A plea to my beloved President Joseph Pombe Magufuli.

Mathanzua

JF-Expert Member
Jan 4, 2017
15,842
20,687
Pole na kazi Mheshimiwa Rais na hongera pia kwa kazi nzuri sana unayoifanya ya kuwatumikia Watanzania,ni kazi nzuri mno,hongera sana.

Naomba pia nijitambulishe Mheshimiwa Rais kwamba mimi ni mtaalamu wa Kilimo ambaye nakerwa na msimamo usioeleweka wa wataalam wetu wengi wa Kilimo unaoashiria kwamba labda wanatumiwa na makampuni yanayojihusisha na GMOs ikiwemo Monsanto,ili kuunga mkono GMOs,huku ikiwa wazi kwamba GMOs hazifai kwa matumizi ya wanadamu.

Kazi hii nzuri unayoifanya Mheshimiwa Rais itakuwa bure, kama afya za Watanzania zitazorota kwa kula vyakula vizivyofaa,kunywa dawa zisizofaa na kwa ujumla kuingizwa kwenye mifumo ya maisha isiyofaa bila ridhaa yao.Mheshimiwa Rais Watanzania wanaumwa,tena wanaumwa kweli kweli.

Sababu kama nilivyosema zipo nyingi,lakini lipo janga la Genetically Modified Foods au Organisms, ambalo limeikumba dunia kwa sasa,na kama nchi yetu isipokuwa makini,ipo hatari kubwa ya kutumbukia pia katika janga hili.Kampuni ya Monsanto ndiyo kinara wa GMOs na kwa historia ya Monsanto,hatuwezi kuiamini kujihusha kwa njia yeyote ile na food sources za Watanzania!

Mheshimiwa Rais, wanasayansi wa kujitegemea na wa kweli wanakiri kwamba GMOs zina athari kubwa kwenye afya za wanadamu na kwa ujumla hazifai kutumiwa na Wanadamu.Wenzetu Marekani kwa sasa wanafanya campaign kubwa, ili vyakula vyote vyenye asili ya GMOs viondolewe mashuleni na mazao ya GMOs yasitumike kwa kuwa wanatambua ubaya wa GMOs.Zipo kesi nyingi Marekani kwa sasa zinazohusisha GMOs kwa kuhusishwa na magonjwa mbali mbali.Sina hakika kuhusu msimamo wa serikali yetu kwa ujumla kuhusu GMOs,lakini binafsi naomba tuwe na msimo imara usioyumba wa kupiga marufuku GMOs nchini mwetu.Asante sana kwa msimamo ulio onyesha kwenye swala la uzazi wa mpango,na naomba sasa uhamie kwenye GMOs,ili yale yanayowakumba mama zetu yasiwakumbe Watanzania kwa sababu ya matumizi ya GMOs.

Mheshimiwa Rais nimeambatanisha video inayo onyesha kwa undani sana ubaya wa GMOs.

Kwa kumalizia, naomba Mheshimiwa Rais nikufahamishe kwamba tafiti zinazotumiwa kuhalalisha matumizi ya GMOs, zinafanywa na makampuni yanayojihusisha na GMOs na hakuna independent verification by independent scientists,kwa hiyo recommendations za makampuni hayo haziwezi kuwa trusted.

Asante sana kwa kusoma bandiko langu Mheshimiwa Rais.

 
Pole na kazi Rais wangu na hongera pia kwa kazi nzuri inayoifanya ya kuwatumikia Watanzania,it is super and great.Hongera sana.

Naomba pia nijitambulishe kwamba mimi ni mtaalamu wa kilimo ambaye nakerwa sana na msimamo usioeleweka wa wataalam wetu unao onyesha kwamba huenda wanatumiwa na Monsanto kuunga mkono GMOs,huku ikiwa wazi kwamba GMOs hazifai kwa matumizi ya wanadamu.

Niseme nadhani kwamba kazi hii nzuri unayoifanya itakuwa bure kama afya za Watanzania zitazorota kwa kula vyakula vizivyofaa,kunywa dawa zisizofaa na kwa ujumla kujiingiza au kuingizwa kwenye mifumo ya maisha isiyofaa.Hii inamaana kwamba, lolote lile unalofanya will come down to zero.Sio siri Rais wangu kwamba Watanzania wanaumwa,tena wanaumwa kweli kweli.

Sababu kama nilivyosema ziko nyingi,lakini lipo janga la Genetically Modified Foods, ambalo limeikumba dunia kwa sasa.Kampuni ya Monsanto ndiyo kinara wa GMOs na kwa historia ya Monsanto,hatuwezi kuiamini kututengenezea chakula!Hawa ndio waliotudanganya kwamba pesticides hazina matatizo,hata wakadiriki kula unga wa maziwa on camera wakidanganya kwamba ni DDT!Rais, wataalam wote wakujitegemea wanakubali kwamba GMOs zina athari kubwa kwenye afya za wanadamu na kwa ujumla hazifai kutumiwa na wanadamu.Wenzetu Marekani kwa sasa wanafanya campaign kubwa, ili vyakula vyote vyenye asili ya GMOs viondolewe mashuleni kwa kuwa wanatambua ubaya wa GMOs.Zipo kesi nyingi Marekani zinazohusisha GMOs na magonjwa mbali mbali.Sina hakika ya msimamo wa serikali yetu kwa ujumla kuhusu GMOs,lakini binafsi naomba tuwe na msimo imara usioyumba wa kupiga marufuku GMOs nchini mwetu.Asante sana kwa msimamo ulio onyesha kwenye uzazi wa mpango,naomba sasa uhamie kwenye GMOs,ili yale yanayowakumba akina mama yasiwakumbe Watanzania kwa sababu ya matumizi ya GMOs.Rais nimeambatanisha video inayo onyesha kwa undani ubaya wa GMOs.

Kwa kumalizia naomba nikufahamishe kwamba tafiti zinazotumiwa kuhalalisha matumizi ya GMOs, zinafanywa na makampuni yanayojihusisha na GMOs na hakuna independent verification by independent scientists.

Asante sana kwa kusoma bandiko langu.


Uliposema wewe ni mtaalamu wa kilimo, nilidhani ungetoa wasifu wako hata kidogo, kisha uendelee kushauri. Sababu ni kwamba nina amini pale wizarani kuna wataalam, pengine ungeshare nao utaalamu wako kama wangefahamu wasifu wako. Nashauri tu mkuu!
 
Uliposema wewe ni mtaalamu wa kilimo, nilidhani ungetoa wasifu wako hata kidogo, kisha uendelee kushauri. Sababu ni kwamba nina amini pale wizarani kuna wataalam, pengine ungeshare nao utaalamu wako kama wangefahamu wasifu wako. Nashauri tu mkuu!
Najua msimamo wao,ndio maana nimeomba msaada kwa Rais.Sidhani pia kwamba wasifu wangu ni lazima,jambo la msingi ni tatizo lililopo mezani,.
 
Pole na kazi Rais wangu na hongera pia kwa kazi nzuri inayoifanya ya kuwatumikia Watanzania,it is super and great.Hongera sana.

Naomba pia nijitambulishe kwamba mimi ni mtaalamu wa kilimo ambaye nakerwa sana na msimamo usioeleweka wa wataalam wetu unao onyesha kwamba huenda wanatumiwa na Monsanto kuunga mkono GMOs,huku ikiwa wazi kwamba GMOs hazifai kwa matumizi ya wanadamu.

Niseme nadhani kwamba kazi hii nzuri unayoifanya itakuwa bure kama afya za Watanzania zitazorota kwa kula vyakula vizivyofaa,kunywa dawa zisizofaa na kwa ujumla kujiingiza au kuingizwa kwenye mifumo ya maisha isiyofaa.Hii inamaana kwamba, lolote lile unalofanya will come down to zero.Sio siri Rais wangu kwamba Watanzania wanaumwa,tena wanaumwa kweli kweli.

