Fisherscom
JF-Expert Member
- Mar 13, 2008
- 1,763
- 764
Kwa wale walio jirani na tv hivi sasa angalia Eatv muda huu mahojiano kati ya Salama na Lulu. Mtoto mdogo mambo mazito.
Ni kufanya yaliyo mema sababu hatujui siku wala saa. Hakika dunia tambara bovu!Yap mahojiano yanarudiwa as if ilijulikana before baada ya kanumba kuhojiwa then lulu.
Binadamu wote ni blind hatujui nini kinakuja soon
Kama unavyojua issue za polisi mkuu haziendi haraka namna hiyo. Ni kusubiri tu...helo...guyz...huyo lulu 2memxoma kwenye mkas lakn twatakajua huko polis mpango mzma inakuaje?
Kanajishaua sana sasa atakiona kumbe ndio alivyo kuwa anajibu kitoto kweli na picha zake za utupu bado.