya Kijinga Kama Haya. Kitu Gani Kinakutuma Kugombea Urais Wa Nchi Kama Unajua Huna Nia, Uwezo Wala Ujasiri Wa Kupambana Na Hilo Unaloliita Uozo. Kama Unatambua Kuwa Huna Ubavu Wa Kujikwamua Kutoka Huo Uozo, Utaikwamua Vipi Nchi Na Watu Wake.

Nimejaribu Kutafuta Jambo Angalau Moja La Muhimu Lililowanufaisha Wananchi Alilolifanya Kikwete Kwa Kipindi Chake Chote Cha Utumishi Serikalini, Sikuliona. Nimetafuta Sifa Yoyote Ya Kipekee Iliyofanya Wananchi Wampe Urais, Sikuipata. Baada Ya Hapa Nimebaki Nikijiuliza Kwa Nini Alipewa Kura Na Asilimia 80% Ya Wananchi, Jibu Ambalo Sijalipata. Kwa Nini Basi Tunashangaa Kuona Mambo Yanakwenda Hivi.

There Is A Point In Time That The Patience In Us Can Be Stretched To Such A Limit That There Is No Holding Back. This Should Be A Normal Reaction For A Homo Sapiens, But In Kikwete, Even This Is Lacking. Could It Be We, The Electorate, That Is To Blame?

Mzee Kumbuka Unapo Ongelea Serikali Unaongela

Bunge
Mahakama/sheria
Raisi

Rais Ni Mwenyekiti Wa Hivyo Vitatu Lakini Utekelezwaji Wa Matwaka Ya Rais Unategemeana Na Ubora Wa Hizo Sehemu Tatu Nilizoziongelea.

Rais Ikaingia Hana Uwezo Wa Kisheria Wa Kuwastaafisha Majaji Wote Hivyo Regacy Ya Mahakama Mpaka Sasa Bado Ni Watu Ambao Wakuwa Aprraised Na Mkapa,kwa Mtindo Huo They Are Well Connected To Him And They Protect Him.

Bunge, Bunge Lilkuwa Na Na Mafisadi Hawahesabiki,ila Kwasasa Ndio Tunaanza Kuona Bunge Linavyompa Kikwete Nguvu Kwa Hiyo Immuny Yake Inaongezeka Na Kupanda Juu Kwasababu Ana Back Up. Kama Bunge Haliko Na Rais Linaweza Kumngoa Any Time Hivyo Ni Razima Awe Makini Anavyodili Na Mafisadi Wa Bunge



Rais, Ccm Cheo Cha Urais Imekuwa Ni Ajenda Ya Chama Na Si Ajenda Ya Wananchi, Kwa Hiyo Ccm Inamguvu Kuliko Rais Wa Tanzania Hivyo Maamuzi Ya Kikwete Yalikuwa Limited

Alichokifanya Kikwete Alianza Kuwasmbaratisha Watu Wote Tishio Kwenye Hizo Sehemu Tatu Na Anashinda Taratibu, Pili Ninadhani Kunyamaza Kwake Ni Kuvuta Public Support Kwa Action Yoyote Atakayo Wachukulia Mafisadi.

Hata Wewe Ungekuwa Rais Leo, Kama Una Busara Ungechukua Approach Ya Kikwete, Kumbuka Tanzania Sio Nchi Ya Kijeshi.

He Is A Brave Man....moyi Na Ubaya Wake Lakini Alikuwa Brave That Why Damu Haijawhi Kumwagika Kipindi Chake.....mafisadi Wanahela Nyingi Kiasi Kwamba Tusipowahandle Kwa Uangalifu Wanaweza Kuwa Molisha
 
Mzee Kumbuka Unapo Ongelea Serikali Unaongela

Bunge
Mahakama/sheria
Raisi

Rais Ni Mwenyekiti Wa Hivyo Vitatu Lakini Utekelezwaji Wa Matwaka Ya Rais Unategemeana Na Ubora Wa Hizo Sehemu Tatu Nilizoziongelea.

