tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,671
- 19,186
Yule bichwa kubwa huko ndio kwao alipozaliwa na anakaa hukohukoHuyo jamaa anaitwa Mojaa.
Yule bichwa kubwa huko ndio kwao alipozaliwa na anakaa hukohukoHuyo jamaa anaitwa Mojaa.
Yalimwaga pesa kwenye mziki tuliwaita mapedeshee,kumbe majambaziAngalau aliwashughulikia wakapotea,kuna moja wasiojulikana walikosea tu timing Tarime, kuna moja Mwanza akalipora bilioni 4 kwenye akaunti yake,jingine lilikimbia sauzi,aliyajua majizi yote kwa sababu alikuwa kwenye system na alijua michezo yao hata alivyodili nao alikuwa na taarifa nao wote. Kuna limoja lilimzulumu mjane nyumba Magu akamsaidia kuirudisha nyumba ikihisiwa alishiriki njama za kumuua mume Ili apate nyumba hii nyumba mme aliikopea, michezo yao siku ya marejesho ya riba yanapotea au kuzima simu Ili yapore nyumba.
Mkwere ndie aliyafuga majizi yakawapiga wageni na wabongo pia, huku yakimwaga pesa kwenye muziki. Mengine yalikufa vifo vibaya. Mengine yanajifanya kujifichia kwenye dini.
Angalau jpm aliyatikisa majizi
Mpambanaji Katu hawezi chezea pesa.Wachezeao ni wale kesho tapataYalimwaga pesa kwenye mziki tuliwaita mapedeshee,kumbe majambazi
We umetia chumvi nyingi tu katika story, suala la umri ni issue tofauti "kijanababu"Umri wako kwanza ndugu,usikute unabishana na babazako hapa.
Haya wewe umesema,ila ndo ukweli ambao kanisimulia mwenyewe pale kwake Mbeya alipotoka jela.We umetia chumvi nyingi tu katika story, suala la umri ni issue tofauti "kijanababu"
Sabasita alishiriki pia kny mission ya kupambana na wasomali ngorongoro enzi hizo.Enzi za saba sita ilikuwa ni shida ila huyu mdudu aliwadungua
Nawewe kuna mahali umeongea uongo. Banjoo haishi daraja mbili, anaishi Sanawari pale maduka matatu, amejenga kabisa.Kuna vitu umeongea vya uwongo sana chusa hajawahi kua kibaka au nyamera,mwale hajawahi kuua mtu wa karibu wa nyari zaidi ya kua mwanasheria wake alipopata kesi...kesi ya mwale ni pesa zilitoka nje ya nchi na kuingia kwenye acc yake.
Banjoi hajawahi kua muajiriwa wa tanzaniteone kaja mererani 2013 kuzama kwenye mgodi wa manjulu.
Moja ni fala tu wala hana ujanja zaidi ya huko mtaani kwao daraja mbili
Hiyo ndio ilikuwa style yake ya kuiba.JUSTIN NYARI,tushawahi kwenda ofisini kwake kitambo sana tulimpelekea rhodelite aliwaka sana,pesa sasa ikawa mtihani
Akataka tumwachie mzigo,alikuwa dhuluma
Anaweza kupa hela na badaye akakutumia watu wakupore wanarudisha kwake...
Nakumbuka tulipotoka ofisini kwake watu tulinyoosha Nairobi moja kwa moja....
Alibaki nyuma kablow tu
Ova
RESPECT MKUU...!Kwenye simulizi yako umeweka too general ngoja na mimi nielezee kwa ufahamu wangu kuhusu chuga gangsters:
Sadick Mkindi ni legend mtoto wa mzee Mkindi familia maarufu na tajiri Arusha huyo ni mdingi alifanya uhalifu in late 80’s na early 90’s
Majambazi walikuwa kina Chonjo maarufu kwa wizi wa magari, Bob Sambeke, Alex Massawe, Nyari....
Ila kuna hawa magangster wezi na wababe wa mitaani
Alikuwepo Hamis Mtotoo alikuwa anaibia sana wazungu aliuliwa na polisi relini watoto wa Pangani na Bondeni tunamjua vizuri.
