Kamwene kamwene
JF-Expert Member
- Jul 7, 2019
- 1,159
- 2,585
Yani mtu unajitoa ufahamu unasema ngoja nifanye utalii kwa kutumia ulimi kwenye mwili wa mrembo unakutana na radha ya ajabu ajabu.
Kwenye chuchu kuna tundu la kupishia maziwa kuna uchafu sana muwe mnasafisha ambao hamnyonyeshi
Kwenye kitovu kuna uchafu wa sabuni na jasho muwe mnasafisha, mtakuja kutukata ulimi wenzenumana sio kwa chumvi niliyokutana nayo
Nyuma ya makalio na chini ya maziwa kwa chini hasa nyie wenye misambwanda muwe mnapitisha dodoki
Kwa leo naishia hapa ole wenu nije nikutane na balaa tena mtanitambua, Uvinza bado sijafika nimeshakutana na chumvi
Kamwene kamwene nyeee..
Kwenye chuchu kuna tundu la kupishia maziwa kuna uchafu sana muwe mnasafisha ambao hamnyonyeshi
Kwenye kitovu kuna uchafu wa sabuni na jasho muwe mnasafisha, mtakuja kutukata ulimi wenzenumana sio kwa chumvi niliyokutana nayo
Nyuma ya makalio na chini ya maziwa kwa chini hasa nyie wenye misambwanda muwe mnapitisha dodoki
Kwa leo naishia hapa ole wenu nije nikutane na balaa tena mtanitambua, Uvinza bado sijafika nimeshakutana na chumvi
Kamwene kamwene nyeee..