Uchaguzi 2020 A night with Tundu Lissu and Sheikh Ponda at Karatu

It might be a memorable moment to remember!

Mgombea urais mwenye ushawishi mkubwa kwa tiketi ya CDM ametua mjini Karatu muda wa jioni akiwa kachelewa. Na kwa kuheshimu sheria za uchaguzi ameamua kuahirisha mkutano mpaka kesho saa tatu asubuhi.

Kuna mambo kadhaa ya kuvutia na kufutahisha yametokea

1. Lissu amesema anaweka kambi hapo uwanjani. HATOKI atalala hapo. Just imagine wananchi atakaokesha nao na kumbukumbuku watakayotengeneza, ni siku muhimu sana hii.

2. Ujio wa Sheikh mtata kwenye kampeni za Lissu. Sheikh Ponda Issa Ponda, kuna common interest kati ya wawili hawa, wanajiamini sana.

Hawaogopi. Wamefunguliwa makesi mengi kwa nyakati tofauti. Wamekamatwa mara nyingi na kuwekwa mahabusu mara nyingi pia
Wana ushawishi wa ajabu. Imagine usiku huu watakapokuwa pamoja na story watakazopiga. A HISTORY MADE!

3. Kauli ya Sheikh Ponda kuwa 'wamekubaliana' kura zote za Waislam kwa Lissu na CHADEMA! Hili limezua taharuki kubwa upande wa pili maana hawakulitegemea hili hasa kwa kipindi ambacho wameelemewa mno.

Wakati Lissu na Ponda wakiwa Karatu wanapiga story za furaha na wananchi. Huko mjini dalisalama kilinge cha masheikh kimekusanywa kutoa tamko la kulaani na kuikana kauli ya Ponda.

Kuna wakati kuna mambo yanachekesha sana wakati wanakusanywa manabii mia nne tulikaa kimya, baadae wakaitwa viongozi kundi zima wa dini mbalimbali kusifia mazuri ya hii awamu, hatukusema kitu pia. Leo hii kauli moja tu ya Ponda imewatoa nyoka wote pangoni.

Ponda keshasema na wakusikia wamesikia. Ufuasi wa Ponda na ushawishi wake kwa watu mbalimbali unafahamika wazi. Ushawishi wa Tundu Lissu pia uko wazi. Usiku mmoja wa wawili hawa ni unabii mwingine unaopeleka hofu kubwa na bayana huko kwingine!

Usiku mmoja na Lissu na Ponda hapo uwanjani Karatu na wananchi wao na chopa lao. Ni nani angependa kuikosa siku hii muhimu na ya kihistotria?

Nitajiunga nao usiku huu KIROHO niwe sehemu ya historia.

A NITE WITH LISSU AND PONDA; POLITICIAN and SPIRITUAL LEADER. History made!
Yes indeed, Lissu and Ponda make a formidable dream team! 💪🏽💪🏽💪🏽
 
Yes indeed, Lissu and Ponda make a formidable dream team.
IMG-20201020-WA0010.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haki huliinua Taifa
Habari MTANZANIA, Naitwa TUNDU LISSU, nagombea Urais kupitia CHADEMA. Nina nia na dhamira ya kweli ya kuibadilisha nchi yetu.

Uwezo ninao na rasilimali tunazo, biashara wakubwa na wadogo zitasitawi, nitaondoa msururu wa kodi na ushuru kwa wafanyabiashara, na zaidi ya yote nitasimamia HAKI na UHURU kwa Watu wote.

Nitatokomeza RUSHWA, UNYANYASAJI na UTEKAJI unaofanywa na Watu wasiojulikana.

Nitaongeza ajira, elimu bora bure, hudume bora za afya, hifadhi ya jamii kwa wafanyakazi, wazee, watoto na walemavu.

Kwa heshima kubwa nakuomba KURA yako tarehe 28.10.2020.

Nakuomba utume ujumbe huu kwa Watanzania 50. MUNGU akubariki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kura zote Chadema!
Unachukua karatasi unashuka prrrrrrrr! Hadi jina la mwisho TUNDU ANTIPASI LISSU
Mbunge Chadema
Diwani Chadema
Kisha umamlinda wakala na kura hadi kieleweke!!
 
Kura zote Chadema!
Unachukua karatasi unashuka prrrrrrrr! Hadi jina la mwisho TUNDU ANTIPASI LISSU
Mbunge Chadema
Diwani Chadema
Kisha umamlinda wakala na kura hadi kieleweke!!
Hebu msikize huyu juha hapa ..wamejisahau mno


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijaongea kuhusu kuchagua chama hapa. Nimeongea kuhusu mashekhe wa uamshi ambao ndio kura turufu inayotumika
Kwanini hao wako ndani? Atawatoa kwa vigezo gani?
ndani ya siku 100 za utawala wa Lissu kila kosa litakuwa linadhaminika.
 
jambo hili hata mie limeniacha hoii
wameongea weeee viongozi mbalimbali wa dini wakisifia na kuunga juhudi pakawa kimyaaaa
ila kaamka Ponda na tamko moja tuu kizaazaa kimeanzaa
hatari saaana aiseee
 
Back
Top Bottom