Kilicho beba wazungu ni ustarabu na kua na roho nzuri na kutokua na ubinafsi, kinacho tuponza sie Africa ni kua na roho za wivu fitna uchawi na ubinafsi, ila mnamo Karne ya 15 Africa na Europe zilikua sawa katika nyanja ya maendeleo tekinolojia na elimu........sasa baada ya hapo sie tulianza kurudi nyuma wenzetu wana songa mbele.......imagine kuna vijiji hapa Africa ukijenga nyumba ya baati huwezi kuishi mwezi wanakuua.Pamoja na kuwa na nyumba ya nyasi lakin bado walikuwa wastaarabu hawalii chakula chini
Ni kweli umasikini wa Africa ni wakujitakia kwasabb kwa roho mbaya zentu angalia mavazi ya hayo watt wakati nchi ina dhahabu almasi gesi kila kitu tumepewa ila roho mbaya zetu na ubinasfi yanatufanya kuishi kama mafakaraWenzetu wazungu wanafikiria kila siku kusonga mbele, sisi huku Afrika tunawaza kubakia hapa hapa au kurudi nyuma kwa kasi.
Ni vigumu sana kuitenganisha Afrika na Uvivu, ujinga, umaskini, magonjwa na uchafu.
Uko sahihi Sana mkuuKilicho beba wazungu ni ustarabu na kua na roho nzuri na kutokua na ubinafsi, kinacho tuponza sie Africa ni kua na roho za wivu fitna uchawi na ubinafsi, ila mnamo Karne ya 15 Africa na Europe zilikua sawa katika nyanja ya maendeleo tekinolojia na elimu........sasa baada ya hapo sie tulianza kurudi nyuma wenzetu wana songa mbele.......imagine kuna vijiji hapa Africa ukijenga nyumba ya baati huwezi kuishi mwezi wanakuua.
Kaz tunayo had kuja kujikomboaKilicho beba wazungu ni ustarabu na kua na roho nzuri na kutokua na ubinafsi, kinacho tuponza sie Africa ni kua na roho za wivu fitna uchawi na ubinafsi, ila mnamo Karne ya 15 Africa na Europe zilikua sawa katika nyanja ya maendeleo tekinolojia na elimu........sasa baada ya hapo sie tulianza kurudi nyuma wenzetu wana songa mbele.......imagine kuna vijiji hapa Africa ukijenga nyumba ya baati huwezi kuishi mwezi wanakuua.
Tatizo wa Africa roho za viongozi wetu hazina tofauti na roho za wanao waongozwa, ndo maana kujikomboa ni kazi kweli kweliKaz tunayo had kuja kujikomboa
Hali ya hewa ilisababisha chakula kuwekwa juu ili kisipoe haraka. Fikiria baridi kali soup iwekwe sakafuni.Pamoja na kuwa na nyumba ya nyasi lakin bado walikuwa wastaarabu hawalii chakula chini sisi huku ukiona mtu ana nyumba ya nyasi jua ndan mwake hawez kuafford kuweka ata viti na meza kama hvyo