Nguli please man
Mkuu unaugomvi na Geoff? hahahahahahahah uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Mbona wamependeza au vipi kwani????
Halafu wanafanana utafikri mtu na dada yake!? Ajabu na kweli.
Kwikwi imeanza tena...wacha nipeleke taarifa kwa wenye mji.jamani mimi nikiclick kwenye attachment napelekwa kwenye ukurasa wa JF (home) na ningependa sana kuiona hiyo picha
Imetulia sasa preta.jamani mimi nikiclick kwenye attachment napelekwa kwenye ukurasa wa JF (home) na ningependa sana kuiona hiyo picha
Imetulia sasa preta.
kumbe na wewe umeshitukia eeh!mmh mbona hii picha kama imekuwa doctored?