🤪 Ooh kumbeJiwe alisema hapangiwi tena tukimpangia ndo tunaharibu kabisa.
Mmasai Laizer akae mbali na Madini yake,Zombe hachekagi na kima.Duh
Ova
Jamaa ana roho ngumu sana ! Yaani watu wanakukumbuka kwa mabaya ...badala ya kutulia nyumbani unaibuka tena ili iweje!????Kamanda Zombe achukua fomu kuomba ridhaa ya kuwania Ubunge Songea Mjini. Zombe ni maarufu kwenye midomo ya watu kutokana na kesi ya mauaji iliyokuwa inamkabiri ambapo mwaka 2016 aliachiwa huru na Mahakama ya Rufaa ambapo pia mshirika wake Christopher Bageni alihukumiwa kunyongwa hadi kufa.
Abdallah Zombe akiwa Kaimu Kamanda wa Dar, 2006 aliunganishwa kwenye kesi ya mauaji ya wafanyabiashara wa madini ambao ni Ephraim Sabinus Chigumbi, Sabinus Chigumbi Jongo, Juma Ngugu na Mathias Lunkombe.
Pia soma
> Kesi ya Abdallah Zombe: Mashitaka, hatia, hukumu na yanayojiri...
> DPP amuondolea shtaka Abdallah Zombe
> Zombe aachiwa huru, Mshirika wake ahukumiwa kunyongwa hadi kufa
Imeandika "USIHUKUMU NA WEWE USIJE KUHUKUMIWA"Hana ishu zama zake zimepita yule. Hongo za majambaka kama hazikumtosha ubunge hautampeleka popote
Huyu anatakiwa aendelee na kesi yakeKamanda Zombe achukua fomu kuomba ridhaa ya kuwania Ubunge Songea Mjini. Zombe ni maarufu kwenye midomo ya watu kutokana na kesi ya mauaji iliyokuwa inamkabiri ambapo mwaka 2016 aliachiwa huru na Mahakama ya Rufaa ambapo pia mshirika wake Christopher Bageni alihukumiwa kunyongwa hadi kufa.
Abdallah Zombe akiwa Kaimu Kamanda wa Dar, 2006 aliunganishwa kwenye kesi ya mauaji ya wafanyabiashara wa madini ambao ni Ephraim Sabinus Chigumbi, Sabinus Chigumbi Jongo, Juma Ngugu na Mathias Lunkombe.
Pia soma
> Kesi ya Abdallah Zombe: Mashitaka, hatia, hukumu na yanayojiri...
> DPP amuondolea shtaka Abdallah Zombe
> Zombe aachiwa huru, Mshirika wake ahukumiwa kunyongwa hadi kufa
Ndo hapo sasa!Jamaa ana roho ngumu sana ! Yaani watu wanakukumbuka kwa mabaya ...badala ya kutulia nyumbani unaibuka tena ili iweje!????
Itakuwa ile kesi imemuwehusha, nakataa kama akili za kawaida ndio zimemshawishi kugombeaJamaa ana roho ngumu sana ! Yaani watu wanakukumbuka kwa mabaya ...badala ya kutulia nyumbani unaibuka tena ili iweje!????
Kuunga mkono CCM mpya.Jamaa ana roho ngumu sana ! Yaani watu wanakukumbuka kwa mabaya ...badala ya kutulia nyumbani unaibuka tena ili iweje!????
Kamanda Zombe achukua fomu kuomba ridhaa ya kuwania Ubunge Songea Mjini. Zombe ni maarufu kwenye midomo ya watu kutokana na kesi ya mauaji iliyokuwa inamkabiri ambapo mwaka 2016 aliachiwa huru na Mahakama ya Rufaa ambapo pia mshirika wake Christopher Bageni alihukumiwa kunyongwa hadi kufa.
Abdallah Zombe akiwa Kaimu Kamanda wa Dar, 2006 aliunganishwa kwenye kesi ya mauaji ya wafanyabiashara wa madini ambao ni Ephraim Sabinus Chigumbi, Sabinus Chigumbi Jongo, Juma Ngugu na Mathias Lunkombe.
Pia soma
> Kesi ya Abdallah Zombe: Mashitaka, hatia, hukumu na yanayojiri...
> DPP amuondolea shtaka Abdallah Zombe
> Zombe aachiwa huru, Mshirika wake ahukumiwa kunyongwa hadi kufa
Huyo Mwamba alipiga Pesa sana Enzi za Mahita.Kamanda Zombe achukua fomu kuomba ridhaa ya kuwania Ubunge Songea Mjini. Zombe ni maarufu kwenye midomo ya watu kutokana na kesi ya mauaji iliyokuwa inamkabiri ambapo mwaka 2016 aliachiwa huru na Mahakama ya Rufaa ambapo pia mshirika wake Christopher Bageni alihukumiwa kunyongwa hadi kufa.
Abdallah Zombe akiwa Kaimu Kamanda wa Dar, 2006 aliunganishwa kwenye kesi ya mauaji ya wafanyabiashara wa madini ambao ni Ephraim Sabinus Chigumbi, Sabinus Chigumbi Jongo, Juma Ngugu na Mathias Lunkombe.
Pia soma
> Kesi ya Abdallah Zombe: Mashitaka, hatia, hukumu na yanayojiri...
> DPP amuondolea shtaka Abdallah Zombe
> Zombe aachiwa huru, Mshirika wake ahukumiwa kunyongwa hadi kufa
Mzee wangu pamoja ni haki yako lakini bado tuna uchungu na wale marehemu mliwaoneaKamanda Zombe achukua fomu kuomba ridhaa ya kuwania Ubunge Songea Mjini. Zombe ni maarufu kwenye midomo ya watu kutokana na kesi ya mauaji iliyokuwa inamkabiri ambapo mwaka 2016 aliachiwa huru na Mahakama ya Rufaa ambapo pia mshirika wake Christopher Bageni alihukumiwa kunyongwa hadi kufa.
Abdallah Zombe akiwa Kaimu Kamanda wa Dar, 2006 aliunganishwa kwenye kesi ya mauaji ya wafanyabiashara wa madini ambao ni Ephraim Sabinus Chigumbi, Sabinus Chigumbi Jongo, Juma Ngugu na Mathias Lunkombe.
Pia soma
> Kesi ya Abdallah Zombe: Mashitaka, hatia, hukumu na yanayojiri...
> DPP amuondolea shtaka Abdallah Zombe
> Zombe aachiwa huru, Mshirika wake ahukumiwa kunyongwa hadi kufa
Leka kujolai simmenyaNaye Ni Mngoni wa wapi?
Kamanda Zombe achukua fomu kuomba ridhaa ya kuwania Ubunge Songea Mjini. Zombe ni maarufu kwenye midomo ya watu kutokana na kesi ya mauaji iliyokuwa inamkabiri ambapo mwaka 2016 aliachiwa huru na Mahakama ya Rufaa ambapo pia mshirika wake Christopher Bageni alihukumiwa kunyongwa hadi kufa.
Abdallah Zombe akiwa Kaimu Kamanda wa Dar, 2006 aliunganishwa kwenye kesi ya mauaji ya wafanyabiashara wa madini ambao ni Ephraim Sabinus Chigumbi, Sabinus Chigumbi Jongo, Juma Ngugu na Mathias Lunkombe.
Pia soma
> Kesi ya Abdallah Zombe: Mashitaka, hatia, hukumu na yanayojiri...
> DPP amuondolea shtaka Abdallah Zombe
> Zombe aachiwa huru, Mshirika wake ahukumiwa kunyongwa hadi kufa