M-bongotz
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,734
- 405
Ni mdada mwenye umri wa miaka 32, hakubahatika kuolewa wala hana mtoto lakini amekuwa na jamaa aliyeishi naye kwa miaka takribani minne, kifupi ni mfanya kazi mwenzangu na rafiki mzuri pia kwani tunashea ofisi moja.
Kuna siku kama miezi sita iliyopita hakuja ofisini kwa siku kama 3 mfululizo, nikampigia akasema anaumwa, nikampa pole na kuwa namcheki mara kwa mara anaendeleaje.,aliporudi ofisini akanisimulia kuwa yule "shemeji" aliyekuwa akiishi nae wameachana kisa ni kuwa alimfumania akila uroda na shoga yake.
Hali hiyo ilimuathiri sana kisaikolojia na kuathiri utendaji kazi wake.,kazini wote tulimtegemea kwani ni "jembe" haswa na ni kama "google" ya ofisi kwani hakuna asichojua.,nikawa namfariji kwa maneno, na sometimes kumtoa outing kidogo ili kumtoa ile hali ya upweke.,urafiki ukawa urafiki na tukazidi kuelewana kwani kwa kiasi kikubwa niliweza japo kumpunguzia upweke.,sasa amekuja na idea ya kutaka kupeleka urafiki into the next stage "tuwe wapenzi", mimi nipo committed kwa mtu mwingine (anafahamu hilo) ambaye nimeshalipa hadi mahari bahati mbaya/nzuri anamalizia masomo yake nje ya nchi ndio tuje tufunge ndoa.,huyu wa ofisini amekuwa akinililia sana kwa kusema kwa kundelea kumkataa namrudisha kwenye matatizo ya awali (na kweli nimeanza ku-note kuzorota kwa ufanisi wake) na kibaya zaidi anatishia kujiua.,namhurumia kwa kweli nashindwa kuelewa nimsaidieje.
Wadau naombeni mchango wa mawazo..Nawasilisha
Kuna siku kama miezi sita iliyopita hakuja ofisini kwa siku kama 3 mfululizo, nikampigia akasema anaumwa, nikampa pole na kuwa namcheki mara kwa mara anaendeleaje.,aliporudi ofisini akanisimulia kuwa yule "shemeji" aliyekuwa akiishi nae wameachana kisa ni kuwa alimfumania akila uroda na shoga yake.
Hali hiyo ilimuathiri sana kisaikolojia na kuathiri utendaji kazi wake.,kazini wote tulimtegemea kwani ni "jembe" haswa na ni kama "google" ya ofisi kwani hakuna asichojua.,nikawa namfariji kwa maneno, na sometimes kumtoa outing kidogo ili kumtoa ile hali ya upweke.,urafiki ukawa urafiki na tukazidi kuelewana kwani kwa kiasi kikubwa niliweza japo kumpunguzia upweke.,sasa amekuja na idea ya kutaka kupeleka urafiki into the next stage "tuwe wapenzi", mimi nipo committed kwa mtu mwingine (anafahamu hilo) ambaye nimeshalipa hadi mahari bahati mbaya/nzuri anamalizia masomo yake nje ya nchi ndio tuje tufunge ndoa.,huyu wa ofisini amekuwa akinililia sana kwa kusema kwa kundelea kumkataa namrudisha kwenye matatizo ya awali (na kweli nimeanza ku-note kuzorota kwa ufanisi wake) na kibaya zaidi anatishia kujiua.,namhurumia kwa kweli nashindwa kuelewa nimsaidieje.
Wadau naombeni mchango wa mawazo..Nawasilisha