Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 21,834
- 38,717
Mchicha mwiba ni kaka yake,hadi leo yupo pale Moshi Mjini karibu na Chuo cha Ushirika Mawalla Compound.Alikua Ana mega na kumegwa
Mchicha mwiba ni kaka yake,hadi leo yupo pale Moshi Mjini karibu na Chuo cha Ushirika Mawalla Compound.Alikua Ana mega na kumegwa
Naona Peter Kibatala kawa mrithi wake.Huyu wakili wa majambazi sina taarifa zake.
Alisoma Ili awatete majambazi
Juma Mawalla si ndiyo Baba yake?Punga ni Kaka yake Juma Mawalla,na huu upunga aliupata Marekani alipokuwa anasona. Mawalla aliuawa na foreign intelligence ya nje kutokana na kutakatisha fedha za Wasomali wateka meli.
Ikawaje baada ya kukataliwa? Ulibadilishiwa matumizi?Kawafanyia ccm Kazi nzuri Sana anakula fadhila kwa sasa.
Aliwajengea waislamu msikiti wakaukataa mikono yake imejaa hatia,machozi ya wajane na yatima yanamlilia.
Sabasita alikuwa nusu polisi ..nusu jambazi ...Sabasita Kimaro ambae ni baba yake msanii anaeitwa Tunda anapewaga credit sana kwenye kumaliza haya mambo ya ujambazi na umafia hapa Chugga. Japo wengine wanasema ane alikuwa nyamera tu kama manyamera wengine ila chini ya mwavuli wa upolisi.
Yeah ndio ukweli huo. Jamaa alikuwa police-mafia.Sabasita alikuwa nusu polisi ..nusu jambazi ...
Jamaa alikuwa akisikia tukio la ujambazi Arusha anazama front kujua ni nani amehusika na amechukua pesa kiasi gani ...
Anaanza msako ..akikudaka mnagawana fungu ...kisha anakwambia potea ..na anakupa onyo la kuwa mwangalifu
Noma jamaaYeah ndio ukweli huo. Jamaa alikuwa police-mafia.