he looks so down and like he is losing everything.hamna hata jinsi ya kumtumia hata msaada?halafu other bastards are lavishing in riches kwa majasho ya wananchi.
God where are you?? please heal this poor woman so that the son can be freed from this bond of misery ... for its only you our GOD that can help us and our children otherwise the rulers we have think about nothing but their own stomach
God where are you?? please heal this poor woman so that the son can be freed from this bond of misery ... for its only you our GOD that can help us and our children otherwise the rulers we have think about nothing but their own stomach
Hilo ndio tegemeeo,baada yayote kushindikana.
Serikari haina msaada,vionzozi wana miwani ya giza basi shida juu ya taabu.
Hivi hapa si kuna ile misaada ya hiyari kama ya wale walio kwama kwenye masamo kule UKREINE?
Kwani nini STEVEB usianzishe harambe KIjana akasaidiwa na wale wote mbao wamekwama kama yeye kwa msaada wa manesi wodini wasaidie na tuchague mtu wa kupeleka kama jamii ya JAMII FORUM.
NI wazo tu ,na napenda kuwakirisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.