H hmasunga Member Apr 2, 2013 83 10 Jun 16, 2013 #1 Hata kama wakishinda cha moto wamekiona mafanikio hayaji haraka haraka jamani wa tz 2napanda kiwango kila la kheli Tanzania
Hata kama wakishinda cha moto wamekiona mafanikio hayaji haraka haraka jamani wa tz 2napanda kiwango kila la kheli Tanzania
DullyJr JF-Expert Member Apr 10, 2011 13,979 11,815 Jun 16, 2013 #2 Kweli lakini yule gervinho,kaluu na yule pimbi alykw upande wa kapombe wameona cha moto
H hmasunga Member Apr 2, 2013 83 10 Jun 16, 2013 Thread starter #3 Lidaku said: Kweli lakini yule gervinho,kaluu na yule pimbi alykw upande wa kapombe wameona cha moto Click to expand... Kiukweli 2ache unafiki na unazi Tanzania inasitaili pongezi.
Lidaku said: Kweli lakini yule gervinho,kaluu na yule pimbi alykw upande wa kapombe wameona cha moto Click to expand... Kiukweli 2ache unafiki na unazi Tanzania inasitaili pongezi.