Renegade
JF-Expert Member
- Mar 18, 2009
- 7,126
- 6,764
Kinachowapa shida sana watu wengi kwenye hii concept ya Time travelling ni state of matter, Ukichanganya na nature ya Matter utaona kuwa it is impossible.Je unaweza kutupa facts zinazoonyesha impossibility ya Time travelling
Binafsi mi naiona kama illusion hivi. Kila nikijaribu kukonect matter na machine naona kuna kitu kina miss hivi. Lazima kuwe na medium ambayo itaruhusu kuingia na kutoka, sasa hiyo medium ni nini?
Na hiyo medium lazima iwe hairuhusu movement ya matter, Sasa hiyo medium inawezekanaje? Ni mawazo yangu na huelewa wangu mdogo nilionao.