Alikuwepo nyokaa alikuwa mwizi hatari katesa sana mianzini, sakina, ilboru na sanawari aliuliwa na polisi sakina
Alikuwepo Tumboniiii alitesa ngulelo, kimandolu kijenge nafkir na yeye aliuliwa na polisi ngulelo
Ngarenaro alikuwepo Mbalulaa alikuwa na mbio hatari akikwapua humshiki
Kuna kundi la wababe hawa hawakuwa wezi ila wababe hatari waliwakosesha raha watu sehemu za starehe kama mawingu club kijenge,roasters garden uzunguni, crystal club, metropole, sabasaba nk miaka ya mwishoni 90 na mwanzoni mwa miaka ya 2000
1. Iddi Mkuluuu (RIP) na kundi lake la Kaloleni gym,huyu bro alikuwa baunsa bonge la mtu mbabe hatari
2. Farijala Athumani(Papaaa) mtoto wa Ngarenaro bdae kijenge alikuwa anapiga kick boxer hatari alikuwa akikupiga kichwa lazima uanguke aliuliwa kwa kuchinjwa pale mtaa wa Jaluo
3.Fredi Jebi na Kabelo walikuwa watoto wa line police fire wababe walikuwa wanapiga gujuruu sio za nchi hii waliwatesa mno watoto wa kishua mjini kina Soican, Yusuph Mirambo, Valee Tango, Alkesh etc. Fredi Jebi alikufa kifo cha ajabu mguu uliota tende na ndio ukawa mwisho wa ubabe wa Kabelo
4.Baba Kisioki “babaaa” alkuwaga bondia na mbabe huko sinoni, lemara, njiro na kijenge ckumbuki nini kilimuua
5.Kingkola alikuwa mbabe hatari alikuwa anchezea timu ya Ngarenaro inaitwa “wayamkali” mpira hauishi kama kingkola hajapiga tiktatka
Wengine ni kina Omary manjiwaa, sele kishugaa pia kulkuwa na dogo aliitwa Regaa au Julius mambwaa alikuwa kapurwa lkn mbabe hatari alikuwa anatembea na mbwa zaidi ya 20.
Makundi maarufu yalikuwepo ka Kossovo chini ya Festo watoto wa Kambi ya fisi, maghoro na makao. Nako2Nako watoto wa kaloleni “Ololoo”, wakudisi watoto wa bongonyoo na Ungaltd kulikuwa na watoto wa blood ring Esso, watoto wa cheka ung’atwe Sombetini. kuna watoto wa Sing’isi walikuwa wanakaa sana tengeru walikuwa ni kwikwi tesa sana watu waliokuwa wnaenda beach party Duluti
Siku hizi haya magenge yamekufa ila waliobaki hatari ni vijana wa “tatu mzuka” wako kokote omba Mungu usikutane nao
Na staili ya kujifanya mmasai na vimbuzi vyake huku akiwa ameficha mashineSabasita alishiriki pia kny mission ya kupambana na wasomali ngorongoro enzi hizo.
Mdogo wako atafungwa piaNawewe kuna mahali umeongea uongo. Banjoo haishi daraja mbili, anaishi Sanawari pale maduka matatu, amejenga kabisa.
Banjoo alikuwa miongoni mwa manyoka wa Nyari, japo yeye ndio alikuwa kiongozi wa Team yao
Sasahivi ana kijana wake wa kumzaa ni best friend wa mdg wangu, nawafahamu vizuri sana
Huyu Dogo ni mkorofi na mbabe sana kwa wenzake, nahisi atakuja kuwa zaidi ya baba yake au atafungwa jela.
Hayo mengine kuhusu Advocate Mwale ni kweli kesi yake ni ya utakatishaji pesa.
Mkuu banjoo hakai daraja mbili,anakaa sanawari ya juu,njia ya kwenda naboisho sekii huyo Ni broo wetu wa kitaaKuna vitu umeongea vya uwongo sana chusa hajawahi kua kibaka au nyamera,mwale hajawahi kuua mtu wa karibu wa nyari zaidi ya kua mwanasheria wake alipopata kesi...kesi ya mwale ni pesa zilitoka nje ya nchi na kuingia kwenye acc yake.
Banjoi hajawahi kua muajiriwa wa tanzaniteone kaja mererani 2013 kuzama kwenye mgodi wa manjulu.
Moja ni fala tu wala hana ujanja zaidi ya huko mtaani kwao daraja mbili
Ilitokea forestKuna jambazi moja lilikuwa Morogoro ussa garini mwake lipo na attention ya bastola linafungua kioo nusu likitaka kuongea na wewe, lilipelekewa killing squard kufungua tu kioo wakaliwahisha kuzimu.
Njia rafiki ya kuwaondoa hawa wapumbavu kwenye Jamii ni kuwatumia killing squard ndo wanachofanya Rwanda haiwezekani wao ndio wajifanye wanaijua pesa kuliko wengine.
Hata sauzi afrika wanatumia sana njia hii na matokeo ni mazuri.
Bullets ndio njia sahihi ya kuwapunguza watu wasiotakiwa kwenye Jamii.
Yupo kuzimu sasa hiviIlitikea forest
Kuna tukio moja la Musa Chesa nilikua jirani kabisa, leo ndo najua kumbe alifanya yeye. Duh, huyu jamaa alindwe kama real kaacha.
Soma vizuri ni mojaa ndio anakaa daraja 2 banjoo najua anakaa sanawari ya juuMkuu banjoo hakai daraja mbili,anakaa sanawari ya juu,njia ya kwenda naboisho sekii huyo Ni broo wetu wa kitaa