Uchaguzi 2020 Abdallah Zombe achukua fomu kuomba ridhaa ya kuwania Ubunge Songea Mjini kupitia CCM

Kamanda Zombe achukua fomu kuomba ridhaa ya kuwania Ubunge Songea Mjini. Zombe ni maarufu kwenye midomo ya watu kutokana na kesi ya mauaji iliyokuwa inamkabiri ambapo mwaka 2016 aliachiwa huru na Mahakama ya Rufaa ambapo pia mshirika wake Christopher Bageni alihukumiwa kunyongwa hadi kufa.

Abdallah Zombe akiwa Kaimu Kamanda wa Dar, 2006 aliunganishwa kwenye kesi ya mauaji ya wafanyabiashara wa madini ambao ni Ephraim Sabinus Chigumbi, Sabinus Chigumbi Jongo, Juma Ngugu na Mathias Lunkombe.

Pia soma
> Kesi ya Abdallah Zombe: Mashitaka, hatia, hukumu na yanayojiri...
> DPP amuondolea shtaka Abdallah Zombe
> Zombe aachiwa huru, Mshirika wake ahukumiwa kunyongwa hadi kufa

Jamaa ana roho ngumu sana ! Yaani watu wanakukumbuka kwa mabaya ...badala ya kutulia nyumbani unaibuka tena ili iweje!????
 
Kamanda Zombe achukua fomu kuomba ridhaa ya kuwania Ubunge Songea Mjini. Zombe ni maarufu kwenye midomo ya watu kutokana na kesi ya mauaji iliyokuwa inamkabiri ambapo mwaka 2016 aliachiwa huru na Mahakama ya Rufaa ambapo pia mshirika wake Christopher Bageni alihukumiwa kunyongwa hadi kufa.

Abdallah Zombe akiwa Kaimu Kamanda wa Dar, 2006 aliunganishwa kwenye kesi ya mauaji ya wafanyabiashara wa madini ambao ni Ephraim Sabinus Chigumbi, Sabinus Chigumbi Jongo, Juma Ngugu na Mathias Lunkombe.

Pia soma
> Kesi ya Abdallah Zombe: Mashitaka, hatia, hukumu na yanayojiri...
> DPP amuondolea shtaka Abdallah Zombe
> Zombe aachiwa huru, Mshirika wake ahukumiwa kunyongwa hadi kufa

Huyu anatakiwa aendelee na kesi yake
 
Huyo jamaa bwana .. Si- muuaji Huyo

No wonder ccm imejaa wauaji kibao
 
ccm ni mtaji wa wehu
Kamanda Zombe achukua fomu kuomba ridhaa ya kuwania Ubunge Songea Mjini. Zombe ni maarufu kwenye midomo ya watu kutokana na kesi ya mauaji iliyokuwa inamkabiri ambapo mwaka 2016 aliachiwa huru na Mahakama ya Rufaa ambapo pia mshirika wake Christopher Bageni alihukumiwa kunyongwa hadi kufa.

Abdallah Zombe akiwa Kaimu Kamanda wa Dar, 2006 aliunganishwa kwenye kesi ya mauaji ya wafanyabiashara wa madini ambao ni Ephraim Sabinus Chigumbi, Sabinus Chigumbi Jongo, Juma Ngugu na Mathias Lunkombe.

Pia soma
> Kesi ya Abdallah Zombe: Mashitaka, hatia, hukumu na yanayojiri...
> DPP amuondolea shtaka Abdallah Zombe
> Zombe aachiwa huru, Mshirika wake ahukumiwa kunyongwa hadi kufa

 
Yaani huyu kesi yake ilikuwa ni lazima ninunue gazeti la mwananchi.Jamaa mjanja aliua wote waliokuwa na ushahidi wa kumtia kwenye kifungo cha kunyongwa.Kila lenye kheri kwake .
 
Kamanda Zombe achukua fomu kuomba ridhaa ya kuwania Ubunge Songea Mjini. Zombe ni maarufu kwenye midomo ya watu kutokana na kesi ya mauaji iliyokuwa inamkabiri ambapo mwaka 2016 aliachiwa huru na Mahakama ya Rufaa ambapo pia mshirika wake Christopher Bageni alihukumiwa kunyongwa hadi kufa.

Abdallah Zombe akiwa Kaimu Kamanda wa Dar, 2006 aliunganishwa kwenye kesi ya mauaji ya wafanyabiashara wa madini ambao ni Ephraim Sabinus Chigumbi, Sabinus Chigumbi Jongo, Juma Ngugu na Mathias Lunkombe.

Pia soma
> Kesi ya Abdallah Zombe: Mashitaka, hatia, hukumu na yanayojiri...
> DPP amuondolea shtaka Abdallah Zombe
> Zombe aachiwa huru, Mshirika wake ahukumiwa kunyongwa hadi kufa

Huyo Mwamba alipiga Pesa sana Enzi za Mahita.
 
Kamanda Zombe achukua fomu kuomba ridhaa ya kuwania Ubunge Songea Mjini. Zombe ni maarufu kwenye midomo ya watu kutokana na kesi ya mauaji iliyokuwa inamkabiri ambapo mwaka 2016 aliachiwa huru na Mahakama ya Rufaa ambapo pia mshirika wake Christopher Bageni alihukumiwa kunyongwa hadi kufa.

Abdallah Zombe akiwa Kaimu Kamanda wa Dar, 2006 aliunganishwa kwenye kesi ya mauaji ya wafanyabiashara wa madini ambao ni Ephraim Sabinus Chigumbi, Sabinus Chigumbi Jongo, Juma Ngugu na Mathias Lunkombe.

Pia soma
> Kesi ya Abdallah Zombe: Mashitaka, hatia, hukumu na yanayojiri...
> DPP amuondolea shtaka Abdallah Zombe
> Zombe aachiwa huru, Mshirika wake ahukumiwa kunyongwa hadi kufa

Mzee wangu pamoja ni haki yako lakini bado tuna uchungu na wale marehemu mliwaonea
 
Kuna sura zingine jamani, yaani sura haina mvuto wa kiuongozi kabisa.
 
Kwa ccm ilivyo basi huyo atapewa kipau mbele
Kamanda Zombe achukua fomu kuomba ridhaa ya kuwania Ubunge Songea Mjini. Zombe ni maarufu kwenye midomo ya watu kutokana na kesi ya mauaji iliyokuwa inamkabiri ambapo mwaka 2016 aliachiwa huru na Mahakama ya Rufaa ambapo pia mshirika wake Christopher Bageni alihukumiwa kunyongwa hadi kufa.

Abdallah Zombe akiwa Kaimu Kamanda wa Dar, 2006 aliunganishwa kwenye kesi ya mauaji ya wafanyabiashara wa madini ambao ni Ephraim Sabinus Chigumbi, Sabinus Chigumbi Jongo, Juma Ngugu na Mathias Lunkombe.

Pia soma
> Kesi ya Abdallah Zombe: Mashitaka, hatia, hukumu na yanayojiri...
> DPP amuondolea shtaka Abdallah Zombe
> Zombe aachiwa huru, Mshirika wake ahukumiwa kunyongwa hadi kufa

 
Back
Top Bottom