A New Day for U.S.A -Tanzania Relations : H.E. Samia Suluhu Hassan, President of Republic of Tanzania

bagamoyo

JF-Expert Member
Jan 14, 2010
21,274
24,140
LIVE / MUBASHARA :

25 April 2022
District of Columbia

A New Day for U.S.-Tanzania Relations: H.E. Samia Suluhu Hassan, President of Republic of Tanzania



the Wilson Center Africa Program for A Conversation with H.E. Samia Suluhu Hassan, President of the Republic of Tanzania.

President Samia Suluhu Hassan will share her vision for Tanzania and U.S.-Tanzania relations, and sit in conversation with Ambassador Mark Green, President and CEO of the Wilson Center and former U.S. Ambassador to Tanzania from 2007-2009, to discuss key challenges and opportunities for the future of U.S.-Tanzania relations in various spheres.

Source : WoodrowWilsonCenter

The Africa Program works to address the most critical issues facing Africa and U.S.-Africa relations, build mutually beneficial U.S.-Africa relations, and enhance knowledge and understanding about Africa in the United States. The Program achieves its mission through in-depth research and analyses, including our Africa Up Close blog, public discussion, working groups, and briefings that bring together policymakers, practitioners, and subject matter experts to analyze and offer practical options for tackling key challenges in Africa and in U.S.-Africa relations. Source : Africa Program

Ipo live:
Mh. Rais Samia Hassan anazidi kuelezea masuala mbalimbali ikiwemo demokrasia, uhuru wa Bunge, sekta ya gesi , umeme wa mabwawa ya maji, nishati mbadala wa kuzalisha umeme, upungufu wa mbolea toka Ukraine na Russia ....

Mbali ya changamoto alizozijibu ktk maswali ya mtayarishaji wa kipindi pia, Mh. Rais agusia fursa nyingi zinazokuja baada ya nchi 'kufunguka' kwa dunia toka achukue hatamu za uongozi wa nchi ...

Miradi inayofadhiliwa na Marekani iliyosimamishwa mwaka 2016, sasa 2022 imefunguliwa baada ya mazungumzo ya uwazi baina yake Mh. Rais Samia Hassan na makamu wa rais wa Marekani Mh. Kamala D. Harris hivyo kufuatiwa na ukurasa mpya wa mahusiano ya kufahamiana kufunguliwa baina ya Tanzania na Marekani.

Mh. Rais afafanua sera ya nchi kuwapatia watoto wa kike wanafunzi waliopachikwa mimba kuruhusiwa kurudi shuleni kuendelea na masomo.

Mh. Rais Samia Suluhu Hassan agusia umoja wa kitaifa unaojengwa chini ya uongozi wake ikiwemo kuachiwa toka mahabusu viongozi wa vyama vya upinzani, kufunguliwa magazeti yaliyofungiwa, bunge kuwa 'live' ili wananchi waweze kufuatilia kinachoendelea bungeni kupitia wawakilishi wao na serikali kujibu kero za wananchi . Kutoa elimu kwa taasisi zinazohusika na utoaji haki kupitia mfumo wa haki jinai (criminal justice system) kama Polisi, Ofisi za Mwendesha Mashtaka, Magereza na Mahakama

Uchumi wa buluu, biashara na mahusiano mapya baina ya Tanzania na dunia ....
 
LIVE / MUBASHARA :

25 April 2022
District of Columbia

A New Day for U.S.-Tanzania Relations: H.E. Samia Suluhu Hassan, President of Republic of Tanzania



the Wilson Center Africa Program for A Conversation with H.E. Samia Suluhu Hassan, President of the Republic of Tanzania.

President Samia Suluhu Hassan will share her vision for Tanzania and U.S.-Tanzania relations, and sit in conversation with Ambassador Mark Green, President and CEO of the Wilson Center and former U.S. Ambassador to Tanzania from 2007-2009, to discuss key challenges and opportunities for the future of U.S.-Tanzania relations in various spheres.

Source : WoodrowWilsonCenter

Kazi inaendelea... Kazi iendelee...
Mungu Ibariki Tanzania.
Wabariki viongozi wake akiwemo Mama.
P
 
Live muda huu toka Woodrow Wilson Center, District of Columbia U.S

safari ya kikazi ya Mh. Rais Samia Hassan nchini Marekani inaendelea. Leo yupo katika kutoa muhadhara katika kituo / taasisi ya Woodrow Wilson Center iliyopo District of Columbia kuelezea dhumuni la safari yake ndefu nchini Marekani na mambo mengi anayofanya baada ya kuwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania huku akijaribu kujenga legacy yake ndani ya Tanzania na kimataifa .
 
Bila shaka hao jamaa wameridhika na mgao wa faida wanayopata

Tuendelee kuupiga mwingi
 
Halafu kuna baadhi ya wanafiki wachache eti wanabeza na kudhihaki ziara ya Mhe. Rais nchini Marekani.!!!

Nadhani hawakutegemea kama Mama angeimarisha uhusiano wetu na Marekani kwa kiasi hiki!!.....hawaamini macho yao....walitegemea kuwa angefeli !! lkn Wapi Mama kakaza buti ile mbaya.

Mama amethibitisha Kitaif na Kimataifa kuwa anaweza sana, hivyo wanafiki wamekereka sana.......yaani wanaumia sana kuona jinsi Mama anavyo ang'ara Kimataifa na kitaifa.

Wanafiki wameumbuka sana haswa baada ya ziara hii kuwa yenye mafanikio makubwa wanafiki na wazandiki wameibuka hadharani pasina hata aibu na kuanza kuharisha!!

Tunamuonbea Rais wetu asonge mbele kazi iendelee.....hadi wanafiki na wazandiki wasalimu AMRI.
 
LIVE / MUBASHARA :

25 April 2022
District of Columbia

A New Day for U.S.-Tanzania Relations: H.E. Samia Suluhu Hassan, President of Republic of Tanzania



the Wilson Center Africa Program for A Conversation with H.E. Samia Suluhu Hassan, President of the Republic of Tanzania.

President Samia Suluhu Hassan will share her vision for Tanzania and U.S.-Tanzania relations, and sit in conversation with Ambassador Mark Green, President and CEO of the Wilson Center and former U.S. Ambassador to Tanzania from 2007-2009, to discuss key challenges and opportunities for the future of U.S.-Tanzania relations in various spheres.

Source : WoodrowWilsonCenter

Hivi hiki kubuni kwanini kikiendaga nje lazima kibatane na mwigulu wakati kila mtu anajua kuwa hanaga maadili
 
Gazeti la New York Times:
Rais wa kwanza mwanamama wa Tanzania, kwa juhudi airudisha nchi yake duniani / Tanzania’s First Female President Wants to Bring Her Nation in From the Cold

Swali kuhusu maoni ya gazeti la New York Times kuhusu Covid, elimu, demokrasi, haki za binadamu, Bunge mubashara / live n.k laibuka leo katika kituo cha Woodrow Wilson Center

Tanzania’s First Female President Wants to Bring Her Nation in From the Cold .... source : Tanzania’s First Female President Wants to Bring Her Nation in From the Cold

 
Halafu kuna baadhi ya wanafiki wachache eti wanabeza na kudhihaki ziara ya Mhe. Rais nchini Marekani.!!!

Nadhani hawakutegemea Mama kama angeimarisha uhusiano wetu na Marekani kwa kiasi hiki!!

Wanafiki wameumbuka sana, na baada ya ziara hii kuwa yenye mafanikio makubwa wanafiki na wazandiki wamejitokeza hadharani pasina hata aibu.
Tunamuonbea Rais wetu asonge mbele kazi irndeleeeee
Achana nao hao , kuna watu kila kitu wanaleta siasa zao za Simba na Yanga
 
Leta vitu Basi the whole story

Ipo live Mh. Rais Samia Hassan anazidi kuelezea masuala mbalimbali ikiwemo demokrasia, uhuru wa Bunge, sekta ya gesi , umeme wa mabwawa ya maji, nishati mbadala wa kuzalisha umeme, upungufu wa mbolea toka Ukraine na Russia ....
 
LIVE / MUBASHARA :

25 April 2022
District of Columbia

A New Day for U.S.-Tanzania Relations: H.E. Samia Suluhu Hassan, President of Republic of Tanzania



the Wilson Center Africa Program for A Conversation with H.E. Samia Suluhu Hassan, President of the Republic of Tanzania.

President Samia Suluhu Hassan will share her vision for Tanzania and U.S.-Tanzania relations, and sit in conversation with Ambassador Mark Green, President and CEO of the Wilson Center and former U.S. Ambassador to Tanzania from 2007-2009, to discuss key challenges and opportunities for the future of U.S.-Tanzania relations in various spheres.

Source : WoodrowWilsonCenter

LIVE / MUBASHARA :

25 April 2022
District of Columbia

A New Day for U.S.-Tanzania Relations: H.E. Samia Suluhu Hassan, President of Republic of Tanzania



the Wilson Center Africa Program for A Conversation with H.E. Samia Suluhu Hassan, President of the Republic of Tanzania.

President Samia Suluhu Hassan will share her vision for Tanzania and U.S.-Tanzania relations, and sit in conversation with Ambassador Mark Green, President and CEO of the Wilson Center and former U.S. Ambassador to Tanzania from 2007-2009, to discuss key challenges and opportunities for the future of U.S.-Tanzania relations in various spheres.

Source : WoodrowWilsonCenter

Mnhh! Tahadhari muhimu !
 
... huyu Rais kipenzi cha watanzania H.E. Samia Suluhu, Mwenyezi Mungu wa Mbinguni ambariki sana! She has a vision to our country. Ndani ya mwaka mmoja kurudisha mahusiano ya kimataifa yaliyokuwa yameparaganyika vibaya sio kazi ndogo. Sasa tuijenge Tanzania Moja badala ya kubaguana kivyama na sifa nyingine za kipumbavu zilizoanza kushamiri.
 
Ukurusa mpya wa mahusiano ya pande mbili zinazoheshimiana na kuaminiana kufuatia kukaribiana kwa uwazi baina ya viongozi wa juu wawili yaani Mh. Rais Samia Hassan na Makamu wa Rais wa Marekani Mh. Kamala D. Harris
... tukimbie sasa kuifikia S.K. Wakati ndio huu.
 
Back
Top Bottom