Rahajipe
Senior Member
- Oct 29, 2012
- 165
- 63
Mimi ni mwanamume niliye na miaka zaidi ya 40, ninaishi na kuendesha shughuli zangu hapa jijini dar. Nina watoto wawili wakubwa na ni mkristo. Tangu nimeachana na mke wangu nimekaa muda sasa nikiwa mpweke kiasi cha kutosha.
Kutokana na hali hiyo ya upweke sasa umefika wakati wa kuhitaji kupata rafiki ambaye naye; aidha ametendwa au anaishi maisha ya upweke kama haya ili tuweze kuliwazana. Mwenza ninayemhitaji anatakiwa awe na vigezo hivi:
Awe na umri kuanzia miaka 30 na kuendelea
Awe single au aliyeachika/kuzalia kwao na asiwe na watoto zaidi ya wawili.
Awe na ajira inayoeleweka mwenye maisha sio ya kuomba vocha ya Tsh 500!
Awe na elimu ya kutosha ambayo inampa ufahamu na utambuzi wa nini ni maisha!
Suala la kuzaa naye lisipewe kipaumbele sana bali liwe la mjadala wa baadaye.
Suala la dini lisiwe kizingiti sana, cha msingi ni uamzi wa hiari wa mtu mwenyewe.
Asiwe mnene wala mfupi, awe mwembamba na urefu wa kuanzia futi 5 na kuendelea.
Rangi si kigezo bali cha msingi isiwe mkorogo NO!
Awe anaishi maisha ya kujitegemea.
Awe ni mtu mwenye uwezo wa kufanya maamzi ya kimaendeleo hata akiwa peke yake
Nina imani kuwa kupitia jamvi hili nitampata Yule aliye chaguo langu la kweli ukizingatia kuwa kuna wengi wamepitia humu na wameweza kuwapata wenza wao na maisha yao yako vizuri.
Kwa Yule ambaye yupo serious na anaona kuwa tunaweza kufikia ndoto hii, naomba ani PM tu nami nitafanya mawasiliano naye.
TUONGOZWE NA UWEPO WA MUNGU KATIKA HILI
UTANI SITAKI KATIKA HILI.
Kutokana na hali hiyo ya upweke sasa umefika wakati wa kuhitaji kupata rafiki ambaye naye; aidha ametendwa au anaishi maisha ya upweke kama haya ili tuweze kuliwazana. Mwenza ninayemhitaji anatakiwa awe na vigezo hivi:
Awe na umri kuanzia miaka 30 na kuendelea
Awe single au aliyeachika/kuzalia kwao na asiwe na watoto zaidi ya wawili.
Awe na ajira inayoeleweka mwenye maisha sio ya kuomba vocha ya Tsh 500!
Awe na elimu ya kutosha ambayo inampa ufahamu na utambuzi wa nini ni maisha!
Suala la kuzaa naye lisipewe kipaumbele sana bali liwe la mjadala wa baadaye.
Suala la dini lisiwe kizingiti sana, cha msingi ni uamzi wa hiari wa mtu mwenyewe.
Asiwe mnene wala mfupi, awe mwembamba na urefu wa kuanzia futi 5 na kuendelea.
Rangi si kigezo bali cha msingi isiwe mkorogo NO!
Awe anaishi maisha ya kujitegemea.
Awe ni mtu mwenye uwezo wa kufanya maamzi ya kimaendeleo hata akiwa peke yake
Nina imani kuwa kupitia jamvi hili nitampata Yule aliye chaguo langu la kweli ukizingatia kuwa kuna wengi wamepitia humu na wameweza kuwapata wenza wao na maisha yao yako vizuri.
Kwa Yule ambaye yupo serious na anaona kuwa tunaweza kufikia ndoto hii, naomba ani PM tu nami nitafanya mawasiliano naye.
TUONGOZWE NA UWEPO WA MUNGU KATIKA HILI
UTANI SITAKI KATIKA HILI.