King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,781
ustaarabu wa kutumia toothpick ni mara baada ya kula chakula,kufanya shughuli hiyo hapo hapo mezani endapo hakuna nafasi ya kuswaki kinywa (kama uko hotelini,ama kazini). wakati wa kuchokoroa meno, mkono mmoja ufunike kinywa wakati mmoja unafanya uchokorozi (unaweza kwatua jino kinyama kikamrukia jirani yako jichoni,lol! ama ukachokoza saliva buds mate yakaruka kama bomba! ni tabia mbaya kutembea na toothpick mdomoni kila mahali kama rambo kwenye texas ranger,lol
wadau upi ni ustaarabu sahihi wa kutumia toothpick?