NG'ADA
Senior Member
- Sep 2, 2011
- 152
- 15
mwana JF mwenzangu mm hili linanipa kichefuchefu, utakuta mtu yuko kwenye daladala (au sehemu yoyote ya hadhara) anaachama mdomo, anaanza kuchokoa meno, kutoa nyama au uchafu kwenye meno...aaaaarghhhh!!nimepanda gari toka moroko, mpaka avocado mikocheni, abiria mwenzangu cjui kala nyama ya PUNDA maana anazamisha na kuitoa toothpick kama ugomvi...sio ustaarabu hata kidogo, tena akimaliza aitupe chini, hata toilet paper mtu kama anaweza akaiacha bila kuflash...crap!!
wadau upi ni ustaarabu sahihi wa kutumia toothpick?
wadau upi ni ustaarabu sahihi wa kutumia toothpick?