Rais Ikaingia Hana Uwezo Wa Kisheria Wa Kuwastaafisha Majaji Wote Hivyo Regacy Ya Mahakama Mpaka Sasa Bado Ni Watu Ambao Wakuwa Aprraised Na Mkapa,kwa Mtindo Huo They Are Well Connected To Him And They Protect Him.

Bunge, Bunge Lilkuwa Na Na Mafisadi Hawahesabiki,ila Kwasasa Ndio Tunaanza Kuona Bunge Linavyompa Kikwete Nguvu Kwa Hiyo Immuny Yake Inaongezeka Na Kupanda Juu Kwasababu Ana Back Up. Kama Bunge Haliko Na Rais Linaweza Kumngoa Any Time Hivyo Ni Razima Awe Makini Anavyodili Na Mafisadi Wa Bunge



Rais, Ccm Cheo Cha Urais Imekuwa Ni Ajenda Ya Chama Na Si Ajenda Ya Wananchi, Kwa Hiyo Ccm Inamguvu Kuliko Rais Wa Tanzania Hivyo Maamuzi Ya Kikwete Yalikuwa Limited

Alichokifanya Kikwete Alianza Kuwasmbaratisha Watu Wote Tishio Kwenye Hizo Sehemu Tatu Na Anashinda Taratibu, Pili Ninadhani Kunyamaza Kwake Ni Kuvuta Public Support Kwa Action Yoyote Atakayo Wachukulia Mafisadi.

Hata Wewe Ungekuwa Rais Leo, Kama Una Busara Ungechukua Approach Ya Kikwete, Kumbuka Tanzania Sio Nchi Ya Kijeshi.

He Is A Brave Man....moyi Na Ubaya Wake Lakini Alikuwa Brave That Why Damu Haijawhi Kumwagika Kipindi Chake.....mafisadi Wanahela Nyingi Kiasi Kwamba Tusipowahandle Kwa Uangalifu Wanaweza Kuwa Molisha

Maelezo hayo hapo juu ni ya NGUVU SANA!

TUNASUBIRI HATUA SASA.

Pia ni MUHIMU KWANZA KUWEKA WAZI INTERESTS ZA WABUNGE WOTE ILI TUJUWE WAZI KAMA MAAMUZI YAO WAKATI WA RIPOTI NA KUPIGA KURA YATAZINGATIA HAKI NA SI WANAMTANDAO NA INTERESTS ZAO!

Kama ni kweli umeamua kuwageuka wana mtandao...Basi ni muhimu kila mbunge awekwe wazi kama ana maslahi yoyote ili wasije mtetea Rostam Huko Bungeni ama fisadi yeyote asije tetewa kwani hawa jamaa wana pesa!

Na huko Kanisani mnajuwa!

Kwani hayo maelfu ya mabilioni waliyokiwa wakilipwa na serikali kila siku kupitia Dowans na kwingineko...

ZINATOSHA KUNUNUA NCHI AMA KISIWA! I MEAN UTAJIRI WA MAFISADI UNAWEZA KUFANYA HIVYO SO SIONI KAMA NI SHIDA WABUNGE KUNUNULIWA!

ILA WASIPOANGALIA....SIJUI.
 
Hii vita lazima tuishinde, Nyerere aliwekwa kwenye historia kwa kushinda ukoloni, ni zamu yetu ya kuingia kwenye historia kwa kupinga ufisadi
 
Mnyoofu watu kama nyie ndio mlitakiwa muishauri serikali yetu!
Sasa kama washauri ni kina KOMBA NA MAKAMBA...Je Tutafika?

Jmushi1

Hivi unafikiri hakuna washauri wazuri bongo? wapo watz wengi tu tena ndani na nje ya nchi, tatizo serikali zetu za kiafrika wanataka watu wakuwanyenyekea, kuwapukutia mikono na kuwa ambia yes-yes!

Hawataki kupewa HONEST FEEDBACK, maana watakutosa na kusema unajifanya au umepania kuchukua nafasi zao! na mara nyingi wanaogopa ku take risk ya waondoa marafiki zao na kuweka watu wenye uwezo pale wanapoona wazi kabisa jamaa zao wanalikoroga!

mfano mzuri ni huu wa JK, jamaa zake wamelikoroga kila mahali, lakini sio tu anapata kigugumizi, bali anawaogopa...hao wachache in the expense of more than 36m people!

African politics? crazy! ndio maana sikubali na nachukia sana watu wakisema Tanzania ni masikini? NO viongozi wa Tanzania (excluding Nyerere - R.I P) ni Masikini! wao ndio wametufikisha hapa tulipo, na hawawezi kukataa, coz tuna njia nyingi sana mbadala za kututoa hapa tulipo lakini they never LISTEN! Wanaamini foreigners tu ndio they r the best advisors, maana hao wan adopt advice zao hata kama they are very artificial in solving our problems! An Ill and wrong thinking!
 
Cha Muhimu Ni Kuanza Kuwaboigot Hawa Mafisaddi Popote Wanapo Enda Duniani
 
... tatizo serikali zetu za kiafrika wanataka watu wakuwanyenyekea, kuwapukutia mikono na kuwa ambia yes-yes!

Hawataki kupewa HONEST FEEDBACK,

...viongozi wa Tanzania (excluding Nyerere - R.I P) ... they never LISTEN!

Sidhani kama unamjua Julius Nyerere.
 
Jamani, wakatimingine kama hamna points mnyamaze. kwania mtu kuwa board member ni big issue. Hakuna chochote cha maana mlichoandika hapo zaidi ya majungu yasiokuwa na sources on information
 
Jamani, wakatimingine kama hamna points mnyamaze. kwania mtu kuwa board member ni big issue. Hakuna chochote cha maana mlichoandika hapo zaidi ya majungu yasiokuwa na sources on information

Mrope na wengineo wakajibu huko bungeni kama ni big issue ama la!

Kwani sasa tunataka maslahi yote ya wabunge yawekwe wazi kabla ya mjadala ili tujuwe kama ataitetea Artumas ama TAIFA NA WANANCHI WAKE!

Same applies to all menbers of parliament.

Wenye kumiliki mali flani flani ambazo zitakuwa zinajadiliwa bungeni kwa kuhusishwa na ufisadi wawekwe wazi ili wasiwatege wananchi kwani mijadala yote ya bunge tunataka iwe ya wananchi na maslahi yao na si wabunge na maslahi yao.
 
Samahani wakuu,ni Artumas Group Inc,chezeya mafisadi wa ccm,Kinana na wengine wanajipanga tu,nothing for the people,ni maslahi binafsi tu...
 
Leokweli,
Sasa nimemuona Kinana pamoja na MP. wa Masasi Bw. Marope. Kama na Kinana naye yumo kwenye hizi biashara za kuuza nchi, basi tumekwisha.

Hivi ni kwa nini hizi kampuni zinazosema zina-invest TZ zote zinaweka watu wenye nguvu sana ndani ya CCM kuwa ni maDirector wao? Wana nia gani wanapofanya hivyo? Hivi huko ndio kuajiri wazawa au ni kununua influence?
Mkuu Kubwajinga,ndo maana jana nilisema Kinana anatingisha kiberiti,na sasa wameshawekana sawa,maybe wameshagawana vitu vingine,ama haya mambo ya gesi kule mtwara.Halafu watu wanasema eti kuna msafi ccm?Gimme a break!
 
Last edited by a moderator:
Kaazi kweli kweli,kama ARTUMAS walienda kuwekeza Comoro kwa ombi la Rais wa Tanzania JK, hapa kuna walakini. Yaani safari zote hizi nje za kutafuta wawekezaji, kumbe anawatafutia Wacomoro!!
Hivi inawezekana kweli kuna mkuu wa jeshi yule aliyesemekana ana trillions SA kutokana na pesa za vita vya commoro na deals nyingine?Halafu ndo huko huko Norway alipopazungumzia Zitto?

Mkuu Nicholas, i told you about Kinana,wote mafisadi tu.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom