The alliance between the two wont get them anyway. Some of the promises can not be delivered.
Mashekhe wa uamusho, TL hataweza kuwatoa.
WaTz ni wanafki sana !!. Majuzi sheikh Alhadi Salum wa Dsm alipopanda jukwaani kuiombea Ccm na Maghufuli miaka mitano watu hawakuhoji !!. Mwezi uliopita viongozi wa dini walikusanywa Dodoma kwa nia sawa na hiyo. Watu hawakuhoji !!.Waislam watampigia Lissu kura. Unajua hiyo ni meseji kubwa kwa watu wengine na huwezi jua nao watahamadishana vipi. Kwa ufupi hii strategy ya kumtumia Sheikh Ponda imekuwa Miscalucated na ndani ya hizi siku kumi Ponda ataleta madhara makubwa kwa Lissu kuliko mnavyodhani.
Mwaka 2010 tunajua Kikwete alivyopata taabu kutokana na watu kuhamasishana huko kwa wengine. Hawa watu hawajawahi kuiva hata kidogo.
Nakumbuka kipindi nyota ya Sumaye ilivyokuwa iko vizuri ,mara akafanyiwa tambiko na wazee wa kimasai na wazee wa kiiraq waliovalishwa kimasai ili awe raise waliofanya hiyo kazi inasemekana ni marmo na lowasa ,baada ya hapo upepo ulibadilika gafla kashfa za Sumaye zikawa nyingi hadi akaanza kukonda ,ila all in all Karatu ni ngome ya chadema au upinzani wanajielewa hata nyerere na kawawa wanalielewa hilo kuhusu wairaqWambulu wanasifika sana kwa nyota. 1995 Mrema alivyotoka Mbulu hali ilibadilika sana.Tutegemee mananau kuwa mengi hapo uwanjani nyakati za usiku na kama Lissu alikubali kuvishwa ule mgorori mweusi ndio shughuli imeshaisha hiyo..
WaTz ni wanafki sana !!. Majuzi sheikh Alhadi Salum wa Dsm alipopanda jukwaani kuiombea Ccm na Maghufuli miaka mitano watu hawakuhoji !!. Mwezi uliopita viongozi wa dini walikusanywa Dodoma kwa nia sawa na hiyo. Watu hawakuhoji !!.
Leo kwa sababu nyumba ya kambo imepata shavu askofu Bagonza, sheikh Ponda na askofu Mwamakula . Ñyoka wote wametoka pangoni !!. Huu ni unafiki wa hali ya juu
Duh........... Nimecheka sana