locust60
Senior Member
- Oct 1, 2008
- 101
- 12
Kumekuwapo na misuguano mingi katika ndoa nyingi hapa kwetu Tz na sehemu nyingine za dunia hii swali ni Je kupeana likizo kwenye ndoa mfano kila mwaka mnakuwa na mwezi mmoja au wiki ya kuishi maisha ya single (freedom kama hana ndoa) inaweza kuwa na manufaa?
mkipata wasaa jaribuni kuangalia Hall pass 2011.
mkipata wasaa jaribuni kuangalia Hall pass 2011.