Wenyeji wavamia shamba la Aga Khan University aka A.K.U (zamani Manyara Estate, Kisongo) na kuwasha moto MKUBWAA. Wakazi wa jirani wanadai kuwa uvamizi huo ni kwasababu ya kunyimwa eneo la kulishia mifugo yao ndani ya shamba hilo. Habari zingine ntaziupdate kesho!!