ngodowimkulu
Member
- Mar 20, 2017
- 93
- 18
Wewe Una bima ya afyaWizi mtupu let them go!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe Una bima ya afyaWizi mtupu let them go!!
ROho ya kimaskini na ulofa uliotukuka. Inakusaidia nini kumrudisha nyuma aliyeko mbele?
Mimi ningekuona una akili angalau kidogo kama ungezungumzia mwalimu naye atibiwe aga khan na sio kumuondoa aliyepo huko. Kanunue cherehani 4 ufungue kiwanda, maana akili zako zinatoshea kiwanda[/QUO.
roho ya huyu jamaa na mwenyekiti wao wa Chama Ni roho ya wivu, chuki na majungu, wanaombea matajiri wawe masikini kama wao lakini masikini wawe matajiri kama matajiri wengine
Agakhnan hawapokei bima ya NHIF... Fatilia vzur mkuukwani nhif ukienda agha khan utibiwi,acha upotoshaji ww nhif ukienda hospital yiyote unatibiwa
ULOFA, nothing more. Kuna kakitu kanaitwa Inferiority Complexion, ugonjwa huu wa akili una shida mbaya sana maana unaeneza chuki. Mtu hukaa akijihisihisi tu kuwa anaonekana dhaifu au duni, huishia kuwachukia wote anaodhani wanamzidi kwa hili au lile.alafu hyo ni kasumba ya watz wengi sijui y tunapenda kumuona binadam mwenzetu akianguka!!!sijui ni nini jamani yaan ukianguka yanashangilia mxiew
Sasa best hawa ndugu zetu wanaopunguzwa kazi watalipwa nn ? Na fao la kujitoa limefutwa ?Hautakosa huduma best.
Hilo nalo lingine, solution itapatikana tu.Sasa best hawa ndugu zetu wanaopunguzwa kazi watalipwa nn ? Na fao la kujitoa limefutwa ?
japo sipendi watanzania wakose kazi ila nachukia kampuni zinazokula hela za serikali kizembe zembe tu... mwalimu anatibiwa nhif huku mfanyakazi bot anatibiwa na AAR agakhan au best hospitals around the world.
hapa ndipo napomkubali magufuli...
hawa jamaa wamepiga sana hela za mashirika ya uma... wameguswa kidogo wanakimbilia kupunguza wafanyakazi
Hizi ndo roho za kimasikini..Hawa wahindi wamekula sana pesa zetu, sasa tuimarishe bima ya Taifa Tanzania. Waende tu kwanza wengi wahindi wamejazana.
sababu NHIF ni ya umma na mashirika si ya binafsi...Kwanini walazimishe shirika liende NHIF?
Hawaoni watabweteka wakijua watapata wateja tu??
Hutakuja kujinasua kwenye umasikini . MARK MY WORDSsawa.. ndio maana nimefurahi mwalimu na mbunge wote wawe nhif.. baada ya hapo wataona umuhimu wa hadi mwalimu na nhif wote waende agakhan..
ila umuhimu huo hawawezi uona wao wakiwa bima binafsi... huku walimu nhif
Ni sawa na kulazimisha wafanyakazi wote wa umma wapate ATCL.sababu NHIF ni ya umma na mashirika si ya binafsi...
Hawana autonomy kihiiiivyo...
NHIF si mbaya ila kweli wasibweteke...
Si mbaya sababu ela yao inatumika kuboresha hospital zetu akati ela ya hao bima wengine inaenda makwao iwe South au wapi wanajua wenyewe...
Kwa nini tusinunue bidhaa zetu (NHIF)
Utaambiwa hela zimeenda kujenga viwanda. Shirika halina hela kwa sasa..sababu NHIF ni ya umma na mashirika si ya binafsi...
Hawana autonomy kihiiiivyo...
NHIF si mbaya ila kweli wasibweteke...
Si mbaya sababu ela yao inatumika kuboresha hospital zetu akati ela ya hao bima wengine inaenda makwao iwe South au wapi wanajua wenyewe...
Kwa nini tusinunue bidhaa zetu (NHIF)
Akili za viongozi wa Tanzania ni kimasikini.Hutakuja kujinasua kwenye umasikini . MARK MY WORDS
Kujenga viwanda pia ni kosa...Utaambiwa hela zimeenda kujenga viwanda. Shirika halina hela kwa sasa..
Kwani ukichapwa huumwi?Aliumwa au kichapo?