mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 10,506
- 19,859
Pale Mume anapomsifia mkewe alijitahidi kubana mapaja kumzuia mbakaji asimalizie bao lingine la pili..Habari.
Mnyonge mnyonge ila haki yake mpeni ndicho nimekiona kwa Abdallah Shaibu 'Ninja' kwenye mechi ya leo dhidi ya Azam Fc japo tumepoteza.
Ninja safi sana kwa hiyo spirit naendelea kukupa pongezi zako umeweza kufanya yote kama ulivyofanikiwa kukaba hadi kivuli katika nafasi yako kama defender.
Napendekeza kwa leo kuwa Man of the match 'MOTM'.
Mnyonge mnyonge ila haki yake mpeni!