nimecheka km mazuri lol.Hayo makundi yaliyosamehewa kwa kifupi yanaonekana ni mzigo kwa serikali ya CCM. Wazee wengi 75+ wanasema wakiugua wanawahi hospitali, kwenye foleni wanatengwa wanaambiwa wasubiri. Mpaka wale wenye Bima waonwe wote hapo ni saa 8 mchana ndiyo unaandikiwa paracetamol hata kama unaharisha.
OvaLini mtatangaza sera zenu kama kila siku ni kujibu hotuba za Lissu.
..una tatizo la uelewa.
..kutakuwa na bima ya afya kwa raia wote wa Tz.
..rwanda wana bima ya afya kwa raia wao, kwanini watanzania tushindwe?
..una tatizo la uelewa.
..kutakuwa na bima ya afya kwa raia wote wa Tz.
..rwanda wana bima ya afya kwa raia wao, kwanini watanzania tushindwe?
..una tatizo la uelewa.
..kutakuwa na bima ya afya kwa raia wote wa Tz.
..rwanda wana bima ya afya kwa raia wao, kwanini watanzania tushindwe?
Hizo ni UHCI siyo UHC. Wanaziita Universal Health Care Insurance. Ni mifuko ya bima ya afya inayomilikiwa na serikali zao kama hii ya kwetu ambayo sisi tunaiita National Health Insurance Fund. UHC ni mfumo, health insurances ni mojawapo tu wa mikakati ya kuwezesha mfumo huo. Canada hiyo UHCI ni free, maana yake serikali ya Canada inatenga fungu (vote) la serikali kwenye bajeti yake ambalo watoa huduma wote wa afya (wa binafsi na wa serikali) hurejeshewa gharama waliyotumia kuwahudumia wateja wao...UHC ipo kwa nchi kama Canada, Ujerumani, na kwa majirani zetu wa Rwanda.
Zinanunuliwa at realistic rate la sivyo bima hizo zitafilisika. Huwezi kwa mfano ukauziwa premium ya comprehensive insurance ya gari lako la thamani ya sh million 200 kwa shilingi laki moja (affordable) tu. Utakapopata ajali na gari lako likawa written off, huyo mmiliki wa hiyo bima yako atashindwa kuilipa la sivyo atafirisika...itanunuliwa at an affordable