A day in the Buddhist college

Chant nilifanya mdomoni rohoni niliimba mapambio na nyimbo za kuabudu... Kama kuna kipindi nilikuwa karibu na Mungu basi kilikuwa kipindi hicho
Buddhism siyo dini ni kama njia unayochagua. You can be a christian but still join Buddhism. Wapo watu wengi ambao ni wakristo ila bado wanajoin hii movement. Ila kasoro ni kuwa kwenye buddhism hawaamini kama kuna Mungu na kama kifo ni mwisho wa yote. You have stages to pass through to reach enlightenment. Mdogo wangu Mshana jr. alienda kwenye branch tofauti na ninayoifahamu ila wote wana malengo yale yale. Ila hiyo ya Karate ipo uchina tu na kwa Darai Lama.
 
Buddhism siyo dini ni kama njia unayochagua. You can be a christian but still join Buddhism. Wapo watu wengi ambao ni wakristo ila bado wanajoin hii movement. Ila kasoro ni kuwa kwenye buddhism hawaamini kama kuna Mungu na kama kifo ni mwisho wa yote. You have stages to pass through to reach enlightenment. Mdogo wangu Mshana jr. alienda kwenye branch tofauti na ninayoifahamu ila wote wana malengo yale yale. Ila hiyo ya Karate ipo uchina tu na kwa Darai Lama.
asante sana dada... Mimi nilikuwa fully devoted monk

Jr
 
Students of African Buddhist college from different countries
FB_IMG_1557822947025.jpeg
 
Ndio maana ratiba ilikuwa ngumu na ya kuchosha mno, kwa jinsi mambo tulivyokuwa hakukuwa na jinsi hata ya kujisikia "hamu"
Na hata ukisingizia ugonjwa au ukiumwa kweli huruhusiwi kulala bwenini unaingia darasani unalala kwenye dawati lako utakachosamehewa ni parade tuuu
Ni kweli jeshi haliokoti kitu.

Jeshini mgonjwa hatakiwi kufanya kazi za hatari,

Yaani hapo ni heeling sasa tu!

Hebu mkuu niambie hiyo parade inakuwaje?
 
Back
Top Bottom