Aache upotoshaji: Universal Health Care haimaanishi Bima ya Afya. 'Universal Health Care Coverage' kwa Tanzania tuko 100% tangia enzi za Mwl. Nyerere

Kisha anajiita Dr..
Mh unasema anapotosha halafu unajijibu mwenyewe kwenye aya ya kwanza tu.

Mlivyo wajinga unaweza kuta hapo huna hata bima ya afya, wazazi wako hawana bima ya afya.

Unaowapigania hata wakiugua ventilator zinatolewa mahospitalini na kupelekwa majumbani kwao wakajitibu nyinyi mteketee kwa kukosa huduma.
 
Acha uongo wa kisiasa. Usichokijua ni kuwa kuna madaktari humu. Hili siyo jukwaa la wanasiasa tu. UHC ni strategy/mkakati ya kuwezesha watu kupata huduma za afya bila ya kuingia katika matitizo makubwa kifedha (catastrophic expenditure). Kwa kiasi kikubwa, mkakati huu unategemea bima ya afya. Nimepata kufanya kazi WHO kitengo cha UHC. Kama una swali uliza.
Huyu mgombea kila kukicha anawapotosha wananchi kwa kuwaeleza mambo ambayo si sahihi. Anaongea mambo ambayo hayajui na hana utalaamu nayo. Hana wataalamu wa kumshauri ukweli wa kile anachokusudia kuwaeleza wananchi.

Moja ya upotoshaji anasema ni kuwa akichaguliwa atawaletea watanzania wote Universal health care. Ukimsikiliza utagundua kuwa kwake universal health care maana yake ni bima ya taifa ya afya kwa wote. Utagundua kuwa bima ya afya yataifa kwake ni NIHF tu. Hajui kuwa kuna bima zingine za afya za taifa kama CHF, TIKA, SHIB ya NSSF na kadhalika. Hajui kwamba kuna makampuni binafsi zaidi ya saba nchini yanayotoa bima ya afya. Hajui kwamba hadi sasa mzigo mkubwa wa gharama ya matibabu ya watanzania bado unabebwa na serikali kupitia mapato yake ya kodi kwa ujumla (government revenue)

Ukweli ni kwamba:
1.
Universal health care a.k.a universal health coverage (UHC) is a health care system in which all residents of a particular country are assured access to health care. The World Health Organization describes it as a situation where all citizens of a particular country can access health services without incurring financial hardship.

Maana yake ni kwamba UHC ni mfumo wa serikali unaohakikisha raia wake wote wanapata huduma za afya. UHC ni sera ya nchi na mfumo wake unatekelezwa kwa kuundiwa sheria kanuni na taratibu za utekelezaji.

2. Tangia enzi za Mwalimu Nyerere raia wote wa Tanzania walikuwa wanapata huduma za afya bila kulipa chochote. Gharama zote zilibebwa na serikali kupitia mapato yake ya kodi (TRA) na yasiyokuwa ya kodi (government revenues). Sisi tuliyaita matibabu ya bure. Hivyo universal health care coverage ilikuwa 100% kwa gharama ya serikali ya 100% kupitia bajeti yake ya wizara ya afya.

3. Kufikia miaka ya 1990s, kutokana na ongezeko la watu (population) na ongezeko la gharama za tiba kufuatana na teknolojia za kisasa za tiba zenye gharama kubwa, serikali yetu (kama zingine duniani) ilielemewa na mzigo huu wa kutoa huduma bure kwa wote.
Hivyo kwa sababu hizo lakini bila kuathiri universal health care policy, serikali ilibadilisha kidogo mfumo huo kwa kuanzisha utaratibu wa health cost sharing kwa wale wenye kauwezo. Kwa utaratibu huu mgonjwa alitakiwa kuchangia asilimia kidogo ya gharama ya matibabu yake. Gharama kubwa ilibebwa na serikali.

Kwa wale ambao hawana uwezo kabisa wa kuchangia serikali iliweka utaratibu wa kuwasamehe. Makundi yafuatayo hayakusika na utaratibu huu wa cost sharing (hadi sasa): Watoto wote walio chini ya miaka mitano, mama wajawazito, wenye umri unaozidi miaka sitini, wenye magonjwa ya kansa, kifua kikuu, HIV na magonjwa mengine sugu. Hawa bado serikali inabeba gharama zao za matibabu kupitia bajeti yake ya walipa kodi wote nchini. Pia kwa magonjwa ya dharura mtoa huduma analazimishwa kutoa huduma kwanza, masuala ya kiasi gani mgonjwa achangie ataulizwa baada ya kupona na kama hatakuwa na uwezo huo utaratibu wasamaha utafuata baada ya kupona.

Hivyo hata baada ya kuanzisha cost sharing mfumo ulihakikisha universal health care kwa raia wote kwa serikali kubeba most of the cost. Ingawa kiwango cha hii cost sharing ya mgonjwa imekuwa ikiongezwa kidogo kidogo lakini hadi sasa burden kubwa bado inaendelea kubebwa na serikali. Kwa mfano gharama ya operesheni ya Caesarian Section huko Amerika ni USD 18,000 ambayo ni sawa na takribani Tsh 40 million lakini sisi hapa cost anayopaswa kuchangia mgonjwa haizidi Tshs 150,000/ na kama ni ya uzazi ni bure na kama hana uwezo anasamehewa au analipa kidogo ya hiyo. Inayobaki serikali inabeba kuhakikisha hakuna raia wake atakayekufa kwa kukosa uwezo wa kulipia gharama hizo. Hence 100% universal health coverage.

Dhana na chimbuko la bima za afya (Evolution of other health care financing in Tanzania):
Ili kurahisisha na kupunguza buguza/ changamoto ulipwaji wa hizo cost sharing kwa upande wa mgonjwa serikali iliunda bima za afya za taifa (public owned health insurance schemes:

1. The National Insuranse Health Fund (NIHF) ilianzishwa mwaka 1999 (Act of Parliament No. 8 of 199 -CAP 395 RE 2002) kwa ajili kwa waajiriwa wa serikali - government workers. Kila mwajirwa wa serikali alilazimika kukatwa 3% ya mshahara wake kila mwezi na serikali kutoa kiasi hicho hicho kutoka vyanzo vyake vingine vya mapato hivyo kupata 6% ya mshahara na kuuweka kwenye huo mfuko wa bima wa taifa. Mchango huo unamuwezesha mtumishi huyo pamoja na mwenza wake, watoto wao wasiozidi 4 wenye umri usiozidi miaka 18 na wazazi wake wawili - jumla watu sita kupata matibabu kwa gharama ya mfuko huo wa NIHF.

NB: - Waajiri na waajiriwa binafsi hawalazimiki kisheria kwa sasa kujiunga na mfuko huu. Ni wa hiari kwao.
- hulipa Shs 50,000 tu kwa mwaka kuwa wanachama wa mfuko huu.

2. Community Health Fund (CHF): Walengwa hasa wa mfuko huu ni wakazi wa vijijini. Ni mfuko wa hiari. Kila kaya hulipa Sh 10,000 tu kwa mwaka ambayo huwezesha mkuu wa kaya pamoja na watoto wao wote wenye umri chini ya miaka 18 kupata matinabu kwenye ngazi ya zahanati, kituo cha afya hadi hospitali ya wilaya bila mchango mwingine.

3. TIKA (Tiba kwa Kadi): Huu unafanana na ule wa CHF, tofauti hapa ni kaya zilizo mjini.

4. SHIB - ni Social health insurance benefit ulio chini ya National Social Scurity Fund (NSSF).

Ukiacha hizo mifuko aina 4 za bima za afya za kitaifa pia yapo makampuni zaidi ya saba yanayoendesha private health insuranses eg AAR, Strategy etc. Pia bima za maisha zinazotolewa na bima za kawaida huwa zina health insurance.

