A picture is worth 1,000 words

Umsolopogaas

Member
Jul 18, 2010
40
11
The Reign of Terror - A Picture is worth 1,000 Words.jpg

The reign of terror:
A picture is worth 1,000 words
 
Mkapa alikuwa na nywele zote kichwani aise hakuna hata upara
Ila Warioba kumbe kimbaumbau toka enzi hizo
 
attachment.php


...haaa! kumbe nkapa alikuwa karibu sana na nzee tangia enzi hizo! hata nguo zinafanana! ndiyo maana mwl. alikuwa na imani naye'
inaonyesha Warioba alikuwa anaogopa kukaa karibu na mwl.
 
“Unaleta upumbavu kwenye kazi zangu wewe? Ntakutia bakora ukamuoneshe mkeo”
 
hapo ilikuwa ni amri na kutii, Hakuna kubisha, Simama kwa adabu..... La sivyo utakiona cha mtema kuni !!!!

mwalimu Ahsante umetumia POWWER yako.
 
Back
Top Bottom