Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,482
- 9,517
Ki M-Pesa changu kimezingua nikawasiliana na watu wa voda wakanambia nije Mlimani city for a solution, nikaamua niwahi huku kabla sijaenda kuripoti kibaruani kwa mhindi, kufika hapa naambiwa wanaanza kutoa huduma saa tatu, aaargh nimekereka balaa na hela nazihitaji