A Journey to the smart world: Ifahamu teknolojia ya Artificial Intelligence na utendaji wake wa kazi

Miaka 500 iliyopita binadamu ndio waligundua kua hii dunia ni duara na yenyewe ndio inzunguka badala ya jua, zaidi ya miaka 3950 iliypita binadamu alikua anajua chanzo cha wanadamu alikua mwanamke mmoja na mwanaume,zaidi ya miaka 30 iliyopita binaadamu akatoa nadharia yake kua dunia ilikua haikaliwi na mtu hapo mwanzo mpaka pale ulipotokea mlipuko mkubwa (the Big bang) huko angani (space).

Ninachoona kutokana na kuendelea na kuhama kwa teknolojia na sayansi (Transformation and development of science & technology) kutapelekea idadi kubwa ya watu kutoamini uwepo wa Mungu na kuamini zaidi sayansi hasa miaka ijayo ambapo teknolojia itakua imekua kwa hali ya juu. Kwa mfano kama umefuatilia gunduzi za mwanasayansi Elon Musk kuhusu kubadili dunia kua ya kijanja (smart world) kwa kutumia project zake mbalimbali kama 4D printing,Project zake kwenda kuishi sayari ya Mars, Hyperloop transportation nk nk au Teknolojia ya kurudisha uhai kwa kutumia barafu/baridi Pia kutokana na mambo mbalimbali yaliyotabiriwa ambayo kwa sasa yanatokea kuhusu Anti-Christ administration.
TIP. Mwaka 1958 kunamwandishi aliandika kitabu kuhusu safari za mwandamu kwenye sayari zingine akaandika kua binaadamu atakayefanikisha wanadam kutawala sayari ya Mars anaitwa MUSK
 
View attachment 1311559
Salute..
Maisha yanakwenda kwa kasi mno mengi ambayo tunaona hayawezekani au hayapo wenzetu huko wanakesha kutuonyesha jinsi kila kitu kinawezekana kama ukiwa na nia thabiti na mipango. Huko duniani kuna vitu vinaitwa Futurist na Futurology, Futurist ni watu wanaojihusisha na mambo ya Futurology. Futurology inafahamika kama Future studies (masomo yanayohusu mambo ya baadae), Ni masomo yanoyohusu ku-predict mambo mbalimbali yajayo kwa kufanya tafiti kuangalia mambo yaliyopo sasa hivi na kutabiri mambo yajayo.

Futurist wanapredict mambo yajayo kwa kuangalia siasa za dunia,teknolojia ya mwanadamu, intelligence ya mwandamu, Ustaarabu wa mwanadamu, uchumi,nk nk na kutabiri kua miaka kadhaa ijayo kutakua na hiki au kile.

Kwa mfano Futurist wanaelezea jinsi labda maisha ya ya mwanadamu dunia baada ya miaka 20, 30, 50 ijayo yatakua ni maisha yatakayokua yame Advance zaidi. Tutakua tunaishi katika Smart World hivyo binaadamu anaweza kusafiri less than 30 min kutoka bara moja kwenda lingine, Binaadamu anaweza kuanaanza kutumia teknolojia ya Artificial Intelligence At large, kilimo, Elimu, teknolojia vitaboreshwa, Dini zinaweza kua zimeungana nyingi kurudi kwenye shina kuu (Hasa ukristo)

Hapa tutaangalia Sayansi (Fizikia, Biolojia, hesabu) inaendea kubadili mfumo wa utendaji wa shughuli za kila siku za mwanadamu na kuzifanya ziwe rahisi zaidi. Miaka 20 tukijaliwa uhai tutaona dunia nyingine kabisa iliyopiga hauta katika mambo mbalimbali huku Teknolojia ya Artificial Intelligence ikiwa nyuma ya mabadiriko yote hayo..Always remember mwanadamu anafanya kila njia kua Achieve maisha yasiyo na kifo kwa ghalama yoyote ile.

View attachment 1311562
Genesis
Tarehe 4 September 1927 Boston Massachusetts alizaliwa mtoto kutoka familia ya wahamiaji kutoka Ireland ya bwana John patrick na mkewe Ida McCarthy ambao walikua ni wayahudi, mtoto huyo aliitwa John McCarthy. John McCarthy akiwa mdogo aligundulika kuwa ni mtu mtoto mwenye uwezo mkubwa wa akili hasa zaidi upande wa masomo ya Hisabati, akiwa kijana mdogo yupo shule alikua anajifundishi yeye mwenyewe hesabu za vyuoni kwa kutumia vitabu. Mwaka 1951 alihitimu PHD ya hisabati kutoka chuo cha Princeton University. Alijikita zaidi kwenye masuala ya sayansi ya Computer.

Mwanzoni wa Miaka ya 1950 kulikua na majina mbalimbali amabayo walikua wanayatumia kuita mashine ambazo zina uwezo wa kufikiria, kulikua na majina kama Cybernetics,automata theory, complex information processing nk. Mwaka 1955 McCarthy akiwa ni profesa msaidizi wa hisabati katika chuo cha Dortmouth aliunda kundi ili kuthibitisha na kuendeleza theories zinazohusu mashine zenye uwezo wa kufikiria(thinking machine).

Upande wake alichagua jina la kuita hizo thinking machine ambalo ni Artificial Intelligence. Mwanzoni mwa mwaka 1955 McCarthy alienda kuomba ufadhili wa kifedha ili kuendesha seminar aliyokua amepanga ifanyike kipindi cha wakati wa joto yeye pamoja na wanasayansi 10. McCarthy alienda kuomba msaada huo kwenye Rockefeller Foundation inayomilikiwa na familia tajiri zaidi duniani ya Rockefeller Familly, walifadhiliwa. Semina/mkutano huo unaitwa Dortmouth Conference, ulidumu kwa muda wa wiki 8. Ndani ya mkutano huu ndio kukazaliwa rasmi Artificial Intelligence huku John McCarthy akiwa kama ndio founder wa project hii.

Artificial Intelligence ni nini?
Artificial Intelligence (AI)
ni software ambayo iliyotengenezwa kua na uwezo kama binaadamu, inaweza kufikiria, kupanga kitu, kujifundisha/kusoma kutenda kitu na kuweza kufahamu lugha zetu wanadamu. AI imegawanyika sehemu kuu mbili ambazo ni Weak/Specilized/Narrow Artificial Intelligence na Strong/Generalized/Specialized Artificial Intelligence.

●Weak Artificial Intelligence.
Ni aina ya AI ambayo imeundwa kufanya kazi fulani tuo (specific task). Haiwezi kufanya kazi nje ya kile kitu ilichoamuliwa kufanya, lakini inaweza kujifunza pia juu ya kitu hicho ilichoamuliwa kufanya.....ndio maana inaitwa Specializeed pia.

Mfano mzuri wa Weak AI ni Siri na Alexa, hizi ni Intelligence Virtual Assistance au intelligence personal Assistance ambazo zinatumia sauti katika kuwasiliana na mtumiaji. Siri inapatikana kwenye vifaa vya Apple na Allexa inapatikana Amzon.

Siri na Alexa ni mfano mzuri wa weak au Specialized Artificial Intelligence maana japo hizi AI zinaonekana kuwasiliana na kufikiri kama binaadamu pindi zinapoulizwa swali au kufanya kazi fulani, majibu yanayotolewa na siri au alexa yapo progammeda pia kabla ya siri au alexa kutoa majibu ya ilichoulzwa hua inakagua kwanza ni aina ipi ya jibu litakalofaa kutoka kwenye bank/akiba yao ya majibu/responces mbalimbali.

Kiuhalisia siri au alexa hua hafahamu alichoulizwa ila hua inachukua zile keyword unazotamka kisha inaenda kuzifananisha katika bank ya majibu iliyonayo. Baadhi ya mifano mingine ya weak Artifiacial Intelligence ni magari yenye uwezo wa kujiendesha,netflix, fraud detector, Email filters,Facebook newsfeed, google Assistance nk

●Strong Artificial Intelligence.
Hii ni aina ya AI ambayo hufanya kazi zake bila kusimamiwa na hufanya kazi nyingi (unspecified task). Ni aina ya AI ambayo inaweza kujifunza yenyewe vitu vipya. Mfano unapokua unacheza video game na computer technically unakua unacheza na strong AI, inaweza kujifundisha jinsi ya kukwepa mitego yako,inaweza kukusoma unavyocheza na kubuni njia za kukukwepa. Hapa kwenye Strong AI ndio lengo kuu ya mada hii.
View attachment 1311573

Kuwepo kwa strong AI wanasayansi wametengeneza vitu mbalimbali ambavyo vinatumia AI, wametengeneza maroboti yenye uwezo wa kufikiri nakutenda kama binaadamu mfano kuna yule robot aliyepewa uraia wa Saudi Arabia anaitwa Sophia, kuna robot mwingine anaitwa QT-1 ambae yupo kwenye chombo cha anga huko juu anafanaya kazi ya kuongoza robot wenzake.

Makampuni mengi yanatengeneza maroboti mengi kutokana na matumizi ya shughuli mbalimbali. Inakadiriwa miaka 5 ijayo robots zitachukua nafasi nyingi za kazi. Sex robots zote ni Strong AI..Elon musk kawekeza sana kutengeneza vifaa vyenye teknolojia ya Artificial Intelligence

Pia Artificial Intelligence inaweza kua programed ikawekwa ndani ya Computer au mashine yoyote halafu wewe ukawa unatoa command halafu yenyewe inafanya kazi. Nadhani humu wengi tutakua tumeina muvi za Avangers, iron man zote 3, Captain America, spiderman homecoming na far from home. Ndani ya muvi hizo kuna Artificial Intelligence inaitwa F.R.I.D.A.Y na J.A.R.V.I.S, hizi ni baadhi ya AIambazo nazizungumzia hapa. Zinaweza kujifunza chochote na kutenda na kujibu chochcote. Unakua unazipa command zenyewe zinatenda lolote kutokana na jinsi ulivyozipa access.

Kubwa zaidi inasemekana AI inaweza kupandikizwa ndani ya mwili wa mawanadamu na kua intergrated with brain..Mwanzo huko juu niligusia kua John McCarthy alienda kuomba ufadhili wa mkutano wake uliozalisha hii Artificial Intelligence, nkasema kua alienda kuomba ufadhili kwenye Rockefeller foundation. Hivyo basi unaweza kuona kwa jicho la tatu kua AI ipo chini ya Rockefeller Family, Wazee wa conspiracy theories wanasema kua rockefeller family ni moja kati ya familia 13 tajiri za Illuminat (wanao andaa ujo wa mpinga kristo).

Kama mtakua mnakumbuka miaka ya 2011/2012 kuliibuka mashekhe na manabii uchwara mabao wao kila kitu walikua wanakihusisha na illuminti/Freemason huku wakisema kua eti wazungu wanataka watuwekee kitu ndani ya miili yetu ili kiwe kinatuocontrol. Wapuuzi wale walikua wanazungumzia Artificial Intelligence bila kua na uelewa wowote maana kuna uhusiano mkubwa kati ya kua Shekhe au nabii uchwara na ujinga…Then aint big deal, tuendelee na mada yetu.

