A stingy man Will make a stingy husband (Wanaume ubahili sio sifa nzuri)

Jamani...I dated a man ..He worked so hard..Hakuwa mchoyo akiwa nacho anakupa..Sio kingi ..but una appreciate Kuwa Huyu mtu anajali.

He loved me when I couldn't even love myself.He was there fore.me...Katika MATATIZO yangu yoote hata mabaya alioambiwa na watu...bado alisimama na Mimi...
Namuombea Sana Dua njema yule Kaka.
alikua mdogo katika umri Ile ningekuaa na Akili Kama zakwake...nisingekuwa hapa leo.
I can feel you. Mwanaume wa hivyo unamuheshimu mpaka unaingia kaburini na dua njema unamuombea kama zote.
 
Mwanaume akiwa na hela na akikupenda anatoa tuu, hamna cha ubahili wala nini...tatizo mna complicate sana maisha na mahusiano, yani kila demu ale tuu hela zangu...luna mahali nnaziokota ama??
 
Nashukuru sana kwa Dua zako X wangu, inshaallah mungu amesaidia hapa nilipo sina jinsi zaidi ya kushukuru. Japo nilipenda tungekuwa wote ila sasa nimejaaliwa mke na watoto wazuri. Maisha ni safari lakini yote mipango ya mungu.
Mungu akufanyie mema katika familia yako X Wangu.
 
Huo ndo ukweli mkuu alafu ukionga roho inauma hata cjui n nn wakat hela yenyewe ndgo.
Ila mm naona natural kwann asilimia kubwa hutokea kwa wanaume wengi.
Mnatumia neno kuhonga ili kuhalalisha kua ni jambo baya. Official girlfriend hahongwi ni kama mke tu huwez sema namuhonga mke wangu.
 
Wewe dada uzi wako umenikumbusha mbali sana kila ulichoandika nime note point. Kati ya point zote hii ndo nimeinote haswaaa

" hana future na wewe kwa nini awekeze kwako?"
From now ka hela kangu katabaki kuwa kangu hayo ya kujipendekeza ati sijui zawadi hapana,

Mtu bahili afe na ubahili wake.
Run my dear hawabadilikagi hao utajipa moyo miaka inaenda yupo vile vile.
 
Tatizo kabla ya kumuita mtu bahili wewe ulitoa nini....?

Nikufungue tu akili hata wanaume tunapenda zawadi asikuambie mtu . Ulishindwa hata kumnunulia vest au soksi.....? Na ukaona yeye atakununulia nini.....?

Nilicho kiona kwako ni hiki wewe kwa huyo mwanaume ulijiweka matawi ya juu na ndio alivyo kuchukulia Ila ungekua muwazi na real life yako wanaume tunahuruma sana angekupa unavyo taka.

Kama hivyo vyote hapo juu sio basi ulikua treated kama kipozeo flani hivi au malaya flani hivi ndio maana alikua hana story nyingine na wewe zaidi ya sex

Kiukweli mimi kwenye mahusiano ni mtoaji mzuri ila ni baada ya kuona muelekeo wa mwanaume.kama hajawahi nifanyia chochote a anafasi nzuri kiuchumi kuliko mimi na mimi pia nakua mzito.
Labda kweli alinichukulia kama kipozeo ingawa alikua akiniambia tofaut.
 
Kwangu mimi ubahili una connections na kipato cha mtu. Nakumbuka kipindi niko mdogo nilikuwa sipewi hela ya shule.

Life was so hard kiasi cha kwamba hela ilikuwa napata nikitembelewa na shangazi au na wajomba ndio wananitoaga. Basi ile hela naitumia kwa mahesabu kichizi kiasi kwamba nilikuwa siwezi kutoa hela kwa kitu ambacho hakinifaidishi binafsi.

Nadunduliza chenji chenji nanunua vitu vidogo navyopenda ila watoto wenzangu kwao kutumia elfu 5-10 kwa siku ni kawaida wengine wanakuja na magari shule wengi watoto wa kihindi na kiaarabu.

Ila by the time nafika chuo nikawa na access na malaki. Then i knew it kuwa kumbe mie sio bahili ila ni umaskini tu ndio ulikuwa unanisumbua. Nilichojifunza ukiwa una mkondo wa uhakika wa kupata hela huwezi kuwa mchungu kutumia au kushea na unaowapenda. Ukiona una mahela mengi na still una uchungu wa kuzitumia jua wewe una roho ya kimaskini na choyo.
Kumbe kile nilichokisema siku ile ni kweli! With time tutaelewana tu extrovert!
 
The issue sio kutoa? Je, unacho hicho cha kutoa? Tunawaingiza wengi kwenye dhambi ya ubahili ila kimsingi ni kwamba hamna mwanaume ambaye hatoi hela kwa mpenzi wake ikiwa anazo. Ukiona hupewi jua uchumi wa mtu ni mgumu aidha hana kazi ama anaunga unga maisha.

Exceptions ni za wachache sana amabao hata sisi wanaume wenzao tunawashangaa. Mtu ana hela ila hata kujipenda kuvaa smart tu hawezi. Ila ana mshahara wa 2M kila mwezi.
Haya ndiyo maneno sasa! Mngekuwa mnaongea hivi kila siku mbona mngeeleweka kuliko kujifanya mnakuwa toxic and bitter!
 
It's English that's why I talked about grammar and spelling.I got tired writing that's why I put those few Swahili sentences.I will be using English to post my thread as a part of improvement.
That's your man not all men.
 
Kwangu mimi ubahili una connections na kipato cha mtu. Nakumbuka kipindi niko mdogo nilikuwa sipewi hela ya shule.

Life was so hard kiasi cha kwamba hela ilikuwa napata nikitembelewa na shangazi au na wajomba ndio wananitoaga. Basi ile hela naitumia kwa mahesabu kichizi kiasi kwamba nilikuwa siwezi kutoa hela kwa kitu ambacho hakinifaidishi binafsi.

Nadunduliza chenji chenji nanunua vitu vidogo navyopenda ila watoto wenzangu kwao kutumia elfu 5-10 kwa siku ni kawaida wengine wanakuja na magari shule wengi watoto wa kihindi na kiaarabu.

Ila by the time nafika chuo nikawa na access na malaki. Then i knew it kuwa kumbe mie sio bahili ila ni umaskini tu ndio ulikuwa unanisumbua. Nilichojifunza ukiwa una mkondo wa uhakika wa kupata hela huwezi kuwa mchungu kutumia au kushea na unaowapenda. Ukiona una mahela mengi na still una uchungu wa kuzitumia jua wewe una roho ya kimaskini na choyo.
Yes kama ubahili unatokana na kutokua nacho na unakilinda kile kdogo ulichonacho sio tatizo na hata mwenzio atajua. Na hua mkipata mnabadilika mnakua watoaji wazuri.

Shida ni wale mtu anapesa ila ni mchunguu hatoi pesa hata useme nini. Ukikaa nae anakazi ya kukuonesha vitu vya thamani alivyonavyo basi.
 
Mwanaume akiwa na hela na akikupenda anatoa tuu, hamna cha ubahili wala nini...tatizo mna complicate sana maisha na mahusiano, yani kila demu ale tuu hela zangu...luna mahali nnaziokota ama??
Kwahio una wanawake wengi ? ila pesa unampa unaempenda wengine hapana.Sio sawa unawaumiza tu hao usiowapenda ungewaacha labda wangeshapata wanaowapenda.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom