Mingoi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 11,715
- 6,119
Nitafutie mkalimani kwanzaSo help us. Can you tell us what that look signifies? Is it shame, shock, anger, guilt or something else? Remember one look is worth a thousand words
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitafutie mkalimani kwanzaSo help us. Can you tell us what that look signifies? Is it shame, shock, anger, guilt or something else? Remember one look is worth a thousand words
hakuna watanzania wapumbavu Wapumbavu kama hao wana ufipa, Samia hawahusu kabsa,si mlisema hamtambui matokeo am???Raisi wenu kivipi? Inamaana sisi tupo nje ya Tanzania sio?
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Punguza jazba mkuu, suala lako linazungumzika. Kwani Samia alipigiwa kura? Au unaongelea matokeo yapi?hakuna watanzania wapumbavu Wapumbavu kama hao wana ufipa, Samia hawahusu kabsa,si mlisema hamtambui matokeo am???
we akili huna,basi hata za kukopa tu shida?? Nini maana ya mgombea mwenza??Punguza jazba mkuu, suala lako linazungumzika. Kwani Samia alipigiwa kura? Au unaongelea matokeo yapi?
Mbona hasira sana mkuu, basi tumekubali, Samia ni rais wako peke yako!we akili huna,basi hata za kukopa tu shida?? Nini maana ya mgombea mwenza??
He is devastated, his GOD FATHER is no more; he does not know which side to turn to!View attachment 1737192
And how about this one...is it shock, shame, guilt or something else?
No way mkuu inabidi mkubali kuwa serikali ni mali yetu ccm ova😁😁😁Mbona hasira sana mkuu, basi tumekubali, Samia ni rais wako peke yako!
Bila shaka umesahau kuwa Katiba ya Tanzania ndio ilimpa Urais Mh. Mama Samia Suluhu baada ya wana CCM kujaribu kuisigina Katiba kama kawaida yao. Je unaona jinsi huzuni, simanzi, woga na wasiwasi ilivyotanda kwenye hii picha hapa chini?hakuna watanzania wapumbavu Wapumbavu kama hao wana ufipa, Samia hawahusu kabsa,si mlisema hamtambui matokeo am???
Duuh aiseeView attachment 1737192
And how about this one...is it shock, shame, guilt or something else?
Aseeeeeh.View attachment 1737192
And how about this one...is it shock, shame, guilt or something else?
Hao pia mmejikabidhi Kama huyo mwa CUF.wanaufipa punguzeni shobo na wana ccm wenzetu akiwemo Rais wetu Samia,nyie shugulikieni 1 akina mdee na genge lake,ova
Mmliki mwenza wa kina Mdee.View attachment 1737192
And how about this one...is it shock, shame, guilt or something else?
View attachment 1737163...View attachment 1737221
Surely a picture is worth a thousand words...need I say more?
Muacheni Mzee wa watu jameni mhurumieni...Si Mnaona katulia hana shida na mtu??View attachment 1737192
And how about this one...is it shock, shame, guilt or something else?
Mi nilijuaga platz member ni watu makini sana kama paskali Mayala ,kumbe na wapumbavu nao wanakuwa pltz member??🤔🤔Bila shaka umesahau kuwa Katiba ya Tanzania ndio ilimpa Urais Mh. Mama Samia Suluhu baada ya wana CCM kujaribu kuisigina Katiba kama kawaida yao. Je unaona jinsi huzuni, simanzi, woga na wasiwasi ilivyotanda kwenye hii picha hapa chini?
Pole sana. Kama nawe ni mtoto wa dada au mjomba, lazima utakuwa umeumia sana tu. Lakini usijali sana maisha ndivyo yalivyo.Mi nilijuaga platz member ni watu makini sana kama paskali Mayala ,kumbe na wapumbavu nao wanakuwa pltz member??🤔🤔