Artificial Intelligence licha ya kutumiwa kwenye vifaa vya kiteknolojia na maroboti lakini pia inaweza kuwa intergrated na ubongo wa wanadamu, kwa waliosoma Neurology wanaweza kuelezea vizuri..Mtu anaweza kuwekewa chip ya AI kwa matumizi mbalimbali kutokana na yeye anataka nini. Lakini hili nadhani linatumiwa zaidi katika masuala ya ulinzi na ujasusi.

Turing Test.
Mika ya 1950 Mwanahisabati kutoka England aitwae Alan M.Turing alianzisha kipimo cha kupima kama kweli mashine/computer zinaweza kufikiri kama mwanadamu. Kipimo hicho kiliitwa Turing test, kipimo hicho pia kilitabiri kua mpaka miaka ya 2000 computer zinazotumia Artificial Intelligence zitakua haziwezi kutofautishwa na binaadamu kama mwanadamu na computer hiyo wakifanyiwa mahojiano.

View attachment 1311575
Matumizi ya Artificial Intelligence Jeshini.
Kama utakua unafuatilia maswala ya teknolojia utagundua kua kila teknolojia inayoanzishwa duniani hua ni katika kutafuta nyenzo mbalimbali za kuwezesha nchi fulani kuwa mbali kijeshi, Uvumbuzi wa Computer ulitoka jeshini. Ili askari waweze kuwasiliana kutoka kambi moja na nyingine inabidi vifaa viwepo kurahisisha mawasiliano.

Hivyo kutokana na hilo wanasayani wamekua wanaumiza vichwa ili kufanikisha majeshi ya nchi zao kua na vifaa madhubuti ili kulinda mataifa yao, hapo ndipo computer na vifaa vingine vimevumbuliwa…John McCarthy alikua ni mwanajeshi wa jeshi la marekani. So atleast gunduzi nyigi zimetokana na uwepo wa majeshi na kila teknolojia lazima itumiwe jeshini huko au idara za ujasusi. Zingine tunaletewa huku kwa matumizi ya kawaida zingine wanabaki nazo. Eg. Time travelling.

Huko juu tumeona kua Artificial Inteligence can be intergrated or linked anywhere. Mtu anaweza kua na kifaa kama miwani,saa halafu vifaa hivo vinakua vipo intergrated na AI, so anakua anatoa comand kisha AI inakua inampatia feedback kutokana na access iliyopewa kufikia taarifa fulani.

Marekani kuna kitu kinaitwa Global Information Grid(GIG), hii ni project iliyotengenezwa na Idara ya Usalama wa Marekani (United States Department of Defense). Project hii imekusanya taarifa zooote nyeti na zisizo nyeti kutoka kona mbalimbali ya dunia.

Hii GIG inaongozwa na kitengo kinaitwa NetOps, hiki kitengo kinaongoza majukumu ya vitengo vitatu vikuu ambavyo ni situational Awareness, command and Control na global Information Grid. NetOps inafanya kazi ya kuendesha kulinda na kuhakikisha taarifa zote zinazoingizwa kwenye GIG ni sahihi.

Hivyo basi wana kila taarifa ya mtu mmoja mmoja ilimradi taarifa zako ziwe zipo serikalini kama hivi huku kwetu tunavyopeleka taarifa zetu NIDA…turudi kwenye Artificial Intelligence.Mwanadamu wa kawaida anaweza kuwekewa AI chip ndani yamwili wa mwandamu then ikawa inafanya kazi pamoja na ubongo, hili linaelezewa kwenye Artificial Neural Networks (ANNs) na Neurolink..kuna mambo mengi sana upande huu yanaeleza how IA can intergrated into human body.

Sasa basi labda jasusi wa CIA anaweza kuwa amewekewa chip ya AI ndani ya mwili wake, chip hiyo ya Artificial intelligence kama ina access ya Global information Grid jasusi/askari huyo anaweza kua anapata taarifa zote kwa muda mfupi.

Yaani anaweza kuwa online kama smartphone ya internet, anaweza kuangali mtu au picha ya kitu akapata taarifa zote zinazohusu kitu hicho ilimradi taarifa za kitu hicho kiwe kwenye GIG. Anaweza kuona hadi taarifa zako z benki, background yako yote..sio kwamba anakua naviona ndani ya TV bali anaviona ndani ya ubongo wake.

Anaweza kupiga simu hata kwa kichwa, anaweza communicate na Setilite kupata taarifa fulani, ilimradi chip aliyowekewa ina access ya mambo yote hayo. Kiufupi mtu huyo anakua kama Computer,Computer yenye internet anaweza hata kufyatua mizinga ya bomu kwa kutumia kichwa.

Nchi nyingi za dunia ya kwanza wanatengeneza siraha ambazo zitakua zinajiongoza zenyewe kwa kutumia Artificial Intelligence. Wao wanaita Artificially Intelligent weapon system, yaani siraha zenyewe zinajiongoza…Kama nchi za USA,Russia,India,Pakistan,China,German,Iran,Uk nk zina mifumo ya siraha ambayo imeshategeshwa tayari muda wote siraha ziko tayari na zinajiongoza kwa kutumia AI.

Mfano kama Russia ikipigana vita na USA halafu labda Russia ikapigwa kabisa basi ina ipo mifumo amabayo italipua mabomu ya atom kuelekea USA na kuisambaratisha nchi nzima wakose wote.
Nchi hizo kila nchi imeelekeza mifumo yake kuelekea kwenye nchi amabayo wanaona ni tishio kwao mfano India imeelekeza Pakistan, USA imeelekeza Rusia,Israel imeelekeza kuelekea nchi za uarabuni.

Inasemekana zaidi ya wataalamu na wanasayansi/watafiti 1000 wakiwemo Stephin Hawking,Elon Musk,Steve Wozinak,John McCarthy wamesaini barua ya wazi wakitaka mamlaka za dunia zizuwie matumizi ya AI weapons system.

Artificial Intelligence ina matumizi mengi mengi karibia kwa kila aspect ya maisaha ya mwanadamu. Inaweza tumika vibaya au vizuri..usidanganywe sijui ni habari za kumleta sijui shetani au nani.

View attachment 1311577
The End..
Da’Vinci..
El maestro
Artificial Intelligence is the nightmare of humanity,asiyejua ndiye atakaye ishangilia,lakini kwa mtu kama mimi,najua tumekwisha.
 
Artificial Intelligence is the nightmare of humanity,asiyejua ndiye atakaye ishangilia,lakini kwa mtu kama mimi,najua tumekwisha.
Ai inatumika kila siku kwenye internet unasemaje tumekwisha?
Kama hufahamu AI kaa kwa kutulia siyo kila mada ni yakuizungumzia negatively.
 
Hivi seriously you believe AI is all rosy,how about the killer robots?

This is how I see AI in a 12 point form.Infact katika dunia hii iliyojaa uovu uliopitiliza,the
technology is already greatly being misused.Uovu wowote,I repeat uovu wowote, unaweza kutekelezwa very efficiently kwa kutumia AI.

1. A lack of transparency
Many AI systems were built with so-called neural networks serving as the engine; these are complex interconnected node systems. However, these systems are less capable of indicating their ‘motivation’ for decisions. You only see the input and the output. The system is far too complex. Nevertheless, where military or medical decisions are involved, it is important to be able to trace back the specific data that resulted in specific decisions. What underlying thought or reasoning resulted in the output? What data was used to train the model? How does the model ‘think’? We are currently generally in the dark about this.

2. Biased algorithms​

When we feed our algorithms data sets that contain biased data, the system will logically confirm our biases. There are currently many examples of systems that disadvantage ethnic minorities to a greater degree than is the case with the white population. After all, when a system is fed discriminatory data, it will produce this type of data. Garbage in, garbage out. And because the output is from a computer, the answer will tend to be assumed to be true. (This is based on the so-called automation bias, which is the human tendency to take suggestions from “automated decision-making systems” more seriously and ignore contradictory data created by people, even if it is correct). And when discriminatory systems are fed new discriminatory data (because that is what the computer says) it turns into a self-fulfilling prophecy. And remember, biases are often a blind spot.
Risks-Artificial-Intelligence-14.22.00-e1600709984979-384x96.png

Companies still have too little expertise at their disposal to be able to properly assess these data sets and filter out any assumptions and biased data. The most vulnerable groups are disadvantaged by these systems even more than usual. Inequality will increase. In the worst-case scenario, algorithms will choose the winners and the losers. It is similar to the talking sorting hat from the Harry Potter film: nobody knows exactly what happens inside, but you will just have to accept the truth.
Nonsense? Many convicts have been sentenced by a non-transparent and technically incorrect system, while predictive policing disadvantages the vulnerable in society.
And how can we ascertain that our data sets (on which we rely to an ever greater extent) are not contaminated on purpose by hostile governments or other parties with malicious intent?
In short, we will have to avoid ending up in a ‘computer says no’ society to an ever greater extent, where people rely too much on the output of smart systems without knowing how the algorithms and data achieved their result.
Risks-Artificial-Intelligence-16.41.28-e1600699722338-384x96.png

3. Liability for actions​

A great deal is still unclear about the legal aspects of systems that become increasingly smart. What is the situation in terms of liability when the AI system makes an error? Do we judge this like we would judge a human? Who is responsible in a scenario in which systems become self-learning and autonomous to a greater extent? Can a company still be held accountable for an algorithm that has learned by itself and subsequently determines its own course, and which, based on massive amounts of data, has drawn its own conclusions in order to reach specific decisions? Do we accept an error margin of AI machines, even if this sometimes has fatal consequences?
Risks-Artificial-Intelligence-14.45.16-e1600709908753-384x96.png

4. Too big a mandate​

The more smart systems we use, the more we will run into the issue of scope. What is the extent of the mandate we give our smart virtual assistants? What are and aren’t they allowed to decide for us? Do we stretch the autonomy of smart systems ever further or should we stay in control of this at any cost, such as is preferred by the European Union? What do and don’t we allow smart systems to determine and implement without human intervention? And should a preview function perhaps be installed in smart AI systems as standard? The risk exists that we transfer too much autonomy, without the technology and preconditions being fully developed, and without us remaining aware over time where we have outsourced the relevant tasks and for what reason. Indeed, there is a risk that we increasingly end up in a world we no longer understand. We must not lose sight of our interpersonal empathy and solidarity as there is a real risk we leave difficult decisions (e.g. employment dismissal) to ‘smart’ machines too easily because we consider this to be too difficult ourselves.
Schermafbeelding-2020-09-15-om-14.28.09-1330x408.png

5. Too little privacy​

We create 2.5 quintillion bytes of data each day (which is 2.5 million terabytes, where 1 terabyte is 1,000 gigabyte). Of all digital data in the world, 90 per cent has been created in the last two years. A company requires substantial amounts of pure data to allow for the proper functioning of its smart systems. Apart from high-quality algorithms, the strength of an AI system also lies in having high-quality data sets at one’s disposal. Companies that are involved in artificial intelligence are increasingly turning into Greedy Gus when it comes to our data: it is never enough and anything is justified to achieve even better results. The risk, for example, is that companies create an ever more clearly defined profile of us with ever greater precision, and that these resources are also used for political purposes.
The result is that our privacy is being eroded. However, when we subsequently protect our personal privacy, said companies will simply use similar target groups; people that look very much like us. And our data is resold en masse, with an increasing loss of awareness as to who receives it or for what purposes it is being used. Data is the lubricating oil of AI systems and our privacy is at stake in any event.
Risks-Artificial-Intelligence-15.04.27-e1600710090171-384x96.png

And not unimportantly: technology will have eyes to see. Cameras can easily be fitted with facial recognition software. Our gender, age, ethnicity and state of mind can be measured with smart software. This is not the future, this type of software already exists. A dynamic advertising billboard in the Dutch city of Utrecht was switched off because the spy software installed on these billboards had given rise to public outrage. Face, voice, behaviour and gesture analysis also results in ever more clearly defined profiles. The use of smart cameras allows for real-time profiling. Smart systems are better able to determine our state of mind than our partner or family members. This is not something from the future: this already exists. And it is readily and generally available as open source software. The government is happy, businesses are happy. Bye privacy.
A number of these options have been introduced in China. Some police officers wear glasses with facial recognition technology featuring a database with facial pictures of thousands of ‘suspects’. However, bear in mind that you are easily labelled a suspect in China when you make certain political statements in public. A so-called social credit system already exists in China: a rating system where you are judged on the basis of certain behaviour. People with higher scores receive privileges. In addition, the country has a very extensive network of surveillance cameras with image recognition or facial recognition software.
Book Jarno as keynote speaker

Wat klanten zeggen​

"The webinar on the power of technology in times of corona is really recommended. Jarno Duursma takes you through the (im)possibilities that technology offers in these corona times in his typical, catchy way. Afterwards you'll be completely up-to-date and enriched with a number of surprising insights!"
Bas Baalmans | en
Digital Business Centre - Rijksuniversiteit
Bas Baalmans | en
"In 45 minutes the participants of our ANVR travel congress in Portugal got a barrage of examples from applications of artificial intelligence. Jarno's presentation made it clear to us in a very vivid way that the future has already begun. A great presentation!"
Frank Oostdam | en
Director ANVR
Frank Oostdam | en

6. Major tech companies exert a great deal of influence​

The issue above ties in with the power of major tech companies, namely Facebook, Microsoft, Google, Apple, Alibaba, Tencent, Baidu and Amazon. These eight tech companies have the financial capacity, the data and the intellectual ability to raise the quality of artificial intelligence enormously. The risk therefore exists that very powerful technology ends up in the hands of a relatively small group of commercial (!) companies. And the better the technology, the more people will start using it, the more effective the technology becomes, et cetera. This will give the big boys an ever greater advantage. The winner-takes-all mechanism of the Internet era also applies to data (data monopolies) and algorithms.
Risks-Artificial-Intelligence-15.00.00-e1600710050100-384x97.png

Also, the transfer of algorithms in so-called ‘transfer learning’ is becoming more and more effective. In this case, increasingly less data will be required for a good result. A system from Google, for example, had been offering quality translations from English to Spanish and Portuguese for a period of time. With the help of new transfer learning techniques, this system is now able to translate from Spanish to Portuguese and vice versa with very limited input. The major tech companies own the data and these transfer learning models.
Experience shows that the previously mentioned commercial objective will always dominate, and it remains to be seen how these companies will use the technology in the future.

7. Artificial superintelligence​

I personally believe the debate about the drawbacks of artificial intelligence is dominated a little too often by the discussion on superintelligence. The latter refers to systems with an intelligence that far surpasses human intelligence in several respects. As a result, they are able to acquire all manner of skills and expertise without human intervention, they can train themselves for situations unknown to them and are able to understand context. They are a kind of super intelligent oracle that only regards human beings as ‘snails in the garden’: as long as they do not bother you, they are allowed to live.
First of all, I believe we should take this scenario seriously and we should primarily focus on conveying our ethical morals to intelligent systems. In other words, we should not teach them rules set in stone, but something about human considerations. This is very important. It would be best if we provided them with a ‘conscience’, otherwise they would become anti-social personalities. What I intend to say is that I do not believe we will see even the slightest hint of a consciousness in these systems in the short term. The technology is far too young for this – if it is possible at all to create consciousness in these systems. It is therefore perfectly fine to reflect on it and we should really take superintelligence seriously, but there are certainly other risks at issue now.
Spreker-Jarno-Duursma-12.59.46-1.png

Lest I forget, I would like to add a nuance here. I am not that concerned about a system endowed with any form of consciousness that will take over the world. But… we will probably be affected far more often by systems programmed with a certain objective that they intend to pursue relentlessly, without taking into account issues we consider to be important as humans, including empathy and social equality. Simply because they are programmed this way. Because what we consider to be important is their blind spot. And that is NOT science fiction.
Facebook is a ‘great’ example of how an artificial intelligence system can have a completely negative result. Indeed, increasingly smart Facebook algorithms only have one goal: keeping you on the platform for as long as possible. Creating maximum involvement with the content. Collecting clicks and reactions. But the system is insensitive to issues such as ‘the objective factual representation of matters’. Truth is unimportant because the system is only interested in the time you spend on the platform. Facebook does not care about the truth, with all the harmful consequences this entails.
Header-Spreker-Jarno-Duursma-15.01.00-1330x549.png

8. Impact on the labour market​

AI will create pressure on the labour market in the years ahead. The rapid increase in the quality of artificial intelligence will ensure smart systems become far more adept at specific tasks. The recognition of patterns in vast amounts of data, the provision of specific insights and the performance of cognitive tasks will be taken over by smart AI systems. Professionals should closely monitor the development of artificial intelligence because systems are increasingly able to look, listen, speak, analyse, read and create content.
There are therefore certainly people with jobs in the danger zone who will quickly have to adapt. However, the vast majority of the population will work with artificial intelligence systems. And remember: many more new jobs will be created, although it is more difficult to conceive of them than the jobs that get lost. Social inequality will increase in the years ahead as a result of the divide between the haves and the have-nots. I believe we as a society will have to look after the have-nots – the people who are only able to perform routine-based manual work or brainwork. We should remember that a job is more than just the salary at the end of the month. It offers a daytime pursuit, a purpose, an identity, status and a role in society. What we want to prevent is that a group of people emerge in our society who are paid and treated as robots.
In short, it is becoming increasingly important for professionals to adapt to the rapidly changing work environment. Moore’s law ensures there will be an ever greater distance between humans and machines.
Spreker-Jarno-Duursma-13.00.15-1.png

9. Autonomous weapons​

As recent as this summer, Elon Musk from Tesla warned the United Nations about autonomous weapons, controlled by artificial intelligence. Along with 115 other experts, he pointed to the potential threat of autonomous war equipment. This makes sense: it concerns powerful tools that could cause a great deal of damage. It is not just real military equipment that is dangerous: considering technology is becoming increasingly easy, inexpensive and user-friendly, it will become available to everyone… including those who intend to do harm. One thousand dollars will buy you a high-quality drone with a camera. A whizz-kid could subsequently install software on it which will enable the drone to fly autonomously. Artificial intelligence facial recognition software is available as early as now, which enables the drone camera to recognise faces and track a specific person. And what if the system itself starts making decisions about life and death, as is the case now in warzones? Should we leave this to algorithms?
And it is only a matter of time before the first autonomous drone with facial recognition as well as a 3D-printed rifle, pistol or other gun becomes available. Check this video from Slaughterbots to get an idea of this. Artificial intelligence makes this possible.
Header-Spreker-Jarno-Duursma-10.00.19-1330x443.png

10. Everything becomes unreliable – e.g. fake news and filter bubbles​

Smart systems are becoming increasingly capable of creating content – they can create faces, compose texts, produce tweets, manipulate images, clone voices and engage in smart advertising.
AI systems can turn winter into summer and day into night. They are able to create highly realistic faces of people who have never existed.
Open source software Deepfake is able to stick pictures of faces on moving video footage. This therefore makes it seem on video as though you are doing something (which is not true and has not actually happened). (read my report on deepfakes here (Dutch)). Celebrities are already being affected by this because those with malicious intent can easily create pornographic videos starring these celebrities. Once this technology becomes slightly more user-friendly, it will be child’s play to blackmail an arbitrary individual. You could take a photo of anyone and make it into rancid porn. One e-mail would then be enough: “Dear XYZ, in the attached video file you play the starring role. In addition, I have downloaded the names and data of all your 1,421 LinkedIn connections and I would be able to mail them this file. Transfer 5 bitcoins to the address below if you want to prevent this.” This is known as Faceswap video blackmailing.
Schermafbeelding-2019-11-22-om-14.06.56-e1600191589395-384x96.png

Artificial intelligence systems that create fake content also entail the risk of manipulation and conditioning by companies and governments. In this scenario, content can be produced at such speed and on such a scale that opinions are influenced and fake news is hurled into the world with sheer force – specifically targeted at people who are vulnerable to it. Manipulation, framing, controlling and influencing. Computational propaganda. These practices are reality now, as we have seen in the case surrounding Cambridge Analytica, the company that managed to gain access to data from 87 million Facebook profiles of Americans, using this data for a corrupt (fear-spreading) campaign to get President Trump in power. Companies and governments with bad intentions have a powerful tool in their hands with artificial intelligence.
What if a video surfaces featuring an Israeli general who says something about wiping out the Palestinians with background images of what seems to be waterboarding? What if we are shown videos of Russian missiles being dropped on Syrian cities accompanied by a voice recording of President Putin casually talking about genocide? Powder keg-> fuse-> spark-> explosion.
Please have a brief look at this fake video of Richard Nixon in order to gain an accurate impression of this.
And how do we prevent social media algorithms from providing us with ‘tailor-made’ services to an ever greater extent, thereby reinforcing our own opinions in a well where the echoes reverberate ever more strongly? How do we avoid a situation where various groups in society live more and more in their own filter bubble of ‘being right’? This allows for the creation of a growing number of individual filter bubbles on a massive scale, resulting in a great deal of social unrest.
Book Jarno as keynote speaker
And what should we think when it comes to ‘voice cloning’? It is now possible to simulate somebody’s voice with the help of software, even though the result is not yet perfect. However, the quality is improving all the time. Identity fraud and cybercrime are lurking risks. Criminals will have voicemail messages recorded by software with self-directed payment orders. This is social engineering (the use of deception to manipulate individuals into disclosing confidential or personal information that can be used for fraudulent purposes) through fake voice cloning cybercrime. And it’s a reality.
Spreker-Jarno-Duursma-12.59.46-1.png

11. Hacking algorithms​

Artificial intelligence systems are becoming ever smarter and before long they will be able to distribute malware and ransomware at great speed and on a massive scale. In addition, they are becoming increasingly adept at hacking systems and cracking encryption and security, such as was recently the case with the Captcha key. We will have to take a critical look at our current encryption methods, especially when the power of artificial intelligence starts increasing even more. Ransomware-as-a-service is constantly improving as a result of artificial intelligence. Other computer viruses too are becoming increasingly smart by trial and error.
For example, a self-driving car is software on wheels. It is connected to the Internet and could therefore be hacked (this has already happened). This means that a lone nut in an attic room could cause a drama such as the one in Nice. I envisage ever smarter software becoming available, which can be used to hack or attack systems, and this software will be as easy to use as online banking is at the present moment.
In hospitals too, for example, more and more equipment is connected to the Internet. What if the digital systems there were hacked with so-called ransomware? This is software that is capable of blocking complete computer systems in exchange for a ransom. It is terrifying to imagine somebody creating a widespread pacemaker malfunction or threatening to do so.
Spreker-Jarno-Duursma-12.57.29-1.png

