A.G: Chadema hawajavunja sheria...........

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
219,470
911,173
Mwanasheria MKuu karipotiwa na gazeti la Nipashe ya kuwa Chadema kumkacha JK pale Bungeni hawakuvunja sheria ila walikosa ustaraabu..........................

Kauli hii imekuja imechelewa kwa sababu muda umepita sana.................Hili lanipa wasiwasi ya kuwa pengine A.G hajiamini na alikuwa akisubiri kupima upepo kabla ya kutoa ushauri wake wa kitaalamu........................Jingine la kujiuliza ni ............Why now........................kwa sababu hakuna aliyetafuta ushauri kutoka kwake katika sakata hili tajwa.................

Labda A.G angelikuwa mwenye msaada zaidi kama angelitoa ufafanuzi juu ya polisi kuwazuia Chadema kufanya mikutano yao ya kuwashukuru wapigakura na kuwaelezea yaliyowasibu katika kura za Uraisi.....................Hili ndilo eneo ambalo ushauri wa A.G unahitajika lakini usishangae akakaa kimya kulinda ugali wake...........
 
Huyu jamaa ni mchovu kwa sababu yawezekana katiba, sheria na kanuni za Bunge hazifahamu vizuri na ni mzito kuzielewa. Kwanza aliwashauri Chadema waende mahakamani wakati Katiba hairuhusu. Pili ni sheria gani inasema kumwacha Rais solemba ni kukosa ustaarabu? Mimi nafikiri huo ulikuwa ustaarabu namba moja kuliko kuingia mwituni au barabarani.

Kwanza amshauri Rais afuate katiba katika kuteua wajumbe wa Tume ya Uchaguzi kwani ni miaka mitano tu wanatakiwa kuachia ngazi lakini hawa akina Lewis wanamiaka karibu 20.

Hivi wale wa CCM walikuwa wakizomea wakati Chadema wanatoka nje ni wastaarabu?
 
Huwezi kuwa mstaarabu kwa mtu aliyekuibia

Kwanza mwizi sio mstaarabu .Halafu uliyeibiwa utakuwaje mstaarabu kwa huyo mwizi? Adhabu ya mwizi wa kawaida wote twaijua sembuse hii?

Hongereni CDM kwa kuwa na subira na ustaarabu wa hali ya juu.
 
Mwanasheria huyu ana credentials gani za ku judge ustaarabu? Huo ni msimamo wa serikali au maoni yake binafsi?

Vianasheria vya bongo bwana, mtu AG mzima unaenda kutoa kauli subjective kama hiyo. Aibu.

Stick to what you know Mr. A.G, wengine tunaweza kukwambia kujiunga na serikali ya Kikwete ni kukosa ustaarabu zaidi, utasemaje sasa ?
 
Mwanasheria MKuu karipotiwa na gazeti la Nipashe ya kuwa Chadema kumkacha JK pale Bungeni hawakuvunja sheria ila walikosa ustaraabu..........................

Kauli hii imekuja imechelewa kwa sababu muda umepita sana.................Hili lanipa wasiwasi ya kuwa pengine A.G hajiamini na alikuwa akisubiri kupima upepo kabla ya kutoa ushauri wake wa kitaalamu........................Jingine la kujiuliza ni ............Why now........................kwa sababu hakuna aliyetafuta ushauri kutoka kwake katika sakata hili tajwa.................

Labda A.G angelikuwa mwenye msaada zaidi kama angelitoa ufafanuzi juu ya polisi kuwazuia Chadema kufanya mikutano yao ya kuwashukuru wapigakura na kuwaelezea yaliyowasibu katika kura za Uraisi.....................Hili ndilo eneo ambalo ushauri wa A.G unahitajika lakini usishangae akakaa kimya kulinda ugali wake...........
Katumwa huyo
 
Nadhani walikuwa wanatafuta kipengere kwenye sheria cha kuwabana Chadema. Baada ya kutopata kitu ndiyo wameamua kuja na hiyo statement. Sijui hawajui kuwa na chadema wanao wanasheria tena waliobobea katika nyanja zote za sheria na hawafanyi jambo kwa kukurupuka kama wanavyofanya hawa vibaraka 'POLISI' kuzuia mikutano ya wabunge wa Chadema bila kuwa na base!
 
pole sana kibaraka wa ccm a.k.a Jaji wa Magumashi."Waswahili wanasema debe tupu halikosi kupiga kelele"kutokana na kauli ya huyu bwana bwana naomba niseme wazi kuwa na mashaka makubwa sana na elimu yake.

HIVI KWELI NENO USTAARABU analitumiaje kuropoka maneno ya asojua' kesheni sdana mkiomba KAZI MNAYO.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom