Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,108
- 18,325
Kisha anajiita Dr..
Mh unasema anapotosha halafu unajijibu mwenyewe kwenye aya ya kwanza tu.
Mlivyo wajinga unaweza kuta hapo huna hata bima ya afya, wazazi wako hawana bima ya afya.
Unaowapigania hata wakiugua ventilator zinatolewa mahospitalini na kupelekwa majumbani kwao wakajitibu nyinyi mteketee kwa kukosa huduma.