Little Angel
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 1,212
- 372
Naombeni mnisaidie plz,mi nimeajiriwa hivi karibuni na kampuni inatumia aar insurance. Nina kadi ya premier,je naweza itumia kumwona dentist?
<br />Ndiyo maana ya bima dada. Hiyo ni ruksa kabisa
Kaka/Dada acha mashauzi kwani mwajiri wako ana kazi gani mpaka uje kutuuliza maswali ya ajabu ajabu humu. Wewe kama umepewa kadi ya AAR Premier au whatever hiyo ni kimpango wako... Lakini sio kosa lako ni kwa kuwa ndio kwanza umeajiriwa!
naombeni mnisaidie plz,mi nimeajiriwa hivi karibuni na kampuni inatumia aar insurance. Nina kadi ya premier,je naweza itumia kumwona dentist?
<br />nyuma ya hiyo card kuna namba za simu, wapigie waulize maswali yoote! just note kama upo dsm kwa matibabu ya meno ni lazima uende hospitali yao iliyoko posta, karibu na haidery plaza.kama haupo dar wapigie wakupe maelekezo.<br />
pole, na kila la kheri (watz najua hatufanyi checkup, lazma uwe waumwa kinywa)
<br />Kaka/Dada acha mashauzi kwani mwajiri wako ana kazi gani mpaka uje kutuuliza maswali ya ajabu ajabu humu. Wewe kama umepewa kadi ya AAR Premier au whatever hiyo ni kimpango wako... Lakini sio kosa lako ni kwa kuwa ndio kwanza umeajiriwa!
<br />Inawezekana mwajiri wake hakumpa maelezo ya kutosha. Na pia baadhi ya insurers hawatoi policy documents kwa baadhi ya wateja wao.... Nimesema TU
<br />mkuu unaweza kumwona kwa kibali cha kutoka makao makuu aar..wako maakini sana na swala dentist kwa upande wa dar es salaam wameweka sheria swala la meno unaenda pale kwao mjini wanakuhusugulikia walikutana na bili za ajabu sana tmj aghakan kuhusu men nahisi wameamua kuakikisha meno unaenda mjini...pamoja na premier yako binafsi nina premio kabisa lakini awaruhusu mpaka nikaenda pale mjini wakanichiokonoa menoyangu ni wazuri nilikuwa naogopa maana nilikuwa na
<br />Wewe Little Angel wewe... I reserve my comments...
<br />
<br />
pdidy, thx sooo much for your useful information. Ila hujamalizia sentensi yako,plz malizia nna hamu ya kujua
Kaka/Dada acha mashauzi kwani mwajiri wako ana kazi gani mpaka uje kutuuliza maswali ya ajabu ajabu humu. Wewe kama umepewa kadi ya AAR Premier au whatever hiyo ni kimpango wako... Lakini sio kosa lako ni kwa kuwa ndio kwanza umeajiriwa!
<br />ooh nilikuwa nafanya chk up ya meno pale regency hospit wakanchomolea nikaenda tmj nikapewa live hiyo issue ya meno ikabidi niende mjini kilichoniumiza zaidi nilipofika ilikuwa jumatano nikaambiwa jumatano na ijumaa ni siku ambazo untakiwa kufanya booking ikabidi nirudi ofisini na maumivu nikafanya booking ijumaa nikaambiwa wamejaa mpaka nextweek kwa kweli niliumia nikampigia binti mmoja pale morocco naona mmechoka sasa akasema ni utaratibu so jaribu kupiga namba yao kwanza usijeomba job alafu ukute unatakiwa kwwenye booking pole bra hata mimi natarajia kwenda jumatatu nahisi lingine linatakiwa kuzibwa-jino ukiwepo j3 tujuzane