Sababu kama nilivyosema ziko nyingi,lakini lipo janga la Genetically Modified Foods, ambalo limeikumba dunia kwa sasa.Kampuni ya Monsanto ndiyo kinara wa GMOs na kwa historia ya Monsanto,hatuwezi kuiamini kututengenezea chakula!Hawa ndio waliotudanganya kwamba pesticides hazina matatizo,hata wakadiriki kula unga wa maziwa on camera wakidanganya kwamba ni DDT!Rais, wataalam wote wakujitegemea wanakubali kwamba GMOs zina athari kubwa kwenye afya za wanadamu na kwa ujumla hazifai kutumiwa na wanadamu.Wenzetu Marekani kwa sasa wanafanya campaign kubwa, ili vyakula vyote vyenye asili ya GMOs viondolewe mashuleni kwa kuwa wanatambua ubaya wa GMOs.Zipo kesi nyingi Marekani zinazohusisha GMOs na magonjwa mbali mbali.Sina hakika ya msimamo wa serikali yetu kwa ujumla kuhusu GMOs,lakini binafsi naomba tuwe na msimo imara usioyumba wa kupiga marufuku GMOs nchini mwetu.Asante sana kwa msimamo ulio onyesha kwenye uzazi wa mpango,naomba sasa uhamie kwenye GMOs,ili yale yanayowakumba akina mama yasiwakumbe Watanzania kwa sababu ya matumizi ya GMOs.Rais nimeambatanisha video inayo onyesha kwa undani ubaya wa GMOs.

Kwa kumalizia naomba nikufahamishe kwamba tafiti zinazotumiwa kuhalalisha matumizi ya GMOs, zinafanywa na makampuni yanayojihusisha na GMOs na hakuna independent verification by independent scientists.

Asante sana kwa kusoma bandiko langu.




Hivi kweli Mh raisi J P M atakuwa na muda wa kusoma hii post humu jf ??, kwanini usipeleke taarifa hii kwenye vitengo husika kama TFDA na wizara ya Afya na wizara ya kilimo na hata ofisi ya waziri mkuu kitengo cha maafa kwa sababu haya ni maafa kwa taifa tusipo angalia??

Tunashukuru kwa taarifa hii ni wajibu wetu sisi sote kama jamii (jamii forum) tupaze sauti juu ya njama za hawa wauaji kwani walianza kwenye uzazi wa mpango na sasa wapo kwenye GMOs.
 
Hivi kweli Mh raisi J P M atakuwa na muda wa kusoma hii post humu jf ??, kwanini usipeleke taarifa hii kwenye vitengo husika kama TFDA na wizara ya Afya na wizara ya kilimo na hata ofisi ya waziri mkuu kitengo cha maafa kwa sababu haya ni maafa kwa taifa tusipo angalia??

Tunashukuru kwa taarifa hii ni wajibu wetu sisi sote kama jamii (jamii forum) tupaze sauti juu ya njama za hawa wauaji kwani walianza kwenye uzazi wa mpango na sasa wapo kwenye GMOs.
Kama Rais hataisoma,ingawa najua anaweza, wapo "wawakilishi" wake humu ambao naamini watampelekea bandiko hili kama lilivyo.JF ni sehemu muhimu sana,Ikulu haiwezi kukosa representatives.Finally ninajua msimamo wa Wizara ya Kilimo na naifahamu pia Wizara ya Afya na TFDA, ndio maana nikaleta hili tatizo hapa.Wote ni mashahidi kuhusu uzazi wa mpango,mpaka ikabidi Rais aingilie kati,Wizara ya Afya hawakuwepo?
 
Awali mchele wa plastic,uli trend kwa miezi kadhaa,juzi kati likaibuka LA chupa za chai na vidonge..

hili LA GMO's story zake zinatisha zaidi...linaigusa nchi nzima

kwa hili wizara ya afya inahusika kutoa majibu mujarabu; na ufafanuzi wa kina

wizara ya kilimo na 'wataalam' inakuwaje mbegu zinaagizwa nje badala ya kuzalishwa na vyuo venu vilivyoenea kila kanda nchini..?
 
Back
Top Bottom