AAR insurance inapunguza wafanyakazi, wateja hakuna. Mashirika yote ya umma yameambiwa bima ni NHIF

FRESHMAN

JF-Expert Member
Sep 29, 2011
8,822
33,517
Japo sipendi watanzania wakose kazi ila nachukia kampuni zinazokula hela za serikali kizembe zembe tu... mwalimu anatibiwa nhif huku mfanyakazi bot anatibiwa na AAR agakhan au best hospitals around the world.

hapa ndipo napomkubali magufuli...

hawa jamaa wamepiga sana hela za mashirika ya uma... wameguswa kidogo wanakimbilia kupunguza wafanyakazi.
1528127815580744843_1515006017.jpg
 
japo sipendi watanzania wakose kazi ila nachukia kampuni zinazokula hela za serikali kizembe zembe tu... mwalimu anatibiwa nhif huku mfanyakazi bot anatibiwa na AAR agakhan au best hospitals around the world.

hapa ndipo napomkubali magufuli...

hawa jamaa wamepiga sana hela za mashirika ya uma... wameguswa kidogo wanakimbilia kupunguza wafanyakazi
ROho ya kimaskini na ulofa uliotukuka. Inakusaidia nini kumrudisha nyuma aliyeko mbele?

Mimi ningekuona una akili angalau kidogo kama ungezungumzia mwalimu naye atibiwe aga khan na sio kumuondoa aliyepo huko. Kanunue cherehani 4 ufungue kiwanda, maana akili zako zinatoshea kiwanda
 
sawa.. ndio maana nimefurahi mwalimu na mbunge wote wawe nhif.. baada ya hapo wataona umuhimu wa hadi mwalimu na nhif wote waende agakhan..

ila umuhimu huo hawawezi uona wao wakiwa bima binafsi... huku walimu nhif


ROho ya kimaskini na ulofa uliotukuka. Inakusaidia nini kumrudisha nyuma aliyeko mbele?

Mimi ningekuona una akili angalau kidogo kama ungezungumzia mwalimu naye atibiwe aga khan na sio kumuondoa aliyepo huko. Kanunue cherehani 4 ufungue kiwanda, maana akili zako zinatoshea kiwanda
 
usibadili thread au topic.... point ni kwamba aar hawana wateja mashirika ya uma tena... ambao zamani walikuwa wateja wao.. mashirika yote yanaelekea nhif...

kwani nhif ukienda agha khan utibiwi,acha upotoshaji ww nhif ukienda hospital yiyote unatibiwa
kwani nhif ukienda agha khan utibiwi,acha upotoshaji ww nhif ukienda hospital yiyote unatibiwa
 
Policy mbovu kabisa.
Unalazimisha mashirika yote yaende NHIF huko ukiumwa unaamniwa maradha haya yana tibiwa na serikali hatulipi.
Ukipata tatizo ambalo hatuna uwezo nalo hamna cover ya kuwa transfered nje.
Na pia mfuko mwisha utaambiwa ujenge viwanda
Hata NIC nao wamepata vya bure..nila ya jasho...nao makapuni ya serikali yote yakate bima NIC ..sasa ulipo ruhusu competetion hukujua kuwa kampuni zitashindana kwa huduma ?
Haya tufanyao yote yana kwenda kinyume na sheria zetu za soko huria.
Sheria ya Fair Competetion act inaweka wazi kuwa ni kosa kufanya forced selling...hapa serikali inafanya forced sales...lazima ununue NIC
Hivi kwa nini yuna penda kuvunja sheria ?
Nadhani njia nzuri kwanza ni kufuta hizi sheria na pia turudi tu kwenye serikali kuhodhi njia zote za uchumi...kuanzia mabenki
Bima
Mashamba
Mkate
Cinema
Madini
Ndege..
Turudi tu kama 1967 kulikokujidai unataka biashara na wawekezaji halafu unakandamiza soko na kuwatia hasara wawekezaji
 
ROho ya kimaskini na ulofa uliotukuka. Inakusaidia nini kumrudisha nyuma aliyeko mbele?

Mimi ningekuona una akili angalau kidogo kama ungezungumzia mwalimu naye atibiwe aga khan na sio kumuondoa aliyepo huko. Kanunue cherehani 4 ufungue kiwanda, maana akili zako zinatoshea kiwanda

Watz bana roho za kimasikini zimezidi,
Rais na yeye atibiwe mwananyamala
Ubepari ni mfumo uliokamilika hutaki nenda korea kaskazin kapinde mgongo
 
japo sipendi watanzania wakose kazi ila nachukia kampuni zinazokula hela za serikali kizembe zembe tu... mwalimu anatibiwa nhif huku mfanyakazi bot anatibiwa na AAR agakhan au best hospitals around the world.

hapa ndipo napomkubali magufuli...

hawa jamaa wamepiga sana hela za mashirika ya uma... wameguswa kidogo wanakimbilia kupunguza wafanyakazi
Firstly, socialism does not reward hard work. Say, for example, that Raj works twice as hard as Mark. Surely Raj should be entitled to twice the pay that Mark gets. However, they both get the same. Over time, Raj will grow wise to the unfairness which is blighting his life, and he will work the same amount as Mark, as, after all, they do not get proportional rewards for their labour. This creates a culture of entitlement where everyone feels as though they need rewards for minimal, or no, work. This undermines the basic human principle of “work hard, reap rewards”, and means that laziness is promoted, which can only start a chain reaction towards a gradually more irresponsible society. This means that even the young children, growing up, know that whatever they do, they will just earn the same as someone else and so do not need to work hard, as there is no hope of a large reward, so work ethics stagnate.
 
Back
Top Bottom