Hii utaiuza tuNdicho anachokitafuta huyu mkuu? Yani ununue Harrier second generation zenye 2AZ vvti(2003-2010) kwa 14m?...Na zile 1st generation zenye 5S engine(1998-2002) utanunua bei gani sasa???
.
Watu wengine huwa wanawatafuta matapeli kwa lazima.
Nlikuambia hii lazima uuzeeeeSOLD
Mkuu kuna mdau mmoja hapo juu anasema anapata hiyo gari kwa 17m mpk 14m showroom, unakubaliana nae?
TRA 6M na kikotoo kile kile au kipo kingine? Mkuu utuasidie maana huwa zinasoma juu kuliko beitusiingilie Mada ya Jamaa maana ya uuzaji Gari lake Mada zinazohusu uagizaji wa Magari tumezijadili sana mm nimetoa mfano tu wa option za kununua kununua gari ya mwaka huo km unataka Luxuriy utapigwa kwa kuwa unaangalia namba angalia Make, Mile age na quality
- Hiyo (2007 yenye 60000km) nimeilinganisha na Gari ya mleta Mada ya mwaka 2007 ya 70000km) ambapo tofauti ni zaidi ya 7M
- fungua BeForward na wenzao wote kaangalie Harrier za 2006 - 2007
- Manunuzi na usafiri 13 CIF$5,607
(Approx. Exchange Price: TSh 12,908,449)Payment must be made in USD- TRA 6M
- Bima na vingine 1M
- Ndio maana nikasema kuna Gari za 17M mpaka 14M kwanini ukabamizwe zaidi ya 20M nimeshapitia huko nikagundua kuna wenye hela wanunue tu lkn mapka mwaka 2020 wako watakaopata kwa 12 hizo gharama za ziada mpaka 30M unaweza zikwepa ukapata Harrier 2
Exactly km ulivokadiria mkuu.hapo kwenye bima ndio umeweka kiasi kidogo.hiyo ni bima ya Ist.Mkuu Ukwaju wacha nikueleweshe maana hii ni field yangu.
.
Make: 2006 Toyota Harrier 240G
.
CIF ~USD 5600
Tax ~ 12.5m (roughly at minimum cost)
Shipping Line charges ~ TZS. 231,000/=
Port charges (Removal & Handling) ~ TZS. 400,000/=
Clearing costs (BE FORWARD OR SBT) ~ TZS. 275,000/=
Vehicle Registration TRA ~ TZS. 500,000/=
Number Plate ~ TZS. 40,000/=
Insurance (Comprehensive) ~ TZS. 360,000/=
.
TOTAL COSTS: TZS. Approx 27m
.
*NIKO TAYARI KUREKEBISHWA*
Kabisa mkuuIpo siku
Mods mda mwingine huwa wapuuzi sana.yaani wanajifanya wao ndio wanajua kutunga kuliko hata wewe mwenye mawazo..Mods mmeniharibia heading yangu, hii itaniharibia soko kwa watu makini.
"A2005....." NAOMBA MAREKEBISHO PLEASE.
.
Vile vile mimi nilitumia CAPITAL LETTERS TU kwenye heading yangu, nyinyi mmefanya mnavyotaka. Mnatu-discourage kwakweli.
.
Kuuza gari ya milioni 40 inahitaji umakini na ni kazi ngumu.
.
.
Cc: Moderators
Yani hiyo kitu nitaiendesha tuKabisa mkuu
Nakuombea InshaAllahYani hiyo kitu nitaiendesha tu