Niite Profesa
Senior Member
- Jun 19, 2015
- 100
- 106
Habarini ndugu wana JF
Poleni na mihangaiko ya siku.
Niende moja kwa moja kwenye mada,ndugu zangu mimi ni kijana ninayepambana ili kuhakikisha naweza kutimiza ndoto na malengo niliyojiwekea.Nimekuwa nikipambana kwa muda sasa yapata miaka 3 tokea nilipomaliza elimu yangu kwenye chuo fulani.
Nimekuja hapa kwenye jukwaa la JF kuomba ushauri na kupatiwa maelekezo ya kina kuhusiana na issue ya Bajaji.Mambo ninayohitaji kuyafahamu ni kama ifuatavyo,
1.Nahitaji nianze kazi ya Bajaji.Je,ni vitu gani muhimu vya kuzingatia kabla sijaanza hii kazi kama dereva wa Bajaji?
2.Wapi naweza pata mafunzo ya uendeshaji wa Bajaji na kupatiwa leseni?
3.Kazi/biashara hii ya Bajaji inakabiliwa na changamoto zipi?
Pia kama kutakuwa na kitu cha muhimu ambacho sijakiuliza naomba unifahamishe ndugu mwana JF.
Natanguliza Shukrani na Mungu awabariki
Poleni na mihangaiko ya siku.
Niende moja kwa moja kwenye mada,ndugu zangu mimi ni kijana ninayepambana ili kuhakikisha naweza kutimiza ndoto na malengo niliyojiwekea.Nimekuwa nikipambana kwa muda sasa yapata miaka 3 tokea nilipomaliza elimu yangu kwenye chuo fulani.
Nimekuja hapa kwenye jukwaa la JF kuomba ushauri na kupatiwa maelekezo ya kina kuhusiana na issue ya Bajaji.Mambo ninayohitaji kuyafahamu ni kama ifuatavyo,
1.Nahitaji nianze kazi ya Bajaji.Je,ni vitu gani muhimu vya kuzingatia kabla sijaanza hii kazi kama dereva wa Bajaji?
2.Wapi naweza pata mafunzo ya uendeshaji wa Bajaji na kupatiwa leseni?
3.Kazi/biashara hii ya Bajaji inakabiliwa na changamoto zipi?
Pia kama kutakuwa na kitu cha muhimu ambacho sijakiuliza naomba unifahamishe ndugu mwana JF.
Natanguliza Shukrani na Mungu awabariki