ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 17,274
- 22,008
Ivi hawa hawaongezi sifuri kweli kama wakwetuRapa kutoka nchini Marekani Lil Uzi ameonyesha kwamba pesa kwake 'sio kitu' kwa kubandika kipande cha madini ya Almasi(Pink Diamond) usoni cha thamani ya Dola za Kimarekani milioni 24 ($24Million) kama urembo.
Hatua hiyo imewashangaza wengi kwani kipande hicho cha Almasi kimewekwa kwa ustadi mkubwa bila kuwa na vishikizo vyoyote vinavyoonekana.
NB;Inabidi ajitunze sana maana 'wakulungwa'wakimwotea wataondoka na sura yote.View attachment 1711827View attachment 1711828