Zeemadeit
JF-Expert Member
- Oct 16, 2020
- 776
- 1,556
- Thread starter
- #41
I can feel you. Mwanaume wa hivyo unamuheshimu mpaka unaingia kaburini na dua njema unamuombea kama zote.Jamani...I dated a man ..He worked so hard..Hakuwa mchoyo akiwa nacho anakupa..Sio kingi ..but una appreciate Kuwa Huyu mtu anajali.
He loved me when I couldn't even love myself.He was there fore.me...Katika MATATIZO yangu yoote hata mabaya alioambiwa na watu...bado alisimama na Mimi...
Namuombea Sana Dua njema yule Kaka.
alikua mdogo katika umri Ile ningekuaa na Akili Kama zakwake...nisingekuwa hapa leo.