Mgombea huyo anapaswa kujua basics hizi badala ya kujifanya much know na kuanza kupotosha wananchi kwamba wataletewa UHC kutoka ubelgiji. Hiyo Obamacare haifiki ya kwetu kwa ubora na kwa coverage. UHC coverage ya kwetu bado ni 100%. Hakuna anayekosa matibabu au kufa kwa sababu hana pesa. Nchi zingine haziko hivyo.
 
Ujajifanya mwerevu kuliko mwenyekiti wako wa ccm.. mwenyekiti wako anaelewa anacho ongea lisu ndio maana ameamua kuchomekea kwa sababu ni hoja yenye mashiko.
Kati ya Lisu na Magufuri Nani kaongoza kumuonglea mwezie
Lisuwenu toka Akiwa kitandani Anamuota JPM,Kapona Anamuota,,
 
I dont think so but what i know is politics is letting people who have got a psychological approach or convincing power to rule, so whatever they did or had have done still people would be convinced by one way or another coz it was that trust once created in them at first place
 
haipo hiyo kitu duniani....
unless u tax watu 50% kama baadhi ya nchi..

Acheni kutaka dunianiwe heaven

Haya boss vichwa vyenu zilaini..

Hata mwenyekiti wenu anawaza ruzuku sio uraisi...

wake up

Viva JPM 2020 to infinity
Tatizo vichwa vyenu vigumu kuelewa na ndio maana mwenyekiti wenu anawadharau sana.
 
Acha uongo wa kisiasa. Usichokijua ni kuwa kuna madaktari humu. Hili siyo jukwaa la wanasiasa tu. UHC ni strategy/mkakati ya kuwezesha watu kupata huduma za afya bila ya kuingia katika matitizo makubwa kifedha (catastrophic spending). Kwa kiasi kikubwa, mkakati huu unategemea bima ya afya. Nimepata kufanya kazi WHO kitengo cha UHC. Kama una swali uliza.

Hujui cho chote. Mimi ni mwalimu wako.
 
Unafikiri udokta wangu ni wa kuokota majalalani? Kuwa na imani na hiki ninachokuambia mtoto wangu. Hunijui na mimi sikujui. Trust me.
Haaaa!! We jamaa ni doctor kitaaluma??!! Sasa kwa akili yako hii kwanza umewezaje kuvuka mitihani ya level zote hizo hadi ukawa dokta? Na unawezaje kutibu wagonjwa kwa akili hizo?!!

Duuh, ningejua hivyo tangu awali nisingepoteza hata kujibu huo upuuzi wako, kama umetumia muda wote huo kukaa darasani na bado akili zimeishia hapo.
 
UHC embodies three related objectives:
i) Equity in access to health services - everyone who needs services should get them, not only those who can pay for them;
ii) The quality of health services should be good enough to improve the health of those receiving services; and
iii) People should be protected against financial-risk, ensuring that the cost of using services does not put people at risk of financial harm.

*TZ
33 - 40 % are covered by any form of social protection including health insurance (NHIF, iCHF, SHIB, Private, etc). Insured have to incure some co-payments when accessing some of the healthcare benefits

25-30% of TZ citizens pay out-of-pocket when accessing healthcare services

less than 3% of the citizens are pushed into poverty after incurring out-of-pocket when accessing healthcare services
 
Acha kuamini majungu. Ni mtanzania yupi aliyeachwa akafa akiwa kwenye hospitali, kituo cha afya au zahanati zetu za serikali kwa sababu hana pesa?

Uhaba wa madawa na vifaa tiba ni suala tofauti. Hili linatokana na mzigo mkubwa ambao serikali inaendelea kuubeba katika hiyo cost sharing kati ya mgonjwa na serikali. Hata hivyo kupitia fedha za mafisadi ambao serikali imewabana pamoja na kuongeza makusanyo ya kodi kutoka Tsh 800 billion kwa mwezi mwaka 2015 hadi Tsh 1.5 trillion kwa mwezi mwaka 2020, uhaba wa dawa na vifaa tiba umepungua kwa kiasi kikubwa sana. Serikali imeweza kuongeza bajeti ya madawa MSD kutoka Tsh 28 billion hadi Tsh 280 billion. Imeongeza wataalamu wa afya kwenye vituo tiba kwa kiasi kikubwa nk. Hata yale magonjwa yaliyohitaji kutibiwa nje ya nchi mengi yake sasa yanatibika hapa hapa. Kwa kasi hii uhaba wa dawa, vifaa tiba na watalaamu wa afya muda si mrefu litakuwa historia. Tumefanya yote haya kwa pesa zetu za ndani. Hakuna cha mikopo wala cha misaada ya wajomba. Lissu haya hayajui. Yeye anadhani haya yanafanywa na bima ya afya. Eti anasema akichaguliwa kuwa rais bima ya afya itawapandisha mishahara madaktari na manesi mara dufu!
Acha kuongea mambo usiyoyajua.hali ni tete sana uko kwenye vituo vya afya vya serikali sema ndo hivyo watz hatuna tu utamaduni wakusema sana.Ata wewe unajua fika hali iluvyo ila kwavile ni mnufaika wa huu ujinga unatetea.
 
Huyu mgombea kila kukicha anawapotosha wananchi kwa kuwaeleza mambo ambayo si sahihi. Anaongea mambo ambayo hayajui na hana utalaamu nayo. Hana wataalamu wa kumshauri ukweli wa kile anachokusudia kuwaeleza wananchi.

Moja ya upotoshaji anasema ni kuwa akichaguliwa atawaletea watanzania wote Universal health care. Ukimsikiliza utagundua kuwa kwake universal health care maana yake ni bima ya taifa ya afya kwa wote. Utagundua kuwa bima ya afya yataifa kwake ni NIHF tu. Hajui kuwa kuna bima zingine za afya za taifa kama CHF, TIKA, SHIB ya NSSF na kadhalika. Hajui kwamba kuna makampuni binafsi zaidi ya saba nchini yanayotoa bima ya afya. Hajui kwamba hadi sasa mzigo mkubwa wa gharama ya matibabu ya watanzania bado unabebwa na serikali kupitia mapato yake ya kodi kwa ujumla (government revenue)

Ukweli ni kwamba:
1.
Universal health care a.k.a universal health coverage (UHC) is a health care system in which all residents of a particular country are assured access to health care. The World Health Organization describes it as a situation where all citizens of a particular country can access health services without incurring financial hardship.

Maana yake ni kwamba UHC ni mfumo wa serikali unaohakikisha raia wake wote wanapata huduma za afya. UHC ni sera ya nchi na mfumo wake unatekelezwa kwa kuundiwa sheria kanuni na taratibu za utekelezaji.

2. Tangia enzi za Mwalimu Nyerere raia wote wa Tanzania walikuwa wanapata huduma za afya bila kulipa chochote. Gharama zote zilibebwa na serikali kupitia mapato yake ya kodi (TRA) na yasiyokuwa ya kodi (government revenues). Sisi tuliyaita matibabu ya bure. Hivyo universal health care coverage ilikuwa 100% kwa gharama ya serikali ya 100% kupitia bajeti yake ya wizara ya afya.

3. Kufikia miaka ya 1990s, kutokana na ongezeko la watu (population) na ongezeko la gharama za tiba kufuatana na teknolojia za kisasa za tiba zenye gharama kubwa, serikali yetu (kama zingine duniani) ilielemewa na mzigo huu wa kutoa huduma bure kwa wote.
Hivyo kwa sababu hizo lakini bila kuathiri universal health care policy, serikali ilibadilisha kidogo mfumo huo kwa kuanzisha utaratibu wa health cost sharing kwa wale wenye kauwezo. Kwa utaratibu huu mgonjwa alitakiwa kuchangia asilimia kidogo ya gharama ya matibabu yake. Gharama kubwa ilibebwa na serikali.

Kwa wale ambao hawana uwezo kabisa wa kuchangia serikali iliweka utaratibu wa kuwasamehe. Makundi yafuatayo hayakusika na utaratibu huu wa cost sharing (hadi sasa): Watoto wote walio chini ya miaka mitano, mama wajawazito, wenye umri unaozidi miaka sitini, wenye magonjwa ya kansa, kifua kikuu, HIV na magonjwa mengine sugu. Hawa bado serikali inabeba gharama zao za matibabu kupitia bajeti yake ya walipa kodi wote nchini. Pia kwa magonjwa ya dharura mtoa huduma analazimishwa kutoa huduma kwanza, masuala ya kiasi gani mgonjwa achangie ataulizwa baada ya kupona na kama hatakuwa na uwezo huo utaratibu wasamaha utafuata baada ya kupona.

Hivyo hata baada ya kuanzisha cost sharing mfumo ulihakikisha universal health care kwa raia wote kwa serikali kubeba most of the cost. Ingawa kiwango cha hii cost sharing ya mgonjwa imekuwa ikiongezwa kidogo kidogo lakini hadi sasa burden kubwa bado inaendelea kubebwa na serikali. Kwa mfano gharama ya operesheni ya Caesarian Section huko Amerika ni USD 18,000 ambayo ni sawa na takribani Tsh 40 million lakini sisi hapa cost anayopaswa kuchangia mgonjwa haizidi Tshs 150,000/ na kama ni ya uzazi ni bure na kama hana uwezo anasamehewa au analipa kidogo ya hiyo. Inayobaki serikali inabeba kuhakikisha hakuna raia wake atakayekufa kwa kukosa uwezo wa kulipia gharama hizo. Hence 100% universal health coverage.

Dhana na chimbuko la bima za afya (Evolution of other health care financing in Tanzania):
Ili kurahisisha na kupunguza buguza/ changamoto ulipwaji wa hizo cost sharing kwa upande wa mgonjwa serikali iliunda bima za afya za taifa (public owned health insurance schemes:

1. The National Insuranse Health Fund (NIHF) ilianzishwa mwaka 1999 (Act of Parliament No. 8 of 199 -CAP 395 RE 2002) kwa ajili kwa waajiriwa wa serikali - government workers. Kila mwajirwa wa serikali alilazimika kukatwa 3% ya mshahara wake kila mwezi na serikali kutoa kiasi hicho hicho kutoka vyanzo vyake vingine vya mapato hivyo kupata 6% ya mshahara na kuuweka kwenye huo mfuko wa bima wa taifa. Mchango huo unamuwezesha mtumishi huyo pamoja na mwenza wake, watoto wao wasiozidi 4 wenye umri usiozidi miaka 18 na wazazi wake wawili - jumla watu sita kupata matibabu kwa gharama ya mfuko huo wa NIHF.

NB: - Waajiri na waajiriwa binafsi hawalazimiki kisheria kwa sasa kujiunga na mfuko huu. Ni wa hiari kwao.
- hulipa Shs 50,000 tu kwa mwaka kuwa wanachama wa mfuko huu.

2. Community Health Fund (CHF): Walengwa hasa wa mfuko huu ni wakazi wa vijijini. Ni mfuko wa hiari. Kila kaya hulipa Sh 10,000 tu kwa mwaka ambayo huwezesha mkuu wa kaya pamoja na watoto wao wote wenye umri chini ya miaka 18 kupata matinabu kwenye ngazi ya zahanati, kituo cha afya hadi hospitali ya wilaya bila mchango mwingine.

3. TIKA (Tiba kwa Kadi): Huu unafanana na ule wa CHF, tofauti hapa ni kaya zilizo mjini.

4. SHIB - ni Social health insurance benefit ulio chini ya National Social Scurity Fund (NSSF).

Ukiacha hizo mifuko aina 4 za bima za afya za kitaifa pia yapo makampuni zaidi ya saba yanayoendesha private health insuranses eg AAR, Strategy etc. Pia bima za maisha zinazotolewa na bima za kawaida huwa zina health insurance.

Mgombea huyo anapaswa kujua basics hizi badala ya kujifanya much know na kuanza kupotosha wananchi kwamba wataletewa UHC kutoka ubelgiji. Hiyo Obamacare haifiki ya kwetu kwa ubora na kwa coverage. UHC coverage ya kwetu bado ni 100%. Hakuna anayekosa matibabu au kufa kwa sababu hana pesa. Nchi zingine haziko hivyo.
Tulieni hivyo hivyo sindano iingie!
 
..rwanda wana bima ya afya kwa raia wao, kwanini watanzania tushindwe?
Acha kutulinganisha sisi na hako ka nchi kadogo ka Rwanda kanakolingana na Zanzibar. Hata sisi huko Zanzibar huduma zote za afya ni bure. Gharama zote za matibabu zinabebwa na serikali yao ya mapinduzi. Hakuna cha bima wala nini, ukiugua unatibiwa bure. Huku bara haiwezekani unless tupandishe VAT mara mbili - kitu ambacho wabara hawatakubali.

Hata huko ughaibuni hali iko hivyo. Kwa mfano Canada ni ka nchi kadogo sana ukilinganisha na Amerika (USA). Canada ina idadi ya watu million 30 tu ukilinganisha na million 330 ya USA. Hivyo Canada inatoa matibabu bure (wanayoiita free universal health care insurance), kitu ambacho USA hakiwezekani.
 
Acha kutulinganisha sisi na hako ka nchi kagogo ka Rwanda kanakolingana na Zanzibar. Hata sisi huko Zanzibar huduma zote za afya ni bure. Gharama zote za matibabu zinabebwa na serikali yao ya mapinduzi. Hakuna cha bima wala nini, ukiugua unatibiwa bure.

..huku Tanganyika wananchi wote tutatibiwa kwa bima.

..Inawezekana. Timiza wajibu wako.
 
..huku Tanganyika wananchi wote tutatibiwa kwa bima.

..Inawezekana. Timiza wajibu wako.
Ni bima ambayo utainunua. Gharama yake kwa mfano ile comprehensive insurance inayotolewa na NIHF ni shillingi million moja na nusu kwa mwaka kwa mtu mmoja. Hakuna bima ya bure, ikiwa ya bure haitaitwa bima. Ulishaona wapi kwa mfano bima ya gari, bima ya moto, bima ya maisha nk inatolewa bure?
 
Ni bima ambayo utainunua. Gharama yake kwa mfano ile comprehensive insurance inayotolewa na NIHF ni shillingi million moja na nusu kwa mwaka kwa mtu mmoja. Hakuna bima ya bure, ikiwa ya bure haitaitwa bima. Ulishaona wapi kwa mfano bima ya gari, bima ya moto, bima ya maisha nk inatolewa bure?

..itanunuliwa at an affordable rate.

..kila mwananchi ataweza kuimudu bei yake.

..UHC ipo kwa nchi kama Canada, Ujerumani, na kwa majirani zetu wa Rwanda.
 
Acha kuongea mambo usiyoyajua.hali ni tete sana uko kwenye vituo vya afya vya serikali sema ndo hivyo watz hatuna tu utamaduni wakusema sana.Ata wewe unajua fika hali iluvyo ila kwavile ni mnufaika wa huu ujinga unatetea.
Hali ni mbaya kwa sababu uchumi wa nchi yetu ulikuwa mdogo. Uchumi wetu ulikuwa unaneemesha mataifa ya wanjanja (wanyonyaji) tulioaminishwa ni wawekezaji. Sasa tumejitambua. Mafisadi na wanyonyaji hawa tumewakaba penyewe. Sasa uchumi wetu unapaa. Ndani ya miaka 5 umefikia kiwango cha kati na hali ya vituo vyetu vya afya sasa ni nafuu sana. Itaendelea kuwa bora zaidi jinsi uchumi wetu utakavyoendelea kuimarika. Wahenga wanasema mkono mtupu haulambwi. Sisi mkono wetu hauko tupu tena na kwa hivyo tumeanza kuulambalamba!
 
Huyu mgombea kila kukicha anawapotosha wananchi kwa kuwaeleza mambo ambayo si sahihi. Anaongea mambo ambayo hayajui na hana utalaamu nayo. Hana wataalamu wa kumshauri ukweli wa kile anachokusudia kuwaeleza wananchi.

Moja ya upotoshaji anasema ni kuwa akichaguliwa atawaletea watanzania wote Universal health care. Ukimsikiliza utagundua kuwa kwake universal health care maana yake ni bima ya taifa ya afya kwa wote. Utagundua kuwa bima ya afya yataifa kwake ni NIHF tu. Hajui kuwa kuna bima zingine za afya za taifa kama CHF, TIKA, SHIB ya NSSF na kadhalika. Hajui kwamba kuna makampuni binafsi zaidi ya saba nchini yanayotoa bima ya afya. Hajui kwamba hadi sasa mzigo mkubwa wa gharama ya matibabu ya watanzania bado unabebwa na serikali kupitia mapato yake ya kodi kwa ujumla (government revenue)

Ukweli ni kwamba:
1.
Universal health care a.k.a universal health coverage (UHC) is a health care system in which all residents of a particular country are assured access to health care. The World Health Organization describes it as a situation where all citizens of a particular country can access health services without incurring financial hardship.

Maana yake ni kwamba UHC ni mfumo wa serikali unaohakikisha raia wake wote wanapata huduma za afya. UHC ni sera ya nchi na mfumo wake unatekelezwa kwa kuundiwa sheria kanuni na taratibu za utekelezaji.

2. Tangia enzi za Mwalimu Nyerere raia wote wa Tanzania walikuwa wanapata huduma za afya bila kulipa chochote. Gharama zote zilibebwa na serikali kupitia mapato yake ya kodi (TRA) na yasiyokuwa ya kodi (government revenues). Sisi tuliyaita matibabu ya bure. Hivyo universal health care coverage ilikuwa 100% kwa gharama ya serikali ya 100% kupitia bajeti yake ya wizara ya afya.

3. Kufikia miaka ya 1990s, kutokana na ongezeko la watu (population) na ongezeko la gharama za tiba kufuatana na teknolojia za kisasa za tiba zenye gharama kubwa, serikali yetu (kama zingine duniani) ilielemewa na mzigo huu wa kutoa huduma bure kwa wote.
Hivyo kwa sababu hizo lakini bila kuathiri universal health care policy, serikali ilibadilisha kidogo mfumo huo kwa kuanzisha utaratibu wa health cost sharing kwa wale wenye kauwezo. Kwa utaratibu huu mgonjwa alitakiwa kuchangia asilimia kidogo ya gharama ya matibabu yake. Gharama kubwa ilibebwa na serikali.

Kwa wale ambao hawana uwezo kabisa wa kuchangia serikali iliweka utaratibu wa kuwasamehe. Makundi yafuatayo hayakusika na utaratibu huu wa cost sharing (hadi sasa): Watoto wote walio chini ya miaka mitano, mama wajawazito, wenye umri unaozidi miaka sitini, wenye magonjwa ya kansa, kifua kikuu, HIV na magonjwa mengine sugu. Hawa bado serikali inabeba gharama zao za matibabu kupitia bajeti yake ya walipa kodi wote nchini. Pia kwa magonjwa ya dharura mtoa huduma analazimishwa kutoa huduma kwanza, masuala ya kiasi gani mgonjwa achangie ataulizwa baada ya kupona na kama hatakuwa na uwezo huo utaratibu wasamaha utafuata baada ya kupona.

