"A Thin line Between Love & Hate.

Mlawi

Member
Oct 4, 2011
16
4
Wadau wa JF,

Kwa wale waliowahi kuangalia hii movie wake/waume mmejifunza nini?

Nawasilisha.
 
nilijifunza kwamba there is a thin line between love and hate
 
  • Kwamba U-player ni balaa..
  • Kwamba Usimchezee mwanamkea alokupenda anaweza kukua...(nafasi ya Whitefield)
  • Kwamba Wanaume siku zoote hujiona wanajua saana ku play wanawake but once in a while hukuta yule ambae yupo hatua mbili mbele ya kila hatua... (Nafasi ya M. Laurence)
  • Kwamba it hurts Sooo bad to Love sehemu ambayo haupo Loved... (nafasi ya Whitefield & Regina King thou yeye badae alipata anapopenda)
  • Kwamba Money is not everything in Love.. waweza kua nayo na usiridhike hasa kama ni ya Mwanamke... (Nafasi ya Laurence)
  • Kwamba an Ordinary woman to Most Men is the MOST extra Ordinary... (Mama wa Laurence & Regina King)
  • Kwamba wanaume daima husimamia na kutetea wanaume hata kama anamkosoa kumgeuka ni nadra...
  • Kwamba wanawake are good at handling Pressure kuliko Wanaume...
  • Kwamba if you LOVE too much... tha Love could easily turn to HATE.
 
  • Kwamba U-player ni balaa..
  • Kwamba Usimchezee mwanamkea alokupenda anaweza kukua...(nafasi ya Whitefield)
  • Kwamba Wanaume siku zoote hujiona wanajua saana ku play wanawake but once in a while hukuta yule ambae yupo hatua mbili mbele ya kila hatua... (Nafasi ya M. Laurence)
  • Kwamba it hurts Sooo bad to Love sehemu ambayo haupo Loved... (nafasi ya Whitefield & Regina King thou yeye badae alipata anapopenda)
  • Kwamba Money is not everything in Love.. waweza kua nayo na usiridhike hasa kama ni ya Mwanamke... (Nafasi ya Laurence)
  • Kwamba an Ordinary woman to Most Men is the MOST extra Ordinary... (Mama wa Laurence & Regina King)
  • Kwamba wanaume daima husimamia na kutetea wanaume hata kama anamkosoa kumgeuka ni nadra...
  • Kwamba wanawake are good at handling Pressure kuliko Wanaume...
  • Kwamba if you LOVE too much... tha Love could easily turn to HATE.

Nimekuwa interested na hiyo reason ya mwisho! Sio mpenzi wa movie ila ngoja niitafute!
 
  • Kwamba U-player ni balaa..
  • Kwamba Usimchezee mwanamkea alokupenda anaweza kukua...(nafasi ya Whitefield)
  • Kwamba Wanaume siku zoote hujiona wanajua saana ku play wanawake but once in a while hukuta yule ambae yupo hatua mbili mbele ya kila hatua... (Nafasi ya M. Laurence)
  • Kwamba it hurts Sooo bad to Love sehemu ambayo haupo Loved... (nafasi ya Whitefield & Regina King thou yeye badae alipata anapopenda)
  • Kwamba Money is not everything in Love.. waweza kua nayo na usiridhike hasa kama ni ya Mwanamke... (Nafasi ya Laurence)
  • Kwamba an Ordinary woman to Most Men is the MOST extra Ordinary... (Mama wa Laurence & Regina King)
  • Kwamba wanaume daima husimamia na kutetea wanaume hata kama anamkosoa kumgeuka ni nadra...
  • Kwamba wanawake are good at handling Pressure kuliko Wanaume...
  • Kwamba if you LOVE too much... tha Love could easily turn to HATE.

Point ya mwisho imenifurahisha. Nahisi kama ungekuwa mtihani umepata 100%. Wanaume kama hujaelewa kitu alichoandika AshaDii utakuwa una upungufu wa u bongo wahi kwa Dr.
 
Point ya mwisho imenifurahisha. Nahisi kama ungekuwa mtihani umepata 100%. Wanaume kama hujaelewa kitu alichoandika AshaDii utakuwa una upungufu wa u bongo wahi kwa Dr.

duh!....ila nawe hujamuelewa Asha pamoja na ile movie...star wa kike alimpenda martin upeo(kummiliki martin na fedha na vitisho) bila kuchunguza penzi la martin kwake....somo linarudi kwa bintis sio kila m'ume akikuambia nakupenda basi uamini 100% ni kweli afu unajiachiliaaa...utapendaje usipopendwa?
 
  • Kwamba if you LOVE too much... tha Love could easily turn to HATE.

do not put your trust in humanity....................they will more than often betray you while plotting just to assuage you with that deceitful words............Am extremely sorry..............................Have confidence in the Spirit from the Almighty God....................but distrust the flesh with all your heart and everything will be well with you..............................God never disappoints to those who dearly seek and honour Him with all their heart.
 
do not put your trust in humanity....................they will more than often betray you while plotting just to assuage you with that deceitful words............Am extremely sorry..............................Have confidence in the Spirit from the Almighty God....................but distrust the flesh with all your heart and everything will be well with you..............................God never disappoints to those who dearly seek and honour Him with all their heart.


Ruta Unfortunately not every body applies religious beliefs in their every day life as much as it is the best way....
 
duh!....ila nawe hujamuelewa Asha pamoja na ile movie...star wa kike alimpenda martin upeo(kummiliki martin na fedha na vitisho) bila kuchunguza penzi la martin kwake....somo linarudi kwa bintis sio kila m'ume akikuambia nakupenda basi uamini 100% ni kweli afu unajiachiliaaa...utapendaje usipopendwa?

Uliingalia vizuri ile movie? pale dada anapouliza mara kadhaa mkaka anasema I am real! usicheze na wanaume wewe hata ungekuwa mwana saikologia wa kike siku hiyo inakutoka! lol
 
Me nilijifunza miaka ile ukisha do Girl Tayari unakuwa ''The Man''
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom