Aaga dunia siku moja kabla ya kuhitimu Chuo Kikuu !!

Tetra

JF-Expert Member
Oct 5, 2012
1,520
764
Katika hali inayotia simanzi,dada mmoja Chuo Kikuu Cha Arusha ameaga dunia kwa ajali mbaya ya gari.Ambapo taarifa za awali (zisizo thibitishwa) zinaonyesha gari lilikuwa linaendeshwa na mumewe.Jana jioni mhitimu huyo mtarajiwa alionekana akifanya mazoezi ya kuvaa joho na kumatch.Mahafali ya kupata Degree yatafikia kilele hapo tarehe 2.Dec,2012 Chuo Kikuu cha Arusha..Mwanadam hana uamuzi na uhai wake,,Bwana ametoa Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe
 
So sad hakuna anaye jua siku wala saa!

R.i.p mdada
 
Mungu awatie nguvu wafiwa. Madereva kuweni makini jamani. Hayo magari ni nyenzo nzuri yanapotumika vizuri. Yakitumika vibaya ni killing machines.
 
As long as matokeo yake yalishapitishwa na senate, nasi amehitimu digrii yake. Kama kuna vacancies huko aendapo anaweza kuapply. Kesho atatajwa na kupigiwa brass band na kutunukiwa digrii yake. Hongera marehemu, pumzika kwa amani.
 
As long as matokeo yake yalishapitishwa na senate, nasi amehitimu digrii yake. Kama kuna vacancies huko aendapo anaweza kuapply. Kesho atatajwa na kupigiwa brass band na kutunukiwa digrii yake. Hongera marehemu, pumzika kwa amani.
a u seriouz?
 
RIP Mhitimu!

Kawaida vifo vya naman hii huwa vimeshatokea moyoni kwa muathirika na ajali inahitsha tu!! ...alikuwa na deep conflicts ianyohizunguka kuikwaa degree yake .
 
Dah... Haya maisha kweli hayana maana..!! Dada wa watu kahangaika weee na shule mwisho wa siku hata degree yake haifaidi..!! R.I.P dada..!!
 
Its sad n i stil can't blv what hapened.. I saw her yesterday 9t n she was really happy in her regalia..
ama kweli kaziye Mola..
 
As long as matokeo yake yalishapitishwa na senate, nasi amehitimu digrii yake. Kama kuna vacancies huko aendapo anaweza kuapply. Kesho atatajwa na kupigiwa brass band na kutunukiwa digrii yake. Hongera marehemu, pumzika kwa amani.

kumbe ni weekend!!!
 
..hahah hhah! why ask such a seroiuz question like this you lovel... named GIRL?

As long as matokeo yake yalishapitishwa na senate, nasi amehitimu digrii yake. Kama kuna vacancies huko aendapo anaweza kuapply. Kesho atatajwa na kupigiwa brass band na kutunukiwa digrii yake. Hongera marehemu, pumzika kwa amani.
 
As long as matokeo yake yalishapitishwa na senate, nasi amehitimu digrii yake. Kama kuna vacancies huko aendapo anaweza kuapply. Kesho atatajwa na kupigiwa brass band na kutunukiwa digrii yake. Hongera marehemu, pumzika kwa amani.

hatari hii!!!
 
As long as matokeo yake yalishapitishwa na senate, nasi amehitimu digrii yake. Kama kuna vacancies huko aendapo anaweza kuapply. Kesho atatajwa na kupigiwa brass band na kutunukiwa digrii yake. Hongera marehemu, pumzika kwa amani.

mmmh!! :-O
 
a u seriouz?

i am very serious. Kuhitimu chuo ni kufaulu mitihani. Kama alifaulu toka mwezi wa tisa, basi anapigiwa brass band na kutunukiwa shahada. Ndio utaratibu. Tena naona kama marehemu anapewa heshima kuliko graduants wote. Manake akitajwa mnasimama, anapigiwa peke yake. Wakati undergraduates mostly digrii hazitunukiwi mmoja mmoja, ni mafungu.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom