Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,877
- 2,758
binti baada ya kuolewa alikuwa na tabia ya kushinda ndani kwao akiwa uchi kama alivyozaliwa. mama yake alipomtembela kwa mara ya kwanza alimkuta hivyo akamuuliza kwa mshangao, 'mbona uko uchi?' binti kwa tabasamu akajibu, 'ni love dress, mama'. mara ya pili na ya tatu kadhalika. mama nae akatamani kuiga ya mwanae ya kushinda na love dress. jioni moja mumewe (mama) aliporudi akamkuta mkewe uchi! kwa mshangao akamuuliza kulikoni? mama akajibu, 'ni love dress!' mzee akamtazama kwa kina na kwa muda kisha akamwambia, 'nadhani ungelinyoosha kwanza'