LIVE / MUBASHARA :
25 April 2022
District of Columbia
A New Day for U.S.-Tanzania Relations: H.E. Samia Suluhu Hassan, President of Republic of Tanzania
the Wilson Center Africa Program for A Conversation with H.E. Samia Suluhu Hassan, President of the Republic of Tanzania.
President Samia Suluhu Hassan will share her vision for Tanzania and U.S.-Tanzania relations, and sit in conversation with Ambassador Mark Green, President and CEO of the Wilson Center and former U.S. Ambassador to Tanzania from 2007-2009, to discuss key challenges and opportunities for the future of U.S.-Tanzania relations in various spheres.
Source : WoodrowWilsonCenter
Ipo live:
Mh. Rais Samia Hassan anazidi kuelezea masuala mbalimbali ikiwemo demokrasia, uhuru wa Bunge, sekta ya gesi , umeme wa mabwawa ya maji, nishati mbadala wa kuzalisha umeme, upungufu wa mbolea toka Ukraine na Russia ....
Mbali ya changamoto alizozijibu ktk maswali ya mtayarishaji wa kipindi pia, Mh. Rais agusia fursa nyingi zinazokuja baada ya nchi 'kufunguka' kwa dunia toka achukue hatamu za uongozi wa nchi ...
Miradi inayofadhiliwa na Marekani iliyosimamishwa mwaka 2016, sasa 2022 imefunguliwa baada ya mazungumzo ya uwazi baina yake Mh. Rais Samia Hassan na makamu wa rais wa Marekani Mh. Kamala D. Harris hivyo kufuatiwa na ukurasa mpya wa mahusiano ya kufahamiana kufunguliwa baina ya Tanzania na Marekani.
Mh. Rais afafanua sera ya nchi kuwapatia watoto wa kike wanafunzi waliopachikwa mimba kuruhusiwa kurudi shuleni kuendelea na masomo.
Mh. Rais Samia Suluhu Hassan agusia umoja wa kitaifa unaojengwa chini ya uongozi wake ikiwemo kuachiwa toka mahabusu viongozi wa vyama vya upinzani, kufunguliwa magazeti yaliyofungiwa, bunge kuwa 'live' ili wananchi waweze kufuatilia kinachoendelea bungeni kupitia wawakilishi wao na serikali kujibu kero za wananchi . Kutoa elimu kwa taasisi zinazohusika na utoaji haki kupitia mfumo wa haki jinai (criminal justice system) kama Polisi, Ofisi za Mwendesha Mashtaka, Magereza na Mahakama
Uchumi wa buluu, biashara na mahusiano mapya baina ya Tanzania na dunia ....
25 April 2022
District of Columbia
A New Day for U.S.-Tanzania Relations: H.E. Samia Suluhu Hassan, President of Republic of Tanzania
the Wilson Center Africa Program for A Conversation with H.E. Samia Suluhu Hassan, President of the Republic of Tanzania.
President Samia Suluhu Hassan will share her vision for Tanzania and U.S.-Tanzania relations, and sit in conversation with Ambassador Mark Green, President and CEO of the Wilson Center and former U.S. Ambassador to Tanzania from 2007-2009, to discuss key challenges and opportunities for the future of U.S.-Tanzania relations in various spheres.
Source : WoodrowWilsonCenter
The Africa Program works to address the most critical issues facing Africa and U.S.-Africa relations, build mutually beneficial U.S.-Africa relations, and enhance knowledge and understanding about Africa in the United States. The Program achieves its mission through in-depth research and analyses, including our Africa Up Close blog, public discussion, working groups, and briefings that bring together policymakers, practitioners, and subject matter experts to analyze and offer practical options for tackling key challenges in Africa and in U.S.-Africa relations. Source : Africa Program
Ipo live:
Mh. Rais Samia Hassan anazidi kuelezea masuala mbalimbali ikiwemo demokrasia, uhuru wa Bunge, sekta ya gesi , umeme wa mabwawa ya maji, nishati mbadala wa kuzalisha umeme, upungufu wa mbolea toka Ukraine na Russia ....
Mbali ya changamoto alizozijibu ktk maswali ya mtayarishaji wa kipindi pia, Mh. Rais agusia fursa nyingi zinazokuja baada ya nchi 'kufunguka' kwa dunia toka achukue hatamu za uongozi wa nchi ...
Miradi inayofadhiliwa na Marekani iliyosimamishwa mwaka 2016, sasa 2022 imefunguliwa baada ya mazungumzo ya uwazi baina yake Mh. Rais Samia Hassan na makamu wa rais wa Marekani Mh. Kamala D. Harris hivyo kufuatiwa na ukurasa mpya wa mahusiano ya kufahamiana kufunguliwa baina ya Tanzania na Marekani.
Mh. Rais afafanua sera ya nchi kuwapatia watoto wa kike wanafunzi waliopachikwa mimba kuruhusiwa kurudi shuleni kuendelea na masomo.
Mh. Rais Samia Suluhu Hassan agusia umoja wa kitaifa unaojengwa chini ya uongozi wake ikiwemo kuachiwa toka mahabusu viongozi wa vyama vya upinzani, kufunguliwa magazeti yaliyofungiwa, bunge kuwa 'live' ili wananchi waweze kufuatilia kinachoendelea bungeni kupitia wawakilishi wao na serikali kujibu kero za wananchi . Kutoa elimu kwa taasisi zinazohusika na utoaji haki kupitia mfumo wa haki jinai (criminal justice system) kama Polisi, Ofisi za Mwendesha Mashtaka, Magereza na Mahakama
Uchumi wa buluu, biashara na mahusiano mapya baina ya Tanzania na dunia ....