Buddhism siyo dini ni kama njia unayochagua. You can be a christian but still join Buddhism. Wapo watu wengi ambao ni wakristo ila bado wanajoin hii movement. Ila kasoro ni kuwa kwenye buddhism hawaamini kama kuna Mungu na kama kifo ni mwisho wa yote. You have stages to pass through to reach enlightenment. Mdogo wangu Mshana jr. alienda kwenye branch tofauti na ninayoifahamu ila wote wana malengo yale yale. Ila hiyo ya Karate ipo uchina tu na kwa Darai Lama.Chant nilifanya mdomoni rohoni niliimba mapambio na nyimbo za kuabudu... Kama kuna kipindi nilikuwa karibu na Mungu basi kilikuwa kipindi hicho
asante sana dada... Mimi nilikuwa fully devoted monkBuddhism siyo dini ni kama njia unayochagua. You can be a christian but still join Buddhism. Wapo watu wengi ambao ni wakristo ila bado wanajoin hii movement. Ila kasoro ni kuwa kwenye buddhism hawaamini kama kuna Mungu na kama kifo ni mwisho wa yote. You have stages to pass through to reach enlightenment. Mdogo wangu Mshana jr. alienda kwenye branch tofauti na ninayoifahamu ila wote wana malengo yale yale. Ila hiyo ya Karate ipo uchina tu na kwa Darai Lama.
naamini huyo ni wewe kaka mkubwaStudents of African Buddhist college from different countries View attachment 1097193
nimekuona mkuuHapana huyo ni jamaa yangu mimi niko kulia juu nimevaa miwani nacheka
Ni kweli jeshi haliokoti kitu.Ndio maana ratiba ilikuwa ngumu na ya kuchosha mno, kwa jinsi mambo tulivyokuwa hakukuwa na jinsi hata ya kujisikia "hamu"
Na hata ukisingizia ugonjwa au ukiumwa kweli huruhusiwi kulala bwenini unaingia darasani unalala kwenye dawati lako utakachosamehewa ni parade tuuu
Nimeshapata mwanga sasaNgumu sana hebu soma mada kuu nimeelezea kwa undani
ulikua unacheka nini?Hapana huyo ni jamaa yangu mimi niko kulia juu nimevaa miwani nacheka