RUCCI
JF-Expert Member
- Oct 6, 2011
- 1,701
- 1,714
Katika kesi yake amemshataki Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Tume ya Uchaguzi pamoja na mgombea wa CUF.
Katika madai yake Abbas Mtemvu anasema kuwa msimamizi wa Uchaguzi alibadilisha matokeo yake na kumpa mgombea wa CUF.
Amedai kuwa ushahidi wote anao na ana uhakika kesi ikienda vizuri na haki ikizingatiwa atatangazwa mshindi.