Hivyo hata baada ya kuanzisha cost sharing mfumo ulihakikisha universal health care kwa raia wote kwa serikali kubeba most of the cost. Ingawa kiwango cha hii cost sharing ya mgonjwa imekuwa ikiongezwa kidogo kidogo lakini hadi sasa burden kubwa bado inaendelea kubebwa na serikali. Kwa mfano gharama ya operesheni ya Caesarian Section huko Amerika ni USD 18,000 ambayo ni sawa na takribani Tsh 40 million lakini sisi hapa cost anayopaswa kuchangia mgonjwa haizidi Tshs 150,000/ na kama ni ya uzazi ni bure na kama hana uwezo anasamehewa au analipa kidogo ya hiyo. Inayobaki serikali inabeba kuhakikisha hakuna raia wake atakayekufa kwa kukosa uwezo wa kulipia gharama hizo. Hence 100% universal health coverage.

Dhana na chimbuko la bima za afya (Evolution of other health care financing in Tanzania):
Ili kurahisisha na kupunguza buguza/ changamoto ulipwaji wa hizo cost sharing kwa upande wa mgonjwa serikali iliunda bima za afya za taifa (public owned health insurance schemes:

1. The National Insuranse Health Fund (NIHF) ilianzishwa mwaka 1999 (Act of Parliament No. 8 of 199 -CAP 395 RE 2002) kwa ajili kwa waajiriwa wa serikali - government workers. Kila mwajirwa wa serikali alilazimika kukatwa 3% ya mshahara wake kila mwezi na serikali kutoa kiasi hicho hicho kutoka vyanzo vyake vingine vya mapato hivyo kupata 6% ya mshahara na kuuweka kwenye huo mfuko wa bima wa taifa. Mchango huo unamuwezesha mtumishi huyo pamoja na mwenza wake, watoto wao wasiozidi 4 wenye umri usiozidi miaka 18 na wazazi wake wawili - jumla watu sita kupata matibabu kwa gharama ya mfuko huo wa NIHF.

NB: - Waajiri na waajiriwa binafsi hawalazimiki kisheria kwa sasa kujiunga na mfuko huu. Ni wa hiari kwao.
- hulipa Shs 50,000 tu kwa mwaka kuwa wanachama wa mfuko huu.

2. Community Health Fund (CHF): Walengwa hasa wa mfuko huu ni wakazi wa vijijini. Ni mfuko wa hiari. Kila kaya hulipa Sh 10,000 tu kwa mwaka ambayo huwezesha mkuu wa kaya pamoja na watoto wao wote wenye umri chini ya miaka 18 kupata matinabu kwenye ngazi ya zahanati, kituo cha afya hadi hospitali ya wilaya bila mchango mwingine.

3. TIKA (Tiba kwa Kadi): Huu unafanana na ule wa CHF, tofauti hapa ni kaya zilizo mjini.

4. SHIB - ni Social health insurance benefit ulio chini ya National Social Scurity Fund (NSSF).

Ukiacha hizo mifuko aina 4 za bima za afya za kitaifa pia yapo makampuni zaidi ya saba yanayoendesha private health insuranses eg AAR, Strategy etc. Pia bima za maisha zinazotolewa na bima za kawaida huwa zina health insurance.

Mgombea huyo anapaswa kujua basics hizi badala ya kujifanya much know na kuanza kupotosha wananchi kwamba wataletewa UHC kutoka ubelgiji. Hiyo Obamacare haifiki ya kwetu kwa ubora na kwa coverage. UHC coverage ya kwetu bado ni 100%. Hakuna anayekosa matibabu au kufa kwa sababu hana pesa. Nchi zingine haziko hivyo.
 
Back
Top Bottom