A New Day for U.S.A -Tanzania Relations : H.E. Samia Suluhu Hassan, President of Republic of Tanzania

"Ukitaka kula na wewe ukubali kuliwa japo kidogo" JK.
sasa kwa taarifa yako sisi tumekula na tutaendelea kula pakubwa sana,

utalii utafunguka mara dufu na hivyo tutarudisha pesa zote na faida ya kutosha.
Uwekezaji kutoka marekani utaongezeka mara dufu na hivyo kuinua uchumi wetu lkn pia kuongeza ajira.

Masula ya Elimu yataimarishwa, Afya n.k n.k
Ziara ya Rais na ujumbe wake huko Marekani inafaida nyingi sana na endelevu kuliko unavyo fikiria.
Kama una akili za kutunza kumbukukumbu, tafadhali sana sana tunza hii comment yako kwa kumbukukumbu za baadaye.

Mlishawahi kuandika kama hilo although baadaye huwa mnageuka na lugha flani hivi.

Keep on touch.
 
Jumbe unawananga ndugu zako?
🤣🤣
Ndugu zangu ni wale walioiva itikadi ya CCM ya kutii viongozi wetu hata kama hatuwapendi ndani ya nafsi zetu.......

Heshima kwa mwenyekiti taifa na wa chini yake ni LAZIMA KWETU....NI LAZIMA...NI LAZIMA.....

#Siempre JMT🙏
 
27 April 2022

Dr Dennis Muchunguzi aweka wazi mazito : Ukweli wa Rais Samia kutofautiana na hayati Rais John Magufuli



Dr. Muchunguzi awananga waandishi wa habari wa Tanzania kushindwa kukubali ukweli kuwa Mh. Rais Samia Suluhu Hassan anatofautiana na mwendazake hayati John Pombe Magufuli mpaka gazeti la New York Times la Marekani liseme ..... anasema mwanaCCM Dr. Muchunguzi CEO wa Afreda na mchambuzi wa masuala ya Kijamii, Kisiasa na Uchumi kitaifa na pia Kimataifa, huku mchambuzi mbobevu akitumia dakika 42 kuchambua utofauti wa Mh. Rais Samia Hassan na mambo yaliyotendeka chini ya awamu ya 5 na sasa yamerekebishwa ...
Source : Gilly Bonny online TV
 
Halafu kuna baadhi ya wanafiki wachache eti wanabeza na kudhihaki ziara ya Mhe. Rais nchini Marekani.!!!

Nadhani hawakutegemea kama Mama angeimarisha uhusiano wetu na Marekani kwa kiasi hiki!!.....hawaamini macho yao....walitegemea kuwa angefeli !! lkn Wapi Mama kakaza buti ile mbaya.

Mama amethibitisha Kitaif na Kimataifa kuwa anaweza sana, hivyo wanafiki wamekereka sana.......yaani wanaumia sana kuona jinsi Mama anavyo ang'ara Kimataifa na kitaifa.

Wanafiki wameumbuka sana haswa baada ya ziara hii kuwa yenye mafanikio makubwa wanafiki na wazandiki wameibuka hadharani pasina hata aibu na kuanza kuharisha!!

Tunamuonbea Rais wetu asonge mbele kazi iendelee.....hadi wanafiki na wazandiki wasalimu AMRI.
Nashindwa kuelewa kukaa siku zote hizo kwanini hakutani na President of America? Yaani Biden akae siku tatu tz asikutane na mama!!!
 
kama anavyotueleza Katibu Mtendaji wa Tume ya Haki za Binaadamu na Utawala bora Nchini Tanzania


29 April 2022
Dodoma, Tanzania

Mbunge : Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Tanzania ni tume-mfu




MBUNGE AIBUA HOJA ZA KINA ROMA, DEWJI KUTEKWA "TUME HAIJAWAHI KUTOA TAMKO"
Source : millard ayo
 
Nashindwa kuelewa kukaa siku zote hizo kwanini hakutani na President of America? Yaani Biden akae siku tatu tz asikutane na mama!!!
Hivi mmaifahamu routine ya Joe Biden? Na unajuwa Marais wa Dunia wangapi wana pita New York? Isitoshe yeye siyo mualikwa wa USA President bali amekwenda kwa shughuli za kibinafsi (Royal Tour)
 
Back
Top Bottom