12. Loss of skills​

We lose more and more human skills due to the use of computers and smartphones. Is that a pity? Sometimes it is and sometimes not. Smart software makes our lives easier and results in a reduction in the number of boring tasks we have to perform – examples include navigating, writing by hand, mental arithmetic, remembering telephone numbers, being able to forecast rain by looking at the sky, et cetera. Not immediately of crucial importance. We are losing skills in daily life and leaving them to technology. This has been going on for centuries. Almost nobody knows how to make fire by hand anymore, for example. In my view, it is important to wonder the following: aren’t we becoming excessively dependent on new technology in this scenario? How helpless do we want to be in the absence of digital technology surrounding us?
And, not unimportantly: given smart computer systems will increasingly understand who we are, what we do and why we do it and will offer us a customised service: isn’t it an important human skill to tolerate frustration? To be patient? Or to settle for slightly less than ‘hyperpersonalised’?
In our work, we are increasingly assisted by smart computer systems that can read emotions and the state of mind of third parties – this is already the case in customer service, for example, while experiments are being conducted in American supermarkets. To what extent are we losing the skill to make these observations ourselves and to train our antennas? Will we ultimately become less adept at reading our fellow human being in a physical conversation?
This is already the case to an extent, of course, because we increasingly use our smartphone in our communications. Has this made us less good at reading our conversation partner in a face-to-face conversation? In short, which of our skills, both in a practical and emotional sense, do we want to leave to smart computer systems? Are attention, intimacy, love, concentration, tolerance of frustration and empathy aspects of our lives which we are willing to have taken over by technology to an ever greater extent?…
In this respect, AI is a double-edged sword as a technological development: it is razor-sharp, both in terms of the potentially positive and potentially negative outcome.
 
Artificial Intelligence is the nightmare of humanity,asiyejua ndiye atakaye ishangilia,lakini kwa mtu kama mimi,najua tumekwisha.
Primary function ya Kalamu(Pen) ni kuandikia. Nikikupa kalamu unaweza kuchagua kuandika maneno mazuri yenye kupendeza au kuitumia kumtobolea macho mwenzako.
Umeona, kila kitu kinatokana na jinsi wewe utakavyochagua kukitumia. Waundaji wa AI malengo yao ni kurahisisha maisha kwa kuitumia AI ila wemgine ndio hivo Wanatumia kuulia watu.

Kama vile hapa Jf, lengo la JF ni kupashana habari na kubadirishana mawazo watu hufanya hivyo ila kuna wwtu hutumia JF kutapelia watu...so hatuwezi kusema JF mbaya kisa kuna matapeli wakati lengo kuu la JF sio kutumika kutapeli watu.
Cc
Kalpana
 
I
Primary function ya Kalamu(Pen) ni kuandikia. Nikikupa kalamu unaweza kuchagua kuandika maneno mazuri yenye kupendeza au kuitumia kumtobolea macho mwenzako.
Umeona, kila kitu kinatokana na jinsi wewe utakavyochagua kukitumia. Waundaji wa AI malengo yao ni kurahisisha maisha kwa kuitumia AI ila wemgine ndio hivo Wanatumia kuulia watu.

Kama vile hapa Jf, lengo la JF ni kupashana habari na kubadirishana mawazo watu hufanya hivyo ila kuna wwtu hutumia JF kutapelia watu...so hatuwezi kusema JF mbaya kisa kuna matapeli wakati lengo kuu la JF sio kutumika kutapeli watu.
Cc
Kalpana
I differ with you 100%.Watu hawa hawajawahi kuwa na lolote jema kwa binadamu,kwa kuwa wanatumiwa na Shetani kutekeleza agenda zake.Look here Da'Vinci,it's common sense.Ukibuni kitu 100% bad,people won't adopt it,so you incorporate some good aspects to it kama danganya toto,lakini actually hiyo sio your main agenda.And this is what these people are doing with everything, including AI.

Kama nilivyotangulia kusema,AI is a nightmare to humanity.
 
Primary function ya Kalamu(Pen) ni kuandikia. Nikikupa kalamu unaweza kuchagua kuandika maneno mazuri yenye kupendeza au kuitumia kumtobolea macho mwenzako.
Umeona, kila kitu kinatokana na jinsi wewe utakavyochagua kukitumia. Waundaji wa AI malengo yao ni kurahisisha maisha kwa kuitumia AI ila wemgine ndio hivo Wanatumia kuulia watu.

Kama vile hapa Jf, lengo la JF ni kupashana habari na kubadirishana mawazo watu hufanya hivyo ila kuna wwtu hutumia JF kutapelia watu...so hatuwezi kusema JF mbaya kisa kuna matapeli wakati lengo kuu la JF sio kutumika kutapeli watu.
Cc
Kalpana
Umesema kweli mkuuu. Hapa una argue na mtu mwenye a lot of negativity ambae haoni positive side ya kitu chochote. Ndio kila kitu kina two sides ni wewe kuangalia unafanyia nini hicho kitu. Lets Say Hela/ Fedha kila mtu anaitaika na anaitafuta but matumizi sasa ndo yanatupa yale matokeo mabaya au mazuri. Hela hyo hyo kwa wengine wanasema pesa ni shetani lakini hyohyo pesa tunaitoa kama sadaka. Huyo huyo anaeona ushetani kila mahali ni huyo huyo anatumia hyo pesa kununua nguo,kupata mahitaji yake na hizo hizo pesa zinamfanya aishi.
 
Primary function ya Kalamu(Pen) ni kuandikia. Nikikupa kalamu unaweza kuchagua kuandika maneno mazuri yenye kupendeza au kuitumia kumtobolea macho mwenzako.
Umeona, kila kitu kinatokana na jinsi wewe utakavyochagua kukitumia. Waundaji wa AI malengo yao ni kurahisisha maisha kwa kuitumia AI ila wemgine ndio hivo Wanatumia kuulia watu.

Kama vile hapa Jf, lengo la JF ni kupashana habari na kubadirishana mawazo watu hufanya hivyo ila kuna wwtu hutumia JF kutapelia watu...so hatuwezi kusema JF mbaya kisa kuna matapeli wakati lengo kuu la JF sio kutumika kutapeli watu.
Cc
Kalpana
Malengo makuu ya JF yanaweza kuwa si kupashana habari.Na akili yangu ndogo sana inanifahamisha kwamba huu ndio ukweli.Panya anauma na kupuliza,akiuma moja kwa moja utastuka.
 
I

I differ with you 100%.Watu hawa hawajawahi kuwa na lolote jema kwa binadamu,kwa kuwa wanatumiwa na Shetani kutekeleza agenda zake.Look here Da'Vinci,it's common sense.Ukibuni kitu 100% bad,people won't adopt it,so you incorporate some good aspects to it kama danganya toto,lakini actually hiyo sio your main agenda.And this is what these people are doing with everything, including AI.

Kama nilivyotangulia kusema,AI is a nightmare to humanity.
Hutaishi milele bro so let people invest on technology. Focus kwenye maisha yako yanayokufanya uishi achana na Mzungu. Leo huyo huyo unaelalamika kila kitu cha mzungu ni cha kishetani ni ww huyo huyo unakunywa dawa zao, unatumia technology zao kwenye a lot of staffs simu yenyewe unatype hapa au PC ni products zao.
 
Umesema kweli mkuuu. Hapa una argue na mtu mwenye a lot of negativity ambae haoni positive side ya kitu chochote. Ndio kila kitu kina two sides ni wewe kuangalia unafanyia nini hicho kitu. Lets Say Hela/ Fedha kila mtu anaitaika na anaitafuta but matumizi sasa ndo yanatupa yale matokeo mabaya au mazuri. Hela hyo hyo kwa wengine wanasema pesa ni shetani lakini hyohyo pesa tunaitoa kama sadaka. Huyo huyo anaeona ushetani kila mahali ni huyo huyo anatumia hyo pesa kununua nguo,kupata mahitaji yake na hizo hizo pesa zinamfanya aishi.
Ana-rgue na mtu ambaye ni diagnostic na ana mawazo mapana.Mtu intelligent hakubali kila kitu.
 
Artificial Intelligence is the nightmare of humanity,asiyejua ndiye atakaye ishangilia,lakini kwa mtu kama mimi,najua tumekwisha.
Acha uoga wewe...unaonekana mfuasi wa kibwetere uliyebakia..mliwaaminisha watu mwisho wa dunia ni mwaka 2000..dini imeangamiza wengi sayansi imeokoa wengi..dunia inahitaji sayansi zaidi kuliko dini.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ana-rgue na mtu ambaye ni diagnostic na ana mawazo mapana.Mtu intelligent hakubali kila kitu.
Kwahiyo katika ku diagnose unatumia nini? Unasoma au kutafuta ukweli kupitia technolojia ya nani? So baada ya kuujua ukweli umebadili mfumo wako wa maisha na kutafuta mfumo mwingine ambao hu depend na mfumo tunaoishi?
 
Hutaishi milele bro so let people invest on technology. Focus kwenye maisha yako yanayokufanya uishi achana na Mzungu. Leo huyo huyo unaelalamika kila kitu cha mzungu ni cha kishetani ni ww huyo huyo unakunywa dawa zao, unatumia technology zao kwenye a lot of staffs simu yenyewe unatype hapa au PC ni products zao.

Brother mawazo yako ni mediocre sana.Kwa hiyo kwa kuwa wao ndio wanaobuni technology mostly,basi watuue tu kwa kutumia hizo technology wakati kuna possibility ya kubuni friendly technologies!Yaani mawazo mengine,utopolo kabisa.
 
Kwahiyo katika ku diagnose unatumia nini? Unasoma au kutafuta ukweli kupitia technolojia ya nani? So baada ya kuujua ukweli umebadili mfumo wako wa maisha na kutafuta mfumo mwingine ambao hu depend na mfumo tunaoishi?
Ninyi ndio mlioaminishwa kwamba under development ni development,you are not fit to argue with me.
 
Brother mawazo yako ni mediocre sana.Kwa hiyo kwa kuwa wao ndio wanaobuni technology mostly,basi watuue tu kwa kutumia hizo technology wakati kuna possibility ya kubuni friendly technologies!Yaani mawazo mengine,utopolo kabisa.
Kwanza mimi sio bro, point of correction au na ww nikuite bibi kwa sbb jina lako sijajua kama la kike au la kiume. Acha hasira mawazo ni mawazo na umeyachukia kwa sbb ndo ukweli wenyewe huo. Nimekuuliza bado unatumia mfumo huu wa maisha au umebadili mfumo ambao ni rafiki kwako.? Sasa kwanini usibuni wewe hizo friendly technologies? Kumbe bado unataka wakubunie wao? Huoni ww ndo mediocre
 
Ninyi ndio mlioaminishwa kwamba under development ni development ninyi,you are not fit to argue with me.
Umeelewa kweli ulichoandika maana sijaelewa. Hapa point yangu ni kwamba huwezi kupinga kitu ambacho bado unakitumia au utaenda kukitumia. Kama unataka praise and worshi team ya kukubali mambo unayondika ndo hutanipata ila nta argue tuu na ww. Kama hutaki basi ignore. Bado tunaenda mbele maendeleo ya sasa sio sawa na miaka 50 nyuma tutafika kule tunataka nyie wapingaji pingaji tafuteni dunia yenu nyingine.
 
Back
Top Bottom