bbwaoy
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 466
- 464
Mwanaume ukianza kumfatilia UMEMPOTEZA, mwanamke ukianza kumuonyesha wivu kupita UMEMPOTEZA.Wachana na mapenzi kabisa wanaume wakishasikia habari za papuch hasaa ikiwa mpya anaweza hamisha milima na mabonde nini kusafiri 8 km,,,na ndio maana wanawake tunashauriwa sana kutokuacha mwanaume kisa amechepuka maana kwao sex does not mean love