Hivi ule msururu wa vibanda vyake vya udongo bado vipo? 😂 Miaka ya 2002 nilikuwa nakuja hapo usiku kwa manzi fulani nikitoka saa saba Banjoo alinitafutia usafiri.Soma vizuri ni mojaa ndio anakaa daraja 2 banjoo najua anakaa sanawari ya juu
RIP Amina