A Georgia mother is suspected of fatally shooting the two adult children she had with a City of Atlanta official before killing herself

BAK

JF-Expert Member
Feb 11, 2007
124,790
288,009

(CNN)A Georgia mother is suspected of fatally shooting the two adult children she had with a City of Atlanta official before killing herself, police and a spokesman for the official said Thursday.
Marsha Edwards, 58; Erin Edwards, 20; and Christopher Edwards Jr., 24, were found inside their Atlanta suburb home Wednesday when police entered, but they were long dead, according to Cobb County Police.
Christopher and Erin died of gunshot wounds, and Marsha died from an apparent self-inflicted gunshot wound.
Marsha Edwards was the ex-wife of Dr. Christopher Edwards, an orthopedic surgeon and the chairman of Atlanta's housing authority.



"Christopher Edwards learned Wednesday of the death of his former wife, Dr. Marsha Edwards, and his two adult children, Christopher Edwards, Jr. and Erin Edwards. Dr. Edwards, his extended family and friends are in a state of grief and shock, and privacy of the family is paramount as arrangements are being made," Jeff Dickerson, a spokesman for Edwards, said in a statement.
 
Haya maisha yanashangaza sana ambapo wakati mwingine unaweza ukayatafakari weeee kwa jicho la 3 hadi kujikuta unazeeka mapema sana na kufa hata kabla ya siku zako
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Sijui kwanini hakujiua mwenyewe tu kenda kuwakatili watoto wake miaka 20 wa kike na 24 wa kiume na walikuwa wanafanya vizuri sana kimaisha.

Very SAD 😢

Haya maisha yanashangaza sana ambapo wakati mwingine unaweza ukayatafakari weeee kwa jicho la 3 hadi kujikuta unazeeka mapema sana na kufa hata kabla ya siku zako
 
Sijui kwanini hakujiua mwenyewe tu kenda kuwakatili watoto wake miaka 20 wa kike na 24 wa kiume na walikuwa wanafanya vizuri sana kimaisha.

Very SAD 😢
Ameamua kuondoka na watoto wake. So sad..!
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
Yani nimeumia sana rohoni kiasi nimekumbuka yule Mchungaji feki toka UGANDA alivyowadanganya Watu mwisho wa dunia umeshakaribia wauze mali zao akawafungia kanisani na kujichoma moto pa1 nao.
Sijui kwanini hakujiua mwenyewe tu kenda kuwakatili watoto wake miaka 20 wa kike na 24 wa kiume na walikuwa wanafanya vizuri sana kimaisha.

Very SAD
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Sijui hata hao watoto wamemkosea nini hasa daaah...! Dunia haiko fair hata kidogo, wengine tunakesha tukihangaika kutafuta watoto kwa vitendo na hata maombi tukiwa na subira kwa kutokuwa nao lakini wengine wanawateketeza kabisa sijui hawaoni hata umuhimu wa hao watoto kuwasaidia na kuendeleza kizazi chao?
Ameamua kuondoka na watoto wake. So sad..!
 
Sijui hata hao watoto wamemkosea nini hasa daaah...! Dunia haiko fair hata kidogo, wengine tunakesha tukihangaika kutafuta watoto kwa vitendo na hata maombi tukiwa na subira kwa kutokuwa nao lakini wengine wanawateketeza kabisa sijui hawaoni hata umuhimu wa hao watoto kuwasaidia na kuendeleza kizazi chao?
Depression ni ugonjwa mbaya sana.
 
Back
Top Bottom