ngotho
Senior Member
- Jun 18, 2021
- 142
- 110
Moja kwa moja kwenye mada ...
Wakuu kuna rafiki yangu amefanya maombi ya mkopo.. kila kitu kafanya sawa .. vyeti vyote ameweka safi tu.. na form aliipereka posta kuituma.
Baada ya siku mbili amegundua kuwa alisahau kuattach cheti cha form four kwenye ile form iliyoenda posta.
anauliza eti hii inaweza kusaidika?
wakuu msaada wenu.
Mimi ni rafiki yake.. yeye hana smartphone ndo maana.
Msaada afanye nini ili mambo yawe sawa.
Wakuu kuna rafiki yangu amefanya maombi ya mkopo.. kila kitu kafanya sawa .. vyeti vyote ameweka safi tu.. na form aliipereka posta kuituma.
Baada ya siku mbili amegundua kuwa alisahau kuattach cheti cha form four kwenye ile form iliyoenda posta.
anauliza eti hii inaweza kusaidika?
wakuu msaada wenu.
Mimi ni rafiki yake.. yeye hana smartphone ndo maana.
Msaada afanye nini ili mambo